Jinsi wazungu wanavyotuwazia

Jinsi wazungu wanavyotuwazia

Umesifia Sana Asians, what have you done for your beautiful country Tanzania, ili at least na sisi tupige hatua Kama hao?

Umewahi kupeleka mawazo yako mazuri kwa wahusika japo wakusikie kama ikiwezekana wayafanyie kazi?

Hongera kwa uchambuzi wako, ila next time try to control your temper. Unaweza kuwa bora zaidi mkuu.
Majaribio yanafanyika USA, Italy na Australia pia wanafanya. Ungejisumbua kugoogle hata kidogo ungeona kabisa kua wameanzia nchi hizo.
Professor moja kasema kwa nini tusipeleke na Afrika ndiyo waafrika mkaanza kulalamika mnaweka matako mbele as if mmeambiwa mnataka muuliwe, nyie mlipewa priority ya mwisho sio ya kwanza kama mnavyofikiri.

Na naomba ukumbuke uwezo wa kukataa tunao hatujalazimishwa, hakuna mtu aliyekuna akasema anatupa vaccine tujaribu, huyo profesa alitoa mapendekezo tu, ni mtu moja sio wazungu wote acheni ushenzi wa kufikiri wazungu wana shida na nyie. Congo wametuma barua kuomba wapewe hiyo vaccine na wao wajaribu, sasa hapo unamlaumu mzungu huku wakongo wameomba wenyewe?

Watanzania inabidi ifike muda mtambue kua kila mnachokidhania kua nyie ni wa muhimu sana dunia nzima inawafikiria kuwaua sijui kwa wivu upi ni upuuzi mtupu. Nimeishi nchi nyingi Europe Asia US, nakuhakikishia hakuna mtu anawafikiria hata kidogo ni nyie tu mnakaa kuwafikiria na chuki zenu za kishenzi. Igeni asians, wao badala ya kulaumu wazungu wamekaa wamesoma, wamejiendeleza mno sayansi imekua leo hii wanashindana na nchi kubwa duniani, wana pesa za kutosha, infrastructures zilizopo asia ni kali na more modern kuliko hata marekani au united kingdom. Acheni lawama kaeni mjaribu kua competitive muone. Mi niliacha huu ushenzi leo nina maisha mazuri tu. Nenda kasome ongeza skills utaona wewe tu ndiyo ulikua kwenye kifungo cha akili sawa na washenzi wengi wa tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mkuu! Why don't you come up with a plan ili na sisi japo tufikie kiwango cha kuwa na maabara zenye kufanya tafiti mbalimbali, kwa ajili ya kuwatibu watu?

Miti ya kutosha tunayo, kwanini ninyi wanasayansi msije na projects za kuliinua bara letu? Hasa nchi yetu pendwa Tanzania.

Yaani kwenye field ya tiba muwe na maabara, kwenye information technology, muwe na running projects pia, na sisi tufikie level za kina Iran miaka ijayo, turushe satellites zetu.
Elimu ya mzungu ndiyo ipi hiyo? Last I checked wanachofundisha Tanzania ndicho kilekile kinachofundishwa nchi zote duniani, nimesoma Tanzania, nimesoma USA na nimesoma Japan. Physics ni ileile, Maths, Chemistry, Computer, Biotechnology hakuna utofauti wa hata kitu kimoja labda wao kua na facilities nyingi tu, labs kibao wanafunzi wanafanya mazoezi ya kutosha sio bongo mnakariri tu mmemaliza.
Tafuta excuse nyingine ila sio elimu, elimu ni uzembe wetu wenyewe sio sababu ya mzungu. Hakuna elimu ya mzungu. Elimu ni collection ya ujuzi wa binadamu wote toka karne nyingi za nyuma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mkuu! Why don't you come up with a plan ili na sisi japo tufikie kiwango cha kuwa na maabara zenye kufanya tafiti mbalimbali, kwa ajili ya kuwatibu watu?

Miti ya kutosha tunayo, kwanini ninyi wanasayansi msije na projects za kuliinua bara letu? Hasa nchi yetu pendwa Tanzania.

Yaani kwenye field ya tiba muwe na maabara, kwenye information technology, muwe na running projects pia, na sisi tufikie level za kina Iran miaka ijayo, turushe satellites zetu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nipo tayari nafungua biashara mbalimbali Tanzania kwenye tech industry, inabidi watu wengi waamke sio mtu moja tu, mimi siwezi change dunia kama mtu moja, siku zote hua ni effort ya watu wengi. Watu wengi wakiamka wajariibu kubadilisha field flani huu ndani ya miaka 10-20 tutakua mbali sana.

We nikuulize swali, mfano ofisi gani ya serikali leo ukipiga simu inapokelewa au email inajibiwa? Wizara karibia zote wana simu kwenye website zao wameandika alafu hazijibiwi nyingine unaambiwa hazipatikani, watu wamekaa maofisini simu inaita wanaiangalia tu, sasa utabadilishaje mindset ya wavivu kama hawa? Ndiyo maana nakwambia ni team effort, inabidi tuache uvivu kila mtu ahakikishe anaplay part yake vizuri. Yaani Tanzania hakuna sector utaenda useme kuna uafadhali, hata customer care tutalaumu wazungu? nakuja kwako hata kusema karibu husemi unaniangalia tu muda mwingine kwa dharau unasema "unataka nini?" hahaha! wtf is wrong with Tanzanians?

Lets fix our own shit first kabla ya kuanza kulalamikia wazungu.
 
Umesifia Sana Asians, what have you done for your beautiful country Tanzania, ili at least na sisi tupige hatua Kama hao?

Umewahi kupeleka mawazo yako mazuri kwa wahusika japo wakusikie kama ikiwezekana wayafanyie kazi?

Hongera kwa uchambuzi wako, ila next time try to control your temper. Unaweza kuwa bora zaidi mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ohh I'm doing a lot for my country zaidi ya unavyofikiria, nina biashara nimeajiri watu na naendelea kufungua nyingine sasa hivi kwenye technology. Siwezi kwambia kampuni yangu jina lake maana hii ni anonymous website, watu washanitafuta pm sana wanajifanya wadada kumbe wapelelezi tu wanatafuta identity za watu.

Naongea kama viile nina high temper ila sivyo, hua sikasiriki kwa vitu vidogo, ni uandishi tu.
 
Kwani Gadafi alipoondoka madarakani Libya ndio imekaa sawa au ndio wanajuta? Mnajazwa propaganda hadi kufikia kuwachukia viongozi bora kabisa.

walibya watajutia kuondoka kwa Gadafi maisha yao yote. Saddam Hussein pia kaondoka, Iraq imetulia? Je wa Iraq hawajutii kumkosa kiongozi wao?

Tafakari mkuu
Kuna mmarekani ulimuona anakuja kupigana Libya au hivi Magufuli anavyowatriti wapinzani wake mpaka akina lissu wanakimbia nchi yao na familia zao,akitokea mzungu akawasaidia akina lissu kumng'oa Magufuli utamlaum mzungu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo tumejaa lawama badala ya kukaa kufanya kazi. Kila kitu tunamsingizia mzungu, nchi ambazo zilikua level moja ya uchumi na tanzania miaka ya 60 ni nyingi mno ila leo hii Japan, South Korea zote zina uchumi mkubwa mno sisi tuko palepale tumekaa kulaumu wazungu tu. Wao wanepeleka watu nje wanasoma wanarudi kuendeleza nchi, sisi tunakaa kusema billgates anataka kutuwekea sumu.

haha wabongo wengi nyoooko, sijaona watu lazy kama watanzania nchi zote nilizopita duniani
sisi tunakaa kusema billgates anataka kutuwekea sumu.😂😂😂
 
Well said mkuu, but why do they interfere our governments? Niliona interview moja kati ya Rais wa guinea Kama sikosei na mjerumani mmoja nadhani alikuwa waziri.

Yule Rais alikuwa feed up, akamwabia kwanini ninyi Europeans hampendi sisi waafrika kushikiana na Chinese?

Kila European akija anazunguzia kukerwa na uwepo wa Chinese barani kwetu. Why?

Kuna wakati mzee Mugabe alisema waziwazi kwenye UN general assembly, ..."Blair keep your England and let me keep my Zimbabwe...." Ukimsikiliza hapo utaona aliongea mengi mazito...


Hawa jamaa huwa wanataka kuingilia tawala zetu...

The biggest conspiracy against the growth and dominance of Africa and Africans is not the work of Bill Gates, Monsanto, 5G, the Coronavirus or imperialists or colonialists. It is not Donald Trump, China, Boris Johnson or Queen Elizabeth. It is not a right wing conspiracy, or a left wing conspiracy, neither is it a grand plan of Israel or even the Middle East.

*Africa's biggest problem is its leadership.*

No world leader, or richest man in the world will use electromagnetic waves or vaccines to kill us. And let me tell you why:

1. In 2018 alone, about 230,000 brand new Toyota Land Cruiser 80 (2018 models) were sold in Africa. Lets assume that private sector and NGOs bought 50% of those ( a very conservative estimate), then it means the other half were bought by African governments. This means that at a very very generous base price of $60,000, $690 Million was spent IN SUB-SAHARAN AFRICA ALONE for governmental bodies and officials to buy JUST TOYOTA LAND CRUISERS!
(Sales Data Source: Toyota Global Website)

2. The WHO Global Health Expenditure database puts General Government Expenditure for health for Sub-Saharan Africa at US$361.777 Million US Dollars for 2017. If we even made the figure $362 Million, it means that we spent averagely 52% of what we were willing to spend on Land Cruisers than on health of our own citizens. This is just cost of acquisition, not maintenance.

3. In 2016, Africa accounted for 1.1% (US$22.3 billion) of global investments in R&D. Globally, pharmaceutical companies are among the top investors in R&D in the health science sector, but this is not the case in Africa.

4. Africa has 15% of the world's population and 25% of the world's disease burden, but only 1% of the world's research and development budget is spent in the whole of Africa. Even that, it comes from external resources. Africa, a content of about 1 billion people, holds only 0.1% of the world's patents. Only 198 researchers per million people. Yet even then, remember that our R&D expenditure is mostly sourced from abroad. If you think I'm lying, the 2 main centers for Corona testing are funded by Germany and Japan!

5. Illicit financial losses from corruption and embezzlement alone amount to some $50 Billion annually. Guess where it goes to? The WEST! When you are flying abroad, who usually sits in business class and sleeps and wines and dines in the finest hotels in Europe and America? Is it the African immigrant hustler or the African politician and his cronies? Who do you see when you go to the Palms in Dubai or Abu Dhabi? Or in Monaco or on the Champs D'Elysses? How many politicians own $1 million houses across different continents?

6. In such a situation, do you really think someone wants to destroy us with a virus? We have already systematically weakened our systems. We have very little industrial capacity, we have sold whatever is remaining in Africa to Chinese, we only contribute to 2% of the worlds manufacturing. Our leaders pride themselves in dashing us bicycles, t-shirts and bags of imported rice. Do you think any rational individual needs to employ sophisticated methods which will endanger their own people to destroy us when we are doing such a nice job of it ourselves?

THINK!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

For every day that we live, our compromised healthcare systems and the egos of our leaders are going to sink us further. We have no capacity to produce ANYTHING that will help us. We don’t even have the research labs to provide us with solutions against the virus.

Yet we have an and Christian & Muslim countries where "men of God" are opinion leaders spewing all sorts of controversies because we have been wired to believe in miracles more than science. Sub-saharan Africa contributes on average only .05% of the world's mathematics PhD holders. Wanna compare that with PhD holders in say Theology? Be my guest!!

Hey wait, Ghana still plans to source from churches $100 million to build a cathedral with a Bible Museum, hoping that it will be a tourist attraction. But nobody remembers the last time it bothered to refurbish its museum of science and technology, which has at its entrance a steam tractor from the early 20th century and an old Gatlin Gun.

We keep crying about drug testing on poor Africans, but how many virologists do we have, and how many virus institutes do we have to deal with the over 25% disease burden that we have? Or have our spiritual leaders in the shrines, mosques and churches suddenly become disease experts?

What is the ratio of doctors, nurses & other healthcare professionals to patients, or medical labs to patients in Sub-Saharan Africa?

At this stage, we don’t need Bill Gates to wipe us off the earth. We are doing fine with our incompetence. We have not even began challenging the Chinese who are forcing governments to mortgage their mines and rivers for alluvial gold and bauxite reserves for roads that will last maybe 10 years.

If you think Coronavirus, digital medical records, vaccine trials and 5G networks are designed to destroy Africans for the monopoly of some old computer scientist living in Oregon or Washington State in the US, then you probably should save us all and succumb to the virus as you don’t belong in the 21st century anyway. I know its harsh, but thats the truth. There is no conspiracy against us. We are the captains of our own fate.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majaribio yanafanyika USA, Italy na Australia pia wanafanya. Ungejisumbua kugoogle hata kidogo ungeona kabisa kua wameanzia nchi hizo.
Professor moja kasema kwa nini tusipeleke na Afrika ndiyo waafrika mkaanza kulalamika mnaweka matako mbele as if mmeambiwa mnataka muuliwe, nyie mlipewa priority ya mwisho sio ya kwanza kama mnavyofikiri.

Na naomba ukumbuke uwezo wa kukataa tunao hatujalazimishwa, hakuna mtu aliyekuna akasema anatupa vaccine tujaribu, huyo profesa alitoa mapendekezo tu, ni mtu moja sio wazungu wote acheni ushenzi wa kufikiri wazungu wana shida na nyie. Congo wametuma barua kuomba wapewe hiyo vaccine na wao wajaribu, sasa hapo unamlaumu mzungu huku wakongo wameomba wenyewe?

Watanzania inabidi ifike muda mtambue kua kila mnachokidhania kua nyie ni wa muhimu sana dunia nzima inawafikiria kuwaua sijui kwa wivu upi ni upuuzi mtupu. Nimeishi nchi nyingi Europe Asia US, nakuhakikishia hakuna mtu anawafikiria hata kidogo ni nyie tu mnakaa kuwafikiria na chuki zenu za kishenzi. Igeni asians, wao badala ya kulaumu wazungu wamekaa wamesoma, wamejiendeleza mno sayansi imekua leo hii wanashindana na nchi kubwa duniani, wana pesa za kutosha, infrastructures zilizopo asia ni kali na more modern kuliko hata marekani au united kingdom. Acheni lawama kaeni mjaribu kua competitive muone. Mi niliacha huu ushenzi leo nina maisha mazuri tu. Nenda kasome ongeza skills utaona wewe tu ndiyo ulikua kwenye kifungo cha akili sawa na washenzi wengi wa tanzania
Jf waweke kitufe cha "LIKE" zaidi ya moja.
 
Lakini mkuu, ukimtafuta kiongozi kama katibu mkuu wizara ya habari na mawasiliano, ukakaa nae na kumpa mawazo yako mazuri, I believe mtafikia mahali pazuri.

Binafsi napenda nchi yangu isonge, ningependa kuona projects zikianzishwa na kufanikiwa

Don't give up so easily, share mawazo yako, utapata wataofuta nyayo zako mkuu.
Nipo tayari nafungua biashara mbalimbali Tanzania kwenye tech industry, inabidi watu wengi waamke sio mtu moja tu, mimi siwezi change dunia kama mtu moja, siku zote hua ni effort ya watu wengi. Watu wengi wakiamka wajariibu kubadilisha field flani huu ndani ya miaka 10-20 tutakua mbali sana.

We nikuulize swali, mfano ofisi gani ya serikali leo ukipiga simu inapokelewa au email inajibiwa? Wizara karibia zote wana simu kwenye website zao wameandika alafu hazijibiwi nyingine unaambiwa hazipatikani, watu wamekaa maofisini simu inaita wanaiangalia tu, sasa utabadilishaje mindset ya wavivu kama hawa? Ndiyo maana nakwambia ni team effort, inabidi tuache uvivu kila mtu ahakikishe anaplay part yake vizuri. Yaani Tanzania hakuna sector utaenda useme kuna uafadhali, hata customer care tutalaumu wazungu? nakuja kwako hata kusema karibu husemi unaniangalia tu muda mwingine kwa dharau unasema "unataka nini?" hahaha! wtf is wrong with Tanzanians?

Lets fix our own shit first kabla ya kuanza kulalamikia wazungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Gadafi alipoondoka madarakani Libya ndio imekaa sawa au ndio wanajuta? Mnajazwa propaganda hadi kufikia kuwachukia viongozi bora kabisa.

walibya watajutia kuondoka kwa Gadafi maisha yao yote. Saddam Hussein pia kaondoka, Iraq imetulia? Je wa Iraq hawajutii kumkosa kiongozi wao?

Tafakari mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umesikia walibya wakijuta au umeambiwa na viongozi wa ccm kwamba walibya wanajuta?watu mnaopenda vya kupewa bure mnamatatuzo
 
Nakubaliana na mzungumzaji. Ndiyo maana mabeberu wako busy kuhakikisha kuwa hatuongezeki ili tutumie ipasavyo rasilimali tulizonazo kuendelea. Idadi ya watu ni moyo wa maendeleo ya nchi
Mbona hakuna raslimali yeyote waitakayo Africa wakaikosa
 
Wangetuhamishia huko Marekani, yani tubadirishane wao waje huku halafu siye tukaishi kule, tukapachafue wao waendeleze huku pakiisha endelea, kisha waanze kutupa visa kuja Afrika kusoma na kutembea kama tufanyavyo sasa.
Haitofika miaka 5 tutakuwa tushavuruga kila kitu huku tukizamia tena Africa.Angalia tu mfano wa South Africa ya makaburu na ya weusi au Zimbabwe ya Ian Smith na ya mugabe
 
Mkuu tazama productivity yetu kwa kwa sasa, na magonjwa yanayotukabili, wenzetu huwa na mission ya muda mrefu, tazama walichokifanya Libya, Iraq, Syria hivi ni kweli lengo lao lilikuwa ni democracy kwenye hizo nchi?

Angalia kinachoendelea Congo na baadhi ya nchi za Africa, je? Wazungu wanatusaidia au wanafanya biashara ya silaha kutumaliza?

Wanauchungu na wenzetu kuuawa au ndio wachonganishi? Najiuliza tu!

Angalia namna wamarekani wenye asili ya Africa wanavyotendewa hadi leo bado maeneo mengi ubaguzi upo!

Nani alimuua Luther King Jr? Kwanini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakulaumiwa sio wao ni wale wanaokubali kuuziwa silaha na kuchonganishwa,chokochoko za Vita Africa wasabibishi ni watawala wa kiafrica kung'ang'ia madaraka na kutoheshimu katiba zao hivo upelekea kuibuka kwa vikundi vya waasi au Vita.Swali mbona ulaya wao awapiganishwi au kuchonganishwa kama Africa? Jibu ni kwa sababu wanna mifumo ya haki ya usawa ya uongozi.Yaani wananchi wao wanaongozwa na viongozi wawatakao,na viongozi wao wanaangalia maslai ya wananchi wao na sio yao binafsi kama ilivo Africa.Kilichommaliza Ghadafi ni kutowaunganisha watu wake kwa kuamini nguvu ya dola ambayo ni sawa na mabua mbele ya nguvu ya umma
 
Back
Top Bottom