Hamayser hamisi
Member
- Jul 14, 2021
- 25
- 26
Tumaini langu mko salama, kunachangamoto kubwa sana kwa vijana wanaoishi kijiji kupoteza fursa za kazi ambazo Halmashauri huwa wanazitangaza, matangazo haya mara nyingi huwa hayawafikii vijana hawa mara nyingi fursa hizi ufaidika vijana waoshio makao makuu ya Halmashauri.
Hii kutoka na miundo mbinu yetu kuwa mibovu katika halmashauli zetu. Kwa hiyo namna ya kufikisha mabango ya matangazo inashindikana kwa hiyo mwisho wa siku wale vijana walio karibu na makao makuu ya Halmashauri ufaidika.
NAPENDEKEZA, kutoka na maendeleo ya technolojia , serikali ilazimishe kila halmashauli iwe na ukurasa wa mtandao wa kijamii kama facebook, instagram au twiter hili haya matangazo ya kazi au mafunzo yaweze kuwafikia vijana wote wa halmashauli na kwa wakati pia.
Natanguliza shukran.
Asanteni.
Hii kutoka na miundo mbinu yetu kuwa mibovu katika halmashauli zetu. Kwa hiyo namna ya kufikisha mabango ya matangazo inashindikana kwa hiyo mwisho wa siku wale vijana walio karibu na makao makuu ya Halmashauri ufaidika.
NAPENDEKEZA, kutoka na maendeleo ya technolojia , serikali ilazimishe kila halmashauli iwe na ukurasa wa mtandao wa kijamii kama facebook, instagram au twiter hili haya matangazo ya kazi au mafunzo yaweze kuwafikia vijana wote wa halmashauli na kwa wakati pia.
Natanguliza shukran.
Asanteni.