Jinsi wazungu wanavyotuwazia

Jinsi wazungu wanavyotuwazia

SA ilijengwa na makuburu, sasa makuburu wanapungua sana hapo, nchi inarudi nyuma sana, soon SA haitakuwa na tofauti na Burundi ama hapa kwetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
True uchumi wa South unashuka.Sijawahi ona mtawala wa kikoloni kajimilikisha Mali za walipa Kodi kwa kujenga mahekalu check hata Kaburu Botha,De Clark,Ian Smith hawana mahekalu lkn check watawala wa kiafrica check hekalu la zuma,ya mobutu yaliyoko Paris,Uswiss,nk check ya mugabe yaliyopo Malaysia,Uk nk.Watawala wa kiafrica wako kwa ajili ya maslai yao.Ni heri hata ya ukoloni, biashara zililipa,kilimo kililipa,ajira zilikuwa za kutosha.
 
Ni sawa na mtu kushindwa kuenzi ndoa yake akaanza kulaumu wengine kumuharibia ndoa yake! Kama Wazungu ni wabaya kiasi hichi, mbona viongozi wakiumwa huenda huko wakaikolewe maisha yao? Mzungu ndiye aliyetwambia watu wakiandamana kudai haki zao za msingi uwamwagie risasi na kuwapiga virungu? Propaganda zilizopitwa.na wakati!
African leaders always die in foreign hospitals.
 
True uchumi wa South unashuka.Sijawahi ona mtawala wa kikoloni kajimilikisha Mali za walipa Kodi kwa kujenga mahekalu check hata Kaburu Botha,De Clark,Ian Smith hawana mahekalu lkn check watawala wa kiafrica check hekalu la zuma,ya mobutu yaliyoko Paris,Uswiss,nk check ya mugabe yaliyopo Malaysia,Uk nk.Watawala wa kiafrica wako kwa ajili ya maslai yao.Ni heri hata ya ukoloni, biashara zililipa,kilimo kililipa,ajira zilikuwa za kutosha.
tatizo ni la muafrika ni muafrika mwenyewe na sio ngozi nyeupe.
viongozi wanatumia ngozi nyeupe kupata sympathy kwa wananchi.

na wanachi walivyo vilaza, wamekubaliana na dai kwamba tatizo la uchumi wetu na Circumstance yetu ni ngozi nyeupe.
NDIO, NGOZI NYEUPE SIO MIUNGU HATA WAWE NA UPENDO WOTE DHIDI YETU, WANAMAPUNGUFU YAO, LAKINI TATIZO KUBWA NI SISI WENYEWE NGOZI NYEUSI.

my opinion: natamani tutawaliwe tena hata decades 20 hivi ndo watuache tujitawale wenyewe.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuu!
tatizo ni la muafrika ni muafrika mwenyewe na sio ngozi nyeupe.
viongozi wanatumia ngozi nyeupe kupata sympathy kwa wananchi.

na wanachi walivyo vilaza, wamekubaliana na dai kwamba tatizo la uchumi wetu na Circumstance yetu ni ngozi nyeupe.
NDIO, NGOZI NYEUPE SIO MIUNGU HATA WAWE NA UPENDO WOTE DHIDI YETU, WANAMAPUNGUFU YAO, LAKINI TATIZO KUBWA NI SISI WENYEWE NGOZI NYEUSI.

my opinion: natamani tutawaliwe tena hata decades 20 hivi ndo watuache tujitawale wenyewe.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tatizo ni la muafrika ni muafrika mwenyewe na sio ngozi nyeupe.
viongozi wanatumia ngozi nyeupe kupata sympathy kwa wananchi.

na wanachi walivyo vilaza, wamekubaliana na dai kwamba tatizo la uchumi wetu na Circumstance yetu ni ngozi nyeupe.
NDIO, NGOZI NYEUPE SIO MIUNGU HATA WAWE NA UPENDO WOTE DHIDI YETU, WANAMAPUNGUFU YAO, LAKINI TATIZO KUBWA NI SISI WENYEWE NGOZI NYEUSI.

my opinion: natamani tutawaliwe tena hata decades 20 hivi ndo watuache tujitawale wenyewe.


Sent using Jamii Forums mobile app
60 yrs Africa tumeprovu failure hatuwezi jiongoza.Kutwa kuchwa kusingizia mabeberu juu ya kusindwa kwetu
 
Back
Top Bottom