Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,837
- 6,372
Wasalaam
Kama kichwa kinavyojishulisha hapo juu wakuu
Miaka miwili hapo nyuma, 2018 , ilikuwa green city nlikutana na pini moja kali chotara ya kimwambao
Huyu mdada alikuwa mrembo kwelikweli, alikuwa na sifa zote isipokuwa sifa moja tu ambayo machotara na watoto hawa kiarabu wanaikosa WOWOWO tu alikosa sifa hiyo ila kila jema ambalo mwanamke yoyote mzuri alitakiwa kuwa nalo basi mola alimjalia ..akafanya nimcheat mpaka mpenzi wangu ambaye nlianza nae toka sekondari
Huyu chotara nliunganishwa na rafiki yake ambaye alikuwa chuo pale mzumbe (Mbeya) ambeye huyu alikuwa mshikaji wangu toka tuko manzabay si unajua sie wapwani twajuana kwa viremba binti akanikuwadia shost yake...basi baada ya kumtambulisha .., na kujua mie tumetoka mkoa mmoja manzabay/ tanga haikuniwia vigumu....mtoto ana ka kamkwanja , akipika mabiriani lazima yatue getho na alivyojaliwa mkono wa mapishi mashaallah
Akanifanya nisahau pisi zangu zote za bara mtoto wa watu wakipendaga hawana longolongo wale nikasema naoa pale hakika.....naye alizama haswa nakumbuka wakati tunatengana mkoa alijiliza mno na kuapa viapo tele..akatoa na vijizawadi mara ajichore mapiko ya jina langu
2020 nikaagwa anaelekea mombasa, hatukuwahi kuachana wala ugomvi wa chochote..., ila tangu siku hiyo mpaka kesho kutwa sjawahi kupata hata sms ya bahati mbaya.
Fununu nlizopata kutoka kwa yule rafiki yake wa Mzumbe ni kwamba yuko Oman japo na yeye hana mawasiliano naye
USHAWAHI KUPOTEZENA NA MPENZI WAKO PASI NA SABABU ILIKUWAJE???
Kama kichwa kinavyojishulisha hapo juu wakuu
Miaka miwili hapo nyuma, 2018 , ilikuwa green city nlikutana na pini moja kali chotara ya kimwambao
Huyu mdada alikuwa mrembo kwelikweli, alikuwa na sifa zote isipokuwa sifa moja tu ambayo machotara na watoto hawa kiarabu wanaikosa WOWOWO tu alikosa sifa hiyo ila kila jema ambalo mwanamke yoyote mzuri alitakiwa kuwa nalo basi mola alimjalia ..akafanya nimcheat mpaka mpenzi wangu ambaye nlianza nae toka sekondari
Huyu chotara nliunganishwa na rafiki yake ambaye alikuwa chuo pale mzumbe (Mbeya) ambeye huyu alikuwa mshikaji wangu toka tuko manzabay si unajua sie wapwani twajuana kwa viremba binti akanikuwadia shost yake...basi baada ya kumtambulisha .., na kujua mie tumetoka mkoa mmoja manzabay/ tanga haikuniwia vigumu....mtoto ana ka kamkwanja , akipika mabiriani lazima yatue getho na alivyojaliwa mkono wa mapishi mashaallah
Akanifanya nisahau pisi zangu zote za bara mtoto wa watu wakipendaga hawana longolongo wale nikasema naoa pale hakika.....naye alizama haswa nakumbuka wakati tunatengana mkoa alijiliza mno na kuapa viapo tele..akatoa na vijizawadi mara ajichore mapiko ya jina langu
2020 nikaagwa anaelekea mombasa, hatukuwahi kuachana wala ugomvi wa chochote..., ila tangu siku hiyo mpaka kesho kutwa sjawahi kupata hata sms ya bahati mbaya.
Fununu nlizopata kutoka kwa yule rafiki yake wa Mzumbe ni kwamba yuko Oman japo na yeye hana mawasiliano naye
USHAWAHI KUPOTEZENA NA MPENZI WAKO PASI NA SABABU ILIKUWAJE???