Jifunze kitu hapa: Hii hapa Taarifa ya mwanaume aliechomwa moto na mwanamke wake (mchepuko)

Wanaume kutulia ni ngumu labda awe na hofu sana ya Mungu, vishawishi ni vingi sana na teknolojia inachangia kurahisisha zinaa,
Mbaya zaidi unamtongoza mwanamke anaejua kila kitu kuhusu wewe lakini hajali anakubali na mtoto anakuzalia, tatizo linaanzia kwenu. Kama huyo aliemuua jamaa pengine anajua ana familia yake lkn kaamua kua nae, Kuna nipo nae mchepuko ana wivu kuliko hata mke wangu na kunifuatilia kupitiliza, na kunitishia maisha keshanitisha sanaa apo yeye ni mchepuko na anajua kila kitu kuhusu mimi. Sisi tunavutiwa na nyie kwanini msitukatae?
Umenikumbusha kipindi mchepuko wangu uliposhtukia kuna manzi mwingine, ukasema utamwambia wife labda yeye ndio nitamsikiliza
 
Jamaa huyo maarufu kwa jina la Zungu ameuliwa kwa kuchomwa moto na mpenzi wake huyo kwa jina la Neema. Tukio limetajwa kutokea huko Mbezi Makabe, Dar jana usiku.

Sababu inadaiwa ni jamaa kutokuwa mwaminifu katika mapenzi yao ndipo mdada anadaiwa kumfungia ndani jamaa kisha kumwaga petrol na kuunguza nyumba inayodaiwa kuwa ya baba wa mdada huyo.

Kabla ya tukio hilo jana, inadaiwa Neema aliweka status mtandaoni kuashiria atafanya tukio baya huku katika status hizo akisema mtanisamehe

Zungu ambaye ametajwa kuwa kinyozi huko Mbezi, kwa upande mwingine anadaiwa alikuwa na mke na watoto wawili hivyo Neema alikuwa mpenzi wake mwingine. Kwa mujibu wa walioshuhudia nyumba ikiungua wamesema walikuwa wakisikia sauti ya Zungu akimuomba Neema amsamehe na amfungulie mlango asifariki lakini moto uliochagizwa kwa petrol unadaiwa ulikuwa mkubwa

Neema tayari inadaiwa amedakwa yupo polisi.

Je, kitendo alichofanya Neema ni sahihi?

Nini maoni yako?

View attachment 1856649
Kwanza nikukosoe hili tukio limetokea jana usiku? Rekebisha mada yako hata kama umeikopi sehemu jifunze kuandika tarehe ya tukio na sio mambo ya jana juzi.
 
Nikianza ku imagine kwa circumstances ya tukio naona kama hata mchizi kafa kizembe

Yani demu anawasha moto we uko ndani baada ya ku fight utoke unaanza kumuomba afungue mlango?

Hapo ningekua mimi vyomba vya habari headlines zingeandika the return of koyla.

Yani ningepita na mlango huku nawaka kama sharukan
Hebu mwangalie mwanaume mwenyewe pale juu halafu useme kama anaweza kufanya hivyo!
 
Oyaa mabaharia tuwe tunaangalia na wanawake wa kudate nao pia wakuwadanganya maana mda wowote ukiharibu wanakuwahisha kwa sir god


Halima wa Manzese alinipenda kupita maelezo mnoo sema kichwa kibovu na kama unavyojua huwa haturidhiki na jike moja alikuwa akiniambia we endelea na umalaya wako siku umelala nikikata hicho kikojoleo chako ndio utaelewa mara anitishie kuniwekea simu ukigombana nae chochote kilicho mbele yako anakitumia


So ikabidi niachie ngazi so mabaharia angalieni sana hawa watu we tafuta ka manzi kapole kalokole kenye huruma kafia dini
 
Wanaume kutulia ni ngumu labda awe na hofu sana ya Mungu, vishawishi ni vingi sana na teknolojia inachangia kurahisisha zinaa,
Mbaya zaidi unamtongoza mwanamke anaejua kila kitu kuhusu wewe lakini hajali anakubali na mtoto anakuzalia, tatizo linaanzia kwenu. Kama huyo aliemuua jamaa pengine anajua ana familia yake lkn kaamua kua nae, Kuna nipo nae mchepuko ana wivu kuliko hata mke wangu na kunifuatilia kupitiliza, na kunitishia maisha keshanitisha sanaa apo yeye ni mchepuko na anajua kila kitu kuhusu mimi. Sisi tunavutiwa na nyie kwanini msitukatae?
Basi mwisho wa siku malipo ya mzinzi ni kama ya mwizi jamaa kaishia kufa,
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom