Jifunze kitu hapa: Hii hapa Taarifa ya mwanaume aliechomwa moto na mwanamke wake (mchepuko)

Nikianza ku imagine kwa circumstances ya tukio naona kama hata mchizi kafa kizembe

Yani demu anawasha moto we uko ndani baada ya ku fight utoke unaanza kumuomba afungue mlango?

Hapo ningekua mimi vyomba vya habari headlines zingeandika the return of koyla.

Yani ningepita na mlango huku nawaka kama sharukan
Omba yasikukute mkuu, moto wa petrol unaujua?
 
Kwahiyo huyo Zungu kama alikuwa na familia, ilikuwaje akafia ugenini?
Huyo mchepuko hakulijua hili?
Alichepuka na nani mpaka akachomwa 🔥?
Nahisi alijitangaza kuwa yuko single, akapewa nyapu ilipobuma neema akachomoa betri 🔥 ukatokea
 
Tamaa zenu tu zimewazidi.....kwani sisi hatuwaoni nyie? Hamtujaribu? Mbona tunajotahidi kukaa njia kuu
Ukiona mwanamke anachepuka ujue wewe ndio tatizo
Wanaume kutulia ni ngumu labda awe na hofu sana ya Mungu, vishawishi ni vingi sana na teknolojia inachangia kurahisisha zinaa,
Mbaya zaidi unamtongoza mwanamke anaejua kila kitu kuhusu wewe lakini hajali anakubali na mtoto anakuzalia, tatizo linaanzia kwenu. Kama huyo aliemuua jamaa pengine anajua ana familia yake lkn kaamua kua nae, Kuna nipo nae mchepuko ana wivu kuliko hata mke wangu na kunifuatilia kupitiliza, na kunitishia maisha keshanitisha sanaa apo yeye ni mchepuko na anajua kila kitu kuhusu mimi. Sisi tunavutiwa na nyie kwanini msitukatae?
 
Uzinzi mbaya sana. Kweli mshahara wa dhambi ni mauti jamaa kapokea mshahara wake. Tamaa siku zote huzaa dhambi jamani tuziongeleshe tamaa zetu. Tuzikemee kwa capital letters.

Leo hii jamaa kaacha familia nyuma sikitiko. Semesha moyo wako kuridhika. Tujifunze kutosheka la sivyo kizazi kitateketea. Wanaokufa ni wanaume, nguvu kazi ya taifa...adui atapita kirahisi kwenye taifa ikiwa population ya wanaume ni ndogo. Tamaa tamaa tamaa si nzuri.

#mwenyekusikianaasikie#
Kuikemea nafsi ni jambo kuu kabisa,sababu tamaa za mwili haziwezi kutimilizwa kamwe,sababu roho i lazi mwili ni dhaifu.Mungu atupe ujasiri kabisa wakuishinda dunia
 
"aziniye na mwanamke hana akili kabisa afanya jambo litakaloangamiza nafsi yake" hayo ni maneno ya biblia sijui kwenye kitabu gani vile nikumbusheni jamani
Mithali 6:32 (Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake)
 
Nikianza ku imagine kwa circumstances ya tukio naona kama hata mchizi kafa kizembe

Yani demu anawasha moto we uko ndani baada ya ku fight utoke unaanza kumuomba afungue mlango?

Hapo ningekua mimi vyomba vya habari headlines zingeandika the return of koyla.

Yani ningepita na mlango huku nawaka kama sharukan
 
Back
Top Bottom