Jinsi wazungu wanavyotuwazia

Jinsi wazungu wanavyotuwazia

Ni mpumbavu pekee yake anaweza kuamini kuwa umaskini wa Mwafrika umesababishwa na mzungu.

Japan na South Korea tulikua sawa kiuchumi miaka ya sabini, walikua na opportunity sawa na sisi wakasomesha wananchi wao, wakainvest sana kwenye elimu na technology, leo hii ni giants. Tulianza pamoja ila sisi tuko palepale alafu tunalaumu wazungu 😂.

Naweza laumu pia politicians maana wamewajaza watanzania ushenzi kichwani, kila kitu utasikia mabeberu, its an easy way out.

Hata mi naishi nje wazazi wananisumbua kila siku niwe makini na wazungu, nawaambia nimeishi nje miaka zaidi ya 10 bila shida hivi hawajajifunza kitu tu? Hii view waliyonayo ipo kichwani mwao tu hakuna mtu ana muda nao, we are so not important kiasi kwamba hakuna anayekaa kutufikiria ni sisi tu tunawafikiria wao sana
 
"I was initially angry about the move to test vaccines on Africans,but I changed my mind. An African proverb says that a twine that grows out of the wood and start growing on the footpaths should expect to be matched upon. Only Sani Abacha's loots can sponsor 40 researches in Africa. The whites are using the money to produce the vaccine and you expect them to test it out on their people, you must be kidding. Direct your anger at something else. Can't you see Congolese president have accepted that the vaccine be tested in his country? He does not have a choice. If you cannot sing, you must dance but if you cannot dance, you must at least clap your hands or nod your head. If you cannot produce vaccine, and you refuse to sponsor your people to produce one, then you must submit yourself to have the vaccine tested in your country.
America have established grants to help their scientists carry out research on the virus and come up with a cure.Have you ever seen an African billionaire sponsor any research or scientific innovation in Africa? Never! But during election campaigns, they donate fortunes to political parties. Which is more important, political parties or research and technology development? Be sincere in your answers. Will you test your vaccine on someone who is sponsoring your research? No way," he said.

Source:
Reasons Why Africans Should Agree To Vaccine Testing - Bill Gates

Jr

Fake source as usual, mzee huu si uchawi, mje na source za ukweli, sio kila website online ni ya ukweli mtu yeyote anaweza fungua site akapublish chochote. Bill hajaongelea kitu chochote kile kuhusu kutesf vaccine Africa, hajatoa comment yoyote ile popote pale. Kila meneno ni watu wajamjazia tu. Be smart Don’t be stupid like the rest unacopy paste tu kila kitu
 
Africa Fungu la kukosa,elimu na dini ndio pingu walizotumia kutufunga.Huwezi kutumia elimu ya mzungu kushindana na mzungu(Kutatua tatizo kwa akili iliyosababisha tatizo)

Sent using Jamii Forums mobile app

Elimu ya mzungu ndiyo ipi hiyo? Last I checked wanachofundisha Tanzania ndicho kilekile kinachofundishwa nchi zote duniani, nimesoma Tanzania, nimesoma USA na nimesoma Japan. Physics ni ileile, Maths, Chemistry, Computer, Biotechnology hakuna utofauti wa hata kitu kimoja labda wao kua na facilities nyingi tu, labs kibao wanafunzi wanafanya mazoezi ya kutosha sio bongo mnakariri tu mmemaliza.
Tafuta excuse nyingine ila sio elimu, elimu ni uzembe wetu wenyewe sio sababu ya mzungu. Hakuna elimu ya mzungu. Elimu ni collection ya ujuzi wa binadamu wote toka karne nyingi za nyuma.
 
Natambua 100% Bill hawezi kusema hivyo ingekuwa ni breaking news na ingetangazwa na vyombo vikubwa na vidogo pote duniani... Kilichonifanya ni ukweli uliosemwa hata kama ni wa kutunga
Fake source as usual, mzee huu si uchawi, mje na source za ukweli, sio kila website online ni ya ukweli mtu yeyote anaweza fungua site akapublish chochote. Bill hajaongelea kitu chochote kile kuhusu kutesf vaccine Africa, hajatoa comment yoyote ile popote pale. Kila meneno ni watu wajamjazia tu. Be smart Don’t be stupid like the rest unacopy paste tu kila kitu

Jr
 
Boss mtingi1 Mwalimu Nyerere alisema, Mtu akikuambia neno la kipuuzi au la kijinga na wewe ukalikubali, huyo Mtu atakudharau Sana. Nini maana yake???
Viongozi wetu, wanaambiwa na kupewa viji 10% na vijifedha na kuuza Utu na Nchi.
Basi mwisho wa siku Mzungu anatudharau Sana.

Nini kifanyike, hii Vita si ya MCC tu, Ni Vita ya Bara zima la Africa, Vita ya Taifa letu la Tanzania. Wananchi wote kwa Umoja kuungana na kuweka Maslai ya Nchi kwanza.

Tafadhali itazame hii video imetumika lugha ya kiingereza, mimi sio mtafsiri mzuri pia.

Ila kwa kifupi jamaa kaongelea lengo la wamarekani kuwa, kwa muda mrefu serikali ya marekani yaani toka enzi za Kissinger, wamarekani wamekuwa na LENGO LA KUTUPUNGUZA IDADI sisi wa Africa na HAWATAKI TUJITAMBUE NA KUTUMIA RASIRIMALI ZETU kwa FAIDA ya mataifa yetu.

Hivyo kwa mantiki hiyo, napata mashaka sana na misaada yao hasa katika sekta ya AFYA, yaani CHANZO tunazopewa kuna uwezekano mkubwa tunapandikizwa magonjwa yanayopelekea sisi waafrika kushindwa kuzaliana VIZURI.

Dawa nyingi tunazopewa hasa katika miradi yao, kama Bill Gates foundation, Bill Clinton na wengineo inapaswa kuangaliwa kwa jicho PEVU.

Wasomi wetu ifike mahali wafanye tafiti za kutosha kulisaidia bara letu. WAZUNGU hawatupendi, na hakuna kitu wanatoa kama MSAADA, ambao ni BURE, lazima wanamalengo mapana.

Ikiwezekana, MIRADI yote, ichunguzwe, hata haya mambo wanaita HAKI ZA BINADAMU ni UPUUZI, kwani ndani yake ndio kuna ushoga na uchafu mwingi. Yote haya yanadidimiza nguvu ya uzalishaji barani mwetu.

Africa imetupasa kusimama pasipo kutegemea hawa jamaa. Najua ni mchakato, ila tunaweza. HAWATUPENDI.

CHUKUA TAHADHALI jilinde na Corona.

Nakaribisha wajuvi wa mambo watusaidie, mimi sio mwandishi mahili.

View attachment 1410600

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natambua 100% Bill hawezi kusema hivyo ingekuwa ni breaking news na ingetangazwa na vyombo vikubwa na vidogo pote duniani... Kilichonifanya ni ukweli uliosemwa hata kama ni wa kutunga

Jr

Unajua imetungwa alafu unasema ni ukweli? Ukiwa kama nani? Watu mna matatizo ya akili. Huwezi sema ni uongo alafu ni ukweli at the same time
 
Fake News,Fake Source,Fake Everything

But i got one word u 'F%CK IT'
 
Nadhani bado hujanielewa.. Nazungumzia maudhui yaliyomo ndani yake.. Graph mbona kama hili andishi linataka kukuzidi uwezo?
Kwani ni uongo ya kwamba tuko tayari kuwa fund wanasiasa na mambo ya kisiasa kuliko ishu serious za utafiti?
Unajua imetungwa alafu unasema ni ukweli? Ukiwa kama nani? Watu mna matatizo ya akili. Huwezi sema ni uongocure.

Soma hapa:

Have you ever seen an African billionaire sponsor any research or scientific innovation in Africa? Never! But during election campaigns, they donate fortunes to political parties. Which is more important, political parties or research and technology development? Be sincere in your answers

Jr
 
Nadhani bado hujanielewa.. Nazungumzia maudhui yaliyomo ndani yake.. Graph mbona kama hili andishi linataka kukuzidi uwezo?
Kwani ni uongo ya kwamba tuko tayari kuwa fund wanasiasa na mambo ya kisiasa kuliko ishu serious za utafiti?

Kitu nipo against ni kuendelea kusambaza wrong information hata kama dhumuni lako ni tofauti. Watu wengi wajinga wanachukulia kitu kama kilivyo as long as kimeandikwa kwenye internet. Sasa mtu atasoma post yako ataondoka atajua billgates kafanya kitu flani kumbe si kweli, mwisho wa siku tuna taifa limejaa wajinga tu wanaoamini vitu ambavyo havipo, idadi ya wajinga waliopo sa hivi inatosha hatutaki zaidi
 
WAJINGA hawatakaa waishe na watazidi kuongezeka as long as tunaithamini siasa na kuipa thamani kubwa kuliko taaluma na ujuzi
Kitu nipo against ni kuendelea kusambaza wrong information hata kama dhumuni lako ni tofauti. Watu wengi wajinga wanachukulia kitu kama kilivyo as long as kimeandikwa kwenye internet. Sasa mtu atasoma post yako ataondoka atajua billgates kafanya kitu flani kumbe si kweli, mwisho wa siku tuna taifa limejaa wajinga tu wanaoamini vitu ambavyo havipo, idadi ya wajinga waliopo sa hivi inatosha hatutaki zaidi

Jr
 
Mkuu tazama productivity yetu kwa kwa sasa, na magonjwa yanayotukabili, wenzetu huwa na mission ya muda mrefu, tazama walichokifanya Libya, Iraq, Syria hivi ni kweli lengo lao lilikuwa ni democracy kwenye hizo nchi?

Angalia kinachoendelea Congo na baadhi ya nchi za Africa, je? Wazungu wanatusaidia au wanafanya biashara ya silaha kutumaliza?

Wanauchungu na wenzetu kuuawa au ndio wachonganishi? Najiuliza tu!

Angalia namna wamarekani wenye asili ya Africa wanavyotendewa hadi leo bado maeneo mengi ubaguzi upo!

Nani alimuua Luther King Jr? Kwanini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia haitatulia kwa amani kamwe..kuna biashara kubwa na nzuri sana ya silaha..watu/nchi zinaingiza pato kubwa sana!so vita to them is just like an ecology !.Well come back Jesus
 
🙇‍♀️🙇‍♀️👇👇
The biggest conspiracy against the growth and dominance of Africa and Africans is not the work of Bill Gates, Monsanto, 5G, the Coronavirus or imperialists or colonialists. It is not Donald Trump, China, Boris Johnson or Queen Elizabeth. It is not a right wing conspiracy, or a left wing conspiracy, neither is it a grand plan of Israel or even the Middle East.

*Africa's biggest problem is its leadership.*

No world leader, or richest man in the world will use electromagnetic waves or vaccines to kill us. And let me tell you why:

1. In 2018 alone, about 230,000 brand new Toyota Land Cruiser 80 (2018 models) were sold in Africa. Lets assume that private sector and NGOs bought 50% of those ( a very conservative estimate), then it means the other half were bought by African governments. This means that at a very very generous base price of $60,000, $690 Million was spent IN SUB-SAHARAN AFRICA ALONE for governmental bodies and officials to buy JUST TOYOTA LAND CRUISERS!
(Sales Data Source: Toyota Global Website)

2. The WHO Global Health Expenditure database puts General Government Expenditure for health for Sub-Saharan Africa at US$361.777 Million US Dollars for 2017. If we even made the figure $362 Million, it means that we spent averagely 52% of what we were willing to spend on Land Cruisers than on health of our own citizens. This is just cost of acquisition, not maintenance.

3. In 2016, Africa accounted for 1.1% (US$22.3 billion) of global investments in R&D. Globally, pharmaceutical companies are among the top investors in R&D in the health science sector, but this is not the case in Africa.

4. Africa has 15% of the world's population and 25% of the world's disease burden, but only 1% of the world's research and development budget is spent in the whole of Africa. Even that, it comes from external resources. Africa, a content of about 1 billion people, holds only 0.1% of the world's patents. Only 198 researchers per million people. Yet even then, remember that our R&D expenditure is mostly sourced from abroad. If you think I'm lying, the 2 main centers for Corona testing are funded by Germany and Japan!

5. Illicit financial losses from corruption and embezzlement alone amount to some $50 Billion annually. Guess where it goes to? The WEST! When you are flying abroad, who usually sits in business class and sleeps and wines and dines in the finest hotels in Europe and America? Is it the African immigrant hustler or the African politician and his cronies? Who do you see when you go to the Palms in Dubai or Abu Dhabi? Or in Monaco or on the Champs D'Elysses? How many politicians own $1 million houses across different continents?

6. In such a situation, do you really think someone wants to destroy us with a virus? We have already systematically weakened our systems. We have very little industrial capacity, we have sold whatever is remaining in Africa to Chinese, we only contribute to 2% of the worlds manufacturing. Our leaders pride themselves in dashing us bicycles, t-shirts and bags of imported rice. Do you think any rational individual needs to employ sophisticated methods which will endanger their own people to destroy us when we are doing such a nice job of it ourselves?

THINK!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

For every day that we live, our compromised healthcare systems and the egos of our leaders are going to sink us further. We have no capacity to produce ANYTHING that will help us. We don’t even have the research labs to provide us with solutions against the virus.

Yet we have an and Christian & Muslim countries where "men of God" are opinion leaders spewing all sorts of controversies because we have been wired to believe in miracles more than science. Sub-saharan Africa contributes on average only .05% of the world's mathematics PhD holders. Wanna compare that with PhD holders in say Theology? Be my guest!!

Hey wait, Ghana still plans to source from churches $100 million to build a cathedral with a Bible Museum, hoping that it will be a tourist attraction. But nobody remembers the last time it bothered to refurbish its museum of science and technology, which has at its entrance a steam tractor from the early 20th century and an old Gatlin Gun.

We keep crying about drug testing on poor Africans, but how many virologists do we have, and how many virus institutes do we have to deal with the over 25% disease burden that we have? Or have our spiritual leaders in the shrines, mosques and churches suddenly become disease experts?

What is the ratio of doctors, nurses & other healthcare professionals to patients, or medical labs to patients in Sub-Saharan Africa?

At this stage, we don’t need Bill Gates to wipe us off the earth. We are doing fine with our incompetence. We have not even began challenging the Chinese who are forcing governments to mortgage their mines and rivers for alluvial gold and bauxite reserves for roads that will last maybe 10 years.

If you think Coronavirus, digital medical records, vaccine trials and 5G networks are designed to destroy Africans for the monopoly of some old computer scientist living in Oregon or Washington State in the US, then you probably should save us all and succumb to the virus as you don’t belong in the 21st century anyway. I know its harsh, but thats the truth. There is no conspiracy against us. We are the captains of our own fate.
 
Mkuu taratibu, acha hasira life is too short.
Sijibishani nawewe tena unauwezo mdogo sana wa kufikiri.Mawazo yako ya MTU ambae hajaenda shule kabisa hata form four I expect better than this

Hafu unahisi tutaendelea kama tunawatu kama wewe katika hii nchi tena mnajiona mnaakili kweli hafu ndo mmejaa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiambie mimi ni mjinga
Tafadhali itazame hii video imetumika lugha ya kiingereza, mimi sio mtafsiri mzuri pia.

Ila kwa kifupi jamaa kaongelea lengo la wamarekani kuwa, kwa muda mrefu serikali ya marekani yaani toka enzi za Kissinger, wamarekani wamekuwa na LENGO LA KUTUPUNGUZA IDADI sisi wa Africa na HAWATAKI TUJITAMBUE NA KUTUMIA RASIRIMALI ZETU kwa FAIDA ya mataifa yetu.

Hivyo kwa mantiki hiyo, napata mashaka sana na misaada yao hasa katika sekta ya AFYA, yaani CHANZO tunazopewa kuna uwezekano mkubwa tunapandikizwa magonjwa yanayopelekea sisi waafrika kushindwa kuzaliana VIZURI.

Dawa nyingi tunazopewa hasa katika miradi yao, kama Bill Gates foundation, Bill Clinton na wengineo inapaswa kuangaliwa kwa jicho PEVU.

Wasomi wetu ifike mahali wafanye tafiti za kutosha kulisaidia bara letu. WAZUNGU hawatupendi, na hakuna kitu wanatoa kama MSAADA, ambao ni BURE, lazima wanamalengo mapana.

Ikiwezekana, MIRADI yote, ichunguzwe, hata haya mambo wanaita HAKI ZA BINADAMU ni UPUUZI, kwani ndani yake ndio kuna ushoga na uchafu mwingi. Yote haya yanadidimiza nguvu ya uzalishaji barani mwetu.

Africa imetupasa kusimama pasipo kutegemea hawa jamaa. Najua ni mchakato, ila tunaweza. HAWATUPENDI.

CHUKUA TAHADHALI jilinde na Corona.

Nakaribisha wajuvi wa mambo watusaidie, mimi sio mwandishi mahili.

View attachment 1410600

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nasoma vitabu, maybe nishauri nisome vitabu gani.
Nimegundua tatizo ni ushamba, mtambo wa kusafisha maji miaka hii haikupi utambulisho wowote ule kwenye science community kwa kua ni technology ambayo iligunduliwa miaka mingi nyuma, siku hizi ukitaka kutambulika njoo na kitu kipya kabisa.

Tatizo sio teye kua mweusi au mwafrika, tatizo alichofanya kilishafanywa na watu wengi miaka zaidi ya 40 nyuma, we unataka atambulike kwa sababu tu ni mweusi? Hahah watanzania ushamba unawasumbua sana. Ni sawa na yule aliyetengeneza mockup ya umbo la helicopter watu mnapiga kelele serikali impe support, support ipi? Hivi kutengeneza umbo lile nani anashindwa? Kila mtu anayefanya welding tanzania ukimpa schema anatengeneza from scratch hadi anamaliza alafu mnataka tutoe support ipi? Atengeneze ipae tuone ndiyo tutamchukulia serious. Washamba bongo mmejaa hadi kero.

Nakushauri nenda kasome, tumia internet vizuri ongeza skills, soma sana vitabu mambo ya biashara, technology, utakuja nishukuru mbeleni kwa kukufungua akili, achana na ushamba mtakufa maskini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom