- Thread starter
- #61
Hao professionals huu ndio muda muafaka wajitokeze kutujulisha sisi ndugu zao, kama kuwaelewa tuwaelewe.
Hakuna haja ya kukaa kimya wajatali huu dunia ipo kwenye tension, japo kwa akili ya kawaida tu, mkuu jiografia pamoja na asili baina yetu na wazungu/wachina ni tofauti.
Kwanini sisi tupendekezwe kwenye hii project? Infant sisi hatuja athirika zaidi kama wao, kwanini waje kutest kwetu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna haja ya kukaa kimya wajatali huu dunia ipo kwenye tension, japo kwa akili ya kawaida tu, mkuu jiografia pamoja na asili baina yetu na wazungu/wachina ni tofauti.
Kwanini sisi tupendekezwe kwenye hii project? Infant sisi hatuja athirika zaidi kama wao, kwanini waje kutest kwetu?
Kuna wakati waafrika tunadharaulika Dunia nzima kwa ujinga kama huu. Chanjo kwa kawaida hujaribiwa katika nchi mbalimbali kwa kuangalia asili ya watu (wazungu, wahindi, waasia, waafrika), jiografia (nchi za joto na baridi), jinsia (wanaume na wanawake), umri (watoto, vijana, watu wazima na wazee).
Chanjo inaapoingia kwenye majaribio, inaangalia makundi hayo. Waafrika kuambiwa tu inatafutwa nchi ya Afrika kwaajili ya majaribio hayo, kwa ujinga tu, wakaanza kulalamika wakifikiria ni wao tu ndio wanaenda kufanyiwa majaribio.
Wakapewa ufafanuzi, lakini wengine kwa sababu ya ujinga wa kudumu, hawaelewi. Ndiyo maana mpaka sasa hakuna kauli iliyotolewa na mtu profeasional kuelezea ubaya wa kilichokusudiwa kwenye majaribio ya hiyo chanjo kwa nchi za Afrika. Na juzi mtafiti mmoja kwaajili ya masuala ya tiba nchini Kenya amefafanua, lakini wajinga bado hawaelewi.
Ni Afrika tu, masula ya utafiti wa dawa na chanjo yanajadiliwa na wacheza mpira, wasanii wa bongo flavour, maafisa mahusiano, wahasibu, wanasheria, n.k. - tena wanataka watoe mafunzo badala ya kutulia na kujifunza kutoka kwa professionals.
Sent using Jamii Forums mobile app
