comrade wetu
JF-Expert Member
- Nov 5, 2018
- 964
- 605
hata yule askari mtoto au dogodogo kama walivyokuwa wanawaita aitwaye Rashid aliyefyatua risasi ya kumuua laurent kabila wanasema ni Mtanzania na Laurent alikuwa anamuamini mno
Wacha bana daaah sasa kama ni kweli uko vizuri mno na kwann awe Mtanzania?