Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,273
- 11,773
Apumzike kwa amani,pole kwa wanafamilia
Tutatuliaje akati mitego mmeizidisha adi tunashindwa kuirukaAkapumzike kwa amani, wanaume sahizi mnakufa sana na sababu ni hiyo hiyo...
Mtulieèeeee
Omba yasikukute mkuu, moto wa petrol unaujua?Nikianza ku imagine kwa circumstances ya tukio naona kama hata mchizi kafa kizembe
Yani demu anawasha moto we uko ndani baada ya ku fight utoke unaanza kumuomba afungue mlango?
Hapo ningekua mimi vyomba vya habari headlines zingeandika the return of koyla.
Yani ningepita na mlango huku nawaka kama sharukan
Tamaa zenu tu zimewazidi.....kwani sisi hatuwaoni nyie? Hamtujaribu? Mbona tunajotahidi kukaa njia kuuTutatuliaje akati mitego mmeizidisha adi tunashindwa kuiruka
Nyie sikieni tu moto, omba yasikukute, wewe upo ndani unahisi masihara hawezi choma mara kamwaga dumu la petrol na kiberiti juu huo moshi wake tu mchezo unaishia hapoAngetoboa bati
Anasimamisha mavitu yana jaa mlima apande afike darini apige bati na limbao
Mpaka wa gas nisha surviveOmba yasikukute mkuu, moto wa petrol unaujua?
Wanaume kutulia ni ngumu labda awe na hofu sana ya Mungu, vishawishi ni vingi sana na teknolojia inachangia kurahisisha zinaa,Tamaa zenu tu zimewazidi.....kwani sisi hatuwaoni nyie? Hamtujaribu? Mbona tunajotahidi kukaa njia kuu
Ukiona mwanamke anachepuka ujue wewe ndio tatizo
HongeraMpaka wa gas nisha survive
Hujawahi kupewa vitu vitamu wewe! Unajua Kuna watu wanautamu mpk ukifumba macho unaona ule usemi wa "zunguka huko nami huku tumfinye mshenz..I"
AiseeeAlimwambukiza HIV huyo jamaa yaani hawa mavinyozi na wanawake wa saloon ni malaya sijawahi ona sijui tatizo ni nini?waseng......e sana
Maana yake hata wanawake wanawafanyia the same...mke wa mtu, mume wa mtuDawa ni wanaume kutooa tu, unakula unalipa unasepa, wanatunyanyasa na k zao, na wanawake mjifunze hakuna mwanaume wa peke yako, narudia tena hayupoooo
Kuikemea nafsi ni jambo kuu kabisa,sababu tamaa za mwili haziwezi kutimilizwa kamwe,sababu roho i lazi mwili ni dhaifu.Mungu atupe ujasiri kabisa wakuishinda duniaUzinzi mbaya sana. Kweli mshahara wa dhambi ni mauti jamaa kapokea mshahara wake. Tamaa siku zote huzaa dhambi jamani tuziongeleshe tamaa zetu. Tuzikemee kwa capital letters.
Leo hii jamaa kaacha familia nyuma sikitiko. Semesha moyo wako kuridhika. Tujifunze kutosheka la sivyo kizazi kitateketea. Wanaokufa ni wanaume, nguvu kazi ya taifa...adui atapita kirahisi kwenye taifa ikiwa population ya wanaume ni ndogo. Tamaa tamaa tamaa si nzuri.
#mwenyekusikianaasikie#
Mithali 6:32 (Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake)"aziniye na mwanamke hana akili kabisa afanya jambo litakaloangamiza nafsi yake" hayo ni maneno ya biblia sijui kwenye kitabu gani vile nikumbusheni jamani
Nikianza ku imagine kwa circumstances ya tukio naona kama hata mchizi kafa kizembe
Yani demu anawasha moto we uko ndani baada ya ku fight utoke unaanza kumuomba afungue mlango?
Hapo ningekua mimi vyomba vya habari headlines zingeandika the return of koyla.
Yani ningepita na mlango huku nawaka kama sharukan
Nani alimwambukiza mwenzake? Andika kwa utulivu ueleweke sio unaandika kama unaharisha.Alimwambukiza HIV huyo jamaa yaani hawa mavinyozi na wanawake wa saloon ni malaya sijawahi ona sijui tatizo ni nini?waseng......e sana