kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Msitunge sheria zenu kutaka kuzuia Moise Katumbi kugombea Urais
Siku zote mlikuwa kimya baada ya kusikia Moise Katumbi anataka kugombea Urais ndipo wanajifanya kulalamika na sheria zao za kibaguzi eti ili uwe Rais ni lazima uwe mkongomani wa baba na mama, huu ni ubaguzi
Kuwa mkongomani wa baba na mama sio sababu. Mobutu alikuwa mkongo wa baba na mama ni nini alitufanyia Kongo
Kama tupo katika matatizo makubwa ni kwasababu ya hawa wanaoitwa wakongo halisi
Kipindi Moise Katumbi anapambana kumtoa Kabila madarakani wote wanaojiita leo wakongo wa baba na mama si mlikuwa kimya Katumbi pekee yake alipambana na Kabila mpaka kufikia hatua ya kufukuzwa nchini wote mlikuwa kimya
Halafu leo wanakuja kuibuka eti sisi ndo wakongo halisi baada ya kuokota madaraka
Antoine Tshisekedi si alishindwa kumtoa Kabila madarakani yeye mkongo wa baba na mama
Tunachokitaka kwetu ni maendeleo tu huo ukongo wa baba na mama pelekeni kwenye makabila yenu sio kwenye nchi hii
Siku zote mlikuwa kimya baada ya kusikia Moise Katumbi anataka kugombea Urais ndipo wanajifanya kulalamika na sheria zao za kibaguzi eti ili uwe Rais ni lazima uwe mkongomani wa baba na mama, huu ni ubaguzi
Kuwa mkongomani wa baba na mama sio sababu. Mobutu alikuwa mkongo wa baba na mama ni nini alitufanyia Kongo
Kama tupo katika matatizo makubwa ni kwasababu ya hawa wanaoitwa wakongo halisi
Kipindi Moise Katumbi anapambana kumtoa Kabila madarakani wote wanaojiita leo wakongo wa baba na mama si mlikuwa kimya Katumbi pekee yake alipambana na Kabila mpaka kufikia hatua ya kufukuzwa nchini wote mlikuwa kimya
Halafu leo wanakuja kuibuka eti sisi ndo wakongo halisi baada ya kuokota madaraka
Antoine Tshisekedi si alishindwa kumtoa Kabila madarakani yeye mkongo wa baba na mama
Tunachokitaka kwetu ni maendeleo tu huo ukongo wa baba na mama pelekeni kwenye makabila yenu sio kwenye nchi hii