Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,090
- 2,705
Moja ya mgogoro mkubwa unaoikumba nchi ya DRC ni huu wa kutaka kuzalisha nchi mpya inayoitwa “REPUBLIC OF KIVU”
Mchakato huu ulianza mwaka 1997 pale Laurent kabila aliposhirikiana na Waasi kwenda kuipindua serikali yake ya Congo chini ya Mobutu
NB: Miaka 26 baadae Progress ikoje
Mchakato huu ulianza mwaka 1997 pale Laurent kabila aliposhirikiana na Waasi kwenda kuipindua serikali yake ya Congo chini ya Mobutu
NB: Miaka 26 baadae Progress ikoje