Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,743
Umeandika ujinga, have I ever said magu sio mtanzania?
Do I even care kabila Ni wa wapi? Sina muda wa kuhangaika kujua Nani Ni wa wapi
Ni ubaguzi wa kijinga
My point was, hii thread imo humu for years, badala ya kuja kurecycle... Someni jf kila kitu kipo
Fanya kazi ulee family... Haya mengine yanafuata watafuta damu za watu tu
Hats waki-recycle a mega times kwani tstizo liko wapi, kumbuka so kila member aliwahi kupitia babdiko la zamani. Hapa picha inaonyesha Joseph anafananasana na Kananbe kuliko Kabira - hakuna ubishi hapo, labda ukiwa ajenda ya siri.