- Thread starter
- #41
Kwanini sasa hatumpi sapoti ya nguvu mh Magufuli ambae anatamani tusonge mbele na tuje kuwa donor country?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuache ujinga WaAfrica kwa kujitetea na sababu za kipumbavu kwa kuuhami na kuulinda ujinga wetu... Sisi WaAfrica ni wapumbavu ambao tumeshindwa kila kitu halafu tunajitetea kwa sababu fake za kumsingizia mkoloni ilihali mkoloni alitawala China, India, Taiwan, Hongkong, Australia, Canada, Brazil, Singapore, Malysia nk..
Msingi wa maendeleo duniani kote unajulikana ni kufanya kazi kwa bidii, kuacha kuendekeza upumbavu kama ngono, ulevi, wizi, unafiki, uchawi nk, kutafuta elimu na teknolojia na kuitumia nk..Hivyo vyote tumeshindwa halafu tunatafuta sababu za kipumbavu kutetea ujinga wetu... TUACHE UPUMBAVU NA UJINGA..
Sent using Jamii Forums mobile app

