Jinsi ya kutoka kwenye hali ngumu na kutafuta fursa za kazi zisizohitaji ujuzi maalum

Pain 01

Member
Jan 16, 2022
64
62
Habari zeni wakuu, kwa heshima na taadhima nmeona nilete jambo langu hapa. kwa maana katika harakati za msoto wa kila siku nmeona ni vyema kuleta jambo langu aidha naweza kupata idea ama kupata fursa yeyote kwani niko tayari kujifunza

So ladies and Gents

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23
Bado naganga ganga kimaisha, nina ramani wapi nahitaji kufika lakn kutokana na changamoto za kipato(kifedha) ambazo wengi nafaham mnapitia najihisi kuwa nimekwama, hivyo basi naombeni ushauri ama msaada hata wa kibarua kwa namna yeyote mtu anaweza kunisaidia.

Nimekuwa nikijitahidi kutafuta fursa za kazi(vibarua), lakini naona kama nimekwama na kutokana na hali ngumu ya kimaisha katika masuala ya kujitafutia kipato nahisi kuwa tayar nimepotea...

Kama kijana, nataka kusikia kutoka kwa wenzangu jinsi walivyofanikiwa kutoka kwenye hali ngumu yeyote ile kwenye maisha na kupata fursa za kazi zisizohitaji ujuzi maalum ama kuweza kujitegemea tu. Hapa nipo kujifunza na kushirikiana na wenzangu kubadilishana mawazo na uzoefu.

Ninapo zungumgia kazi zisizo rasmi namaanisha kazi zisizo nihitaji kuwa na shahada, kwa maana binafsi nmeishia kidato cha sita na nna cheti pia lakin pia nmeshindwa kuendelea kwa sababu za kifedha....

Kwa yeyote ambaye umewahi kukutana na hali ngumu ya kutafuta kazi zisizohitaji ujuzi maalum?ama kujikwamua kinamna yeyote ile, Unaweza kushiriki uzoefu wako na namna gani naweza kupata link kwenye kazi hizo. Yenye kipato atleast 10,000/= per day

Ni njia gani za kuongeza uwezekano wa kupata kazi hizi zisizohitaji ujuzi maalum...

Je, kuna rasilimali gani nchini kwetu hapa Tanzania za kusaidia katika kutafuta fursa za kazi kama hizo?

Mwisho kabsa napenda kuwashkuru kusoma andiko langu wakubwa na PM yangu iko wazi.
 
Tafuta kazi viwandani mkuu.
Chuo si unaomba mkopo.
Kiwanda gani mkuu ungenitajia ingekua vizuri zaidi...ingekua vizuri ungentajia kwa experience kidogo,

Kuhusu mkopo pia sawa asante kwa ushauri japo nshajaribu mara kadhaa nmekosa, na ni gharama siwez ku afford sahii
 
Habari Mkuu

Sekta ya usafirishaji Bado Ina nafasi kubwa ya kujikwamua kiuchumi kwa kuwa tayari kujifunza.Namaanisha udereva wa gari,Bajaji na hata boda boda.

Usiache kujichanganya katika vijiwe vya wadau Hawa.

Mbinu nyingine ni kuendelea kujiendeleza kitaaluma kadiri ya nafasi uipatayo,Mbinu hii tutafutane kwa ushauri zaidi


Tatu ni kutodharau kiwango Cha elimu ulichonacho kwani Kuna wengine hawajafika level uliyopo na walau wanatamani.

Kuna kazi nyingine jitahidi kutembelea website kama www.mabumbe.com kunakuwa na ajira nyingi ambazo vigezo ni kuanzia form Four na form Six.

Kumbuka,Tunafaulu kwa kupambana na kwa kuonewa huruma.
 
Habari Mkuu

Sekta ya usafirishaji Bado Ina nafasi kubwa ya kujikwamua kiuchumi kwa kuwa tayari kujifunza.Namaanisha udereva wa gari,Bajaji na hata boda boda.

Usiache kujichanganya katika vijiwe vya wadau Hawa.

Mbinu nyingine ni kuendelea kujiendeleza kitaaluma kadiri ya nafasi uipatayo,Mbinu hii tutafutane kwa ushauri zaidi


Tatu ni kutodharau kiwango Cha elimu ulichonacho kwani Kuna wengine hawajafika level uliyopo na walau wanatamani.

Kuna kazi nyingine jitahidi kutembelea website kama www.mabumbe.com kunakuwa na ajira nyingi ambazo vigezo ni kuanzia form Four na form Six.

Kumbuka,Tunafaulu kwa kupambana na kwa kuonewa huruma.
Mkuu nmekupata shukrani sana nitaku pm
 
Habari Mkuu

Sekta ya usafirishaji Bado Ina nafasi kubwa ya kujikwamua kiuchumi kwa kuwa tayari kujifunza.Namaanisha udereva wa gari,Bajaji na hata boda boda.

Usiache kujichanganya katika vijiwe vya wadau Hawa.

Mbinu nyingine ni kuendelea kujiendeleza kitaaluma kadiri ya nafasi uipatayo,Mbinu hii tutafutane kwa ushauri zaidi


Tatu ni kutodharau kiwango Cha elimu ulichonacho kwani Kuna wengine hawajafika level uliyopo na walau wanatamani.

Kuna kazi nyingine jitahidi kutembelea website kama www.mabumbe.com kunakuwa na ajira nyingi ambazo vigezo ni kuanzia form Four na form Six.

Kumbuka,Tunafaulu kwa kupambana na kwa kuonewa huruma.
Nmeku pm mkuu naomba mkuu utaz
 
Kiwanda gani mkuu ungenitajia ingekua vizuri zaidi...ingekua vizuri ungentajia kwa experience kidogo,

Kuhusu mkopo pia sawa asante kwa ushauri japo nshajaribu mara kadhaa nmekosa, na ni gharama siwez ku afford sahii
Unaishi mkoa na wilaya gani?
 
Habari zeni wakuu, kwa heshima na taadhima nmeona nilete jambo langu hapa. kwa maana katika harakati za msoto wa kila siku nmeona ni vyema kuleta jambo langu aidha naweza kupata idea ama kupata fursa yeyote kwani niko tayari kujifunza

So ladies and Gents

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23
Bado naganga ganga kimaisha, nina ramani wapi nahitaji kufika lakn kutokana na changamoto za kipato(kifedha) ambazo wengi nafaham mnapitia najihisi kuwa nimekwama, hivyo basi naombeni ushauri ama msaada hata wa kibarua kwa namna yeyote mtu anaweza kunisaidia.

Nimekuwa nikijitahidi kutafuta fursa za kazi(vibarua), lakini naona kama nimekwama na kutokana na hali ngumu ya kimaisha katika masuala ya kujitafutia kipato nahisi kuwa tayar nimepotea...

Kama kijana, nataka kusikia kutoka kwa wenzangu jinsi walivyofanikiwa kutoka kwenye hali ngumu yeyote ile kwenye maisha na kupata fursa za kazi zisizohitaji ujuzi maalum ama kuweza kujitegemea tu. Hapa nipo kujifunza na kushirikiana na wenzangu kubadilishana mawazo na uzoefu.

Ninapo zungumgia kazi zisizo rasmi namaanisha kazi zisizo nihitaji kuwa na shahada, kwa maana binafsi nmeishia kidato cha sita na nna cheti pia lakin pia nmeshindwa kuendelea kwa sababu za kifedha....

Kwa yeyote ambaye umewahi kukutana na hali ngumu ya kutafuta kazi zisizohitaji ujuzi maalum?ama kujikwamua kinamna yeyote ile, Unaweza kushiriki uzoefu wako na namna gani naweza kupata link kwenye kazi hizo. Yenye kipato atleast 10,000/= per day

Ni njia gani za kuongeza uwezekano wa kupata kazi hizi zisizohitaji ujuzi maalum...

Je, kuna rasilimali gani nchini kwetu hapa Tanzania za kusaidia katika kutafuta fursa za kazi kama hizo?

Mwisho kabsa napenda kuwashkuru kusoma andiko langu wakubwa na PM yangu iko wazi.
Dah umenikumbusha mbali
 
Habari zeni wakuu, kwa heshima na taadhima nmeona nilete jambo langu hapa. kwa maana katika harakati za msoto wa kila siku nmeona ni vyema kuleta jambo langu aidha naweza kupata idea ama kupata fursa yeyote kwani niko tayari kujifunza

So ladies and Gents

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23
Bado naganga ganga kimaisha, nina ramani wapi nahitaji kufika lakn kutokana na changamoto za kipato(kifedha) ambazo wengi nafaham mnapitia najihisi kuwa nimekwama, hivyo basi naombeni ushauri ama msaada hata wa kibarua kwa namna yeyote mtu anaweza kunisaidia.

Nimekuwa nikijitahidi kutafuta fursa za kazi(vibarua), lakini naona kama nimekwama na kutokana na hali ngumu ya kimaisha katika masuala ya kujitafutia kipato nahisi kuwa tayar nimepotea...

Kama kijana, nataka kusikia kutoka kwa wenzangu jinsi walivyofanikiwa kutoka kwenye hali ngumu yeyote ile kwenye maisha na kupata fursa za kazi zisizohitaji ujuzi maalum ama kuweza kujitegemea tu. Hapa nipo kujifunza na kushirikiana na wenzangu kubadilishana mawazo na uzoefu.

Ninapo zungumgia kazi zisizo rasmi namaanisha kazi zisizo nihitaji kuwa na shahada, kwa maana binafsi nmeishia kidato cha sita na nna cheti pia lakin pia nmeshindwa kuendelea kwa sababu za kifedha....

Kwa yeyote ambaye umewahi kukutana na hali ngumu ya kutafuta kazi zisizohitaji ujuzi maalum?ama kujikwamua kinamna yeyote ile, Unaweza kushiriki uzoefu wako na namna gani naweza kupata link kwenye kazi hizo. Yenye kipato atleast 10,000/= per day

Ni njia gani za kuongeza uwezekano wa kupata kazi hizi zisizohitaji ujuzi maalum...

Je, kuna rasilimali gani nchini kwetu hapa Tanzania za kusaidia katika kutafuta fursa za kazi kama hizo?

Mwisho kabsa napenda kuwashkuru kusoma andiko langu wakubwa na PM yangu iko wazi.
Ushauri mfupi ninaoweza kukupa ni huu
1. Hakikisha unakuwa mwepesi ww kujifunza vitu vipya (fursa zinazopita mbele yako) mfano ujenzi, kilimo, biashara hasa za masokoni, udereva n.k
2. Hakikisha ukipewa kazi unaifanya kwa ari na ubora ili hata anayekupa akipata nyingine akufikirie wewe. Ama akisikia mtu anahitaji basi akutaje wewe
3. Hakikisha unakuwa muaminifu kwenye kazi na pesa.
4. Jenga urafiki na wana unaokutana nao kwenye mishe mbali mbali unazopata, hao ndio wanaofahamu dili mpya
5. Epuka kujipendekeza sana kwa maboss ama kuwa informer wao.
6. Kama unatamani siku moja kuwa na profession maalum basi usisahau kujiendeleza umri wako unaruhusu sana sana
 
Ushauri mfupi ninaoweza kukupa ni huu
1. Hakikisha unakuwa mwepesi ww kujifunza vitu vipya (fursa zinazopita mbele yako) mfano ujenzi, kilimo, biashara hasa za masokoni, udereva n.k
2. Hakikisha ukipewa kazi unaifanya kwa ari na ubora ili hata anayekupa akipata nyingine akufikirie wewe. Ama akisikia mtu anahitaji basi akutaje wewe
3. Hakikisha unakuwa muaminifu kwenye kazi na pesa.
4. Jenga urafiki na wana unaokutana nao kwenye mishe mbali mbali unazopata, hao ndio wanaofahamu dili mpya
5. Epuka kujipendekeza sana kwa maboss ama kuwa informer wao.
6. Kama unatamani siku moja kuwa na profession maalum basi usisahau kujiendeleza umri wako unaruhusu sana sana
Asante
Nina imani mungu ataniongoza kwenye njia hio pia, niko tayari kujifunza japo naomba nieleze izo fursa....

Hata nkipata muongozo ama kama una connection mahala panahitaji msaidizi nitaitika kwa moyo wote
 
Naishi dar es salaam , wilaya ya temeke sir
Dar kuna fursa nyingi sana.
1. Kazi za viwandani mf viwanda vya Rasta hapo temeke, kiwanda cha cement na vingine vingi. Kiwanda cha bhakhressa kama unaenda vikindu. Murza, pepsi na sido nyerere road. Viwanda bora, azania na mzizima (hiki ninauhakika ukiwahi hauwezi kukosa ila kazi zao ni kisanga). Viwandani unapoanza unakuwa hauna connection so unaweza kwenda ukakosa ila usichoke kurudi. Sura ikishazoeleka na ukawa unapiga kazi kwa juhudi na maarifa basi inafikia wakati unakuwa kontawa na kazi ngumu hazikuhusu tena
2. Kazi za ulinzi kwenye kampuni zinazojielewa kama G4S na Garda. Uzuri wa hz kazi siyo ngumu na ukipata shifti ya usiku sehemu zisizokuwa na purukushani basi unaweza kufanya mambo mengine wakati wa mchana, hata kujiendeleza kielimu
3. Masokoni mfano kuuza mifuko, kuuza vinywaji baridi, kuuza ice cream
4. Shida kwenye vijiwe vya pikipiki, bajaj na magari hapo utajifunza udereva na kazi za usafirishaji
5. Kwasababu wewe form 6. Kama unawito wa kufundisha pita kwenye tuition center omba kazi ya kufundisha masomo ambayo unauhakika uko vizuri, ukipata uzoefu unaomba kwenye mashule
 
Wakuu bado sjapata kibarua chochote nawahitaji jamn ata usingizi spati ...napata ule wa mang'amunga'mu niliosomaga uko o level somo la kiswahili 😪
Ata kama mtu anahitaji house boy niko tayari
Ama kijana wa kumwagilia bustani ama kusafanya usafi wa pavements nknk wakuu najitoa kwa ari yote
 
Mkuu pole kwa changamoto kwanza ila nikupitishe nlipopita binafsi nlijichanganya kwenye udereva nilikuwa mpaka konda wa malori na mpaka nkajifunza kbsa kuendesha wakati huo najichanga mpaka kupata pesa nikakata lesen yangu baadae ikatokea nafas nilipata kazi kumuendesha mtu bnafsi nikawa na kazi uhakika kila mwish wa mwezi bado marupurupu, connection zilianza mana mtu niliyekuwa namuendesha alikuwa na wadhifa fulani na kama unavyojua matajiri ukaa na matajiri huwez kula kitunguu mdom ukanukia nyanya. Nilikuja kupata kaz kwngne mpaka kujimake nakufungua biashara zangu bnafsi mana ajira ni zamuda. Ila haikuwa rahisi hivyo kikubwa subira, uvumilivu, uaminifu nakujituma viwe nawe la msingi zaid usiache kumuomba MUNGU kwa imani yako. Mwsho samahan mm si muandishi mzuri.
 
Mkuu pole kwa changamoto kwanza ila nikupitishe nlipopita binafsi nlijichanganya kwenye udereva nilikuwa mpaka konda wa malori na mpaka nkajifunza kbsa kuendesha wakati huo najichanga mpaka kupata pesa nikakata lesen yangu baadae ikatokea nafas nilipata kazi kumuendesha mtu bnafsi nikawa na kazi uhakika kila mwish wa mwezi bado marupurupu, connection zilianza mana mtu niliyekuwa namuendesha alikuwa na wadhifa fulani na kama unavyojua matajiri ukaa na matajiri huwez kula kitunguu mdom ukanukia nyanya. Nilikuja kupata kaz kwngne mpaka kujimake nakufungua biashara zangu bnafsi mana ajira ni zamuda. Ila haikuwa rahisi hivyo kikubwa subira, uvumilivu, uaminifu nakujituma viwe nawe la msingi zaid usiache kumuomba MUNGU kwa imani yako. Mwsho samahan mm si muandishi mzuri.

Nmekuelewa vzuri na umepangilia vizuri jibu lako
Ungenidokeza pakuanzia ata kujichanganya kupata ata nafasi ya uo ukonda wa malori mku ntashkuru.
ama kama unaweza ukanionganisha mungu akubariki zaidi
 
Ingia YouTube zimejaa kozi mbalimbali za kupiga hela kwa mtaji nguvu zako.
Kuna
1. kutengeneza mifagio kwa wingi na kusupply kwa jumla mifagio ya chupa za maji ya kunywa au makuti,au mianzi au majani pori.
2.Kukusanya mibuyu maporini na kujaza magunia
3.Kulima bustani
4.Kuwa dalali mtaji upatajk wa information tu
5 kukaanga mihogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom