Joseph Kabila aliingia madarakani baada ya baba yake kupigwa risasi. Je, alihusika katika njama za kumuua baba yake?

44mg44

JF-Expert Member
Jun 16, 2019
2,135
2,141
Mwenye ufaham kuhusu siasa za DRC Naomba anifafanulie, kuhusu hawa Marais wawili Hayati Roula Kabila na Joseph Kabila.

Ninavyojua mim Laurent Kabila aliuawa kwa risasi na nchi ikatawaliwa kwa njia ya mapinduzi, na alieitawala ni mtoto wa Laurent Kabila, yaan Joseph Kabila.

Kulingana na ufaham huo huwa najiuliza maswali yafuatayo:
(a) Joseph Kabila alimpindua Baba yake?
(b) Alipata wapi ujasiri wa kumuua baba yake?
(c)Au waliompindua ni wengne na Joseph Kabila akawazid ubabe akaingia madarakani?

Karibuni mnipe elimu
 
Katika sura ya nje, sio Joseph aliemuua Laurent Kabila aliuwawa na watu wengine Ila hakupinduliwa ndipo akapata Jose akapata wasaa wa kurithi.

Ila nyuma ya pazia inasemekana Jose alihusika. Pia inasemekana Joseph sio mtoto wa Kabila,Ila mama ake ni mke wa Kabila
 
Katika sura ya nje, sio Joseph aliemuua Laurent Kabila.. ..aliuwawa na watu wengine Ila hakupinduliwa ndipo akapata Jose akapata wasaa wakurithi..

Ila nyuma ya pazia inasemekana Jose alihusika..
Pia inasemekana Joseph sio mtoto wa Kabila,Ila mama ake ni mke wa Kabila
Kwan Katiba ya DRC inaruhusu mtoto kurith urais pale baba yake anapokufa ??
 
Mazingira kivip yaan? Kama unauelewa Naomba unifafanulie mkuu
Baba yake mzee Laurent Kabila(tamka Loraan)alikuwa ndiye kiongozi mkuu wa maazimio ya kumng'oa Magufuli...oooh noo!Kukungweno Mobutu Seseseko Wa Zabanga.Sasa alipokufa huyo Laurent,wafuasi wake waliona wakichukua nafasi yake watazua hoja zisizo na majibu.Kumbuka,Joseph alikuwa naye ni mwanajeshi(waasi?) miongoni mwa wengi upande wa kabila.Hivyo basi,wakampa ukuu ili kuondoa shakashaka kwa watu na wafadhili.Mambo yakawa sawa.
 
Baba yake mzee Laurent Kabila(tamka Loraan)alikuwa ndiye kiongozi mkuu wa maazimio ya kumng'oa Magufuli...oooh noo!Kukungweno Mobutu Seseseko Wa Zabanga.Sasa alipokufa huyo Laurent,wafuasi wake waliona wakichukua nafasi yake watazua hoja zisizo na majibu.Kumbuka,Joseph alikuwa naye ni mwanajeshi(waasi?) miongoni mwa wengi upande wa kabila.Hivyo basi,wakampa ukuu ili kuondoa shakashaka kwa watu na wafadhili.Mambo yakawa sawa.
Duu!! Uasi wa Joseph Kabila unaonekana vipi mkuu Kama yeye hakushirik kwenye mauji ya Baba yake ?
 
Duu!! Uasi wa Joseph Kabila unaonekana vipi mkuu Kama yeye hakushirik kwenye mauji ya Baba yake ?
Uasi wake unakuja kwa namna hii:Wakati huo Mobutu alikuwa ndiye rais wa Zaire(tamka Zaiir) tena dikteta.Mzee Laurent Kabila akaanzisha mapambano ya msituni iki kumtoa madarakani Mobutu.Kwa hiyo,iwapo kuna utawala kwenye nchi,weye ukaanzisha mapambano dhidi ya utawala huo moja kwa moja utaitwa muasi(rebellions,tamka rebeel).Lakini walio upande wako watakuita mkombozi.
 
Back
Top Bottom