Jicho la tatu Arusha na Lema linavyoona

Jicho la tatu Arusha na Lema linavyoona

MUNGU HASHINDWI NA SHETANI HATA SIKU 1, sauti ya UMMA ni sauti ya MUNGU
Haya mameno nimezoea kuyasikia kwenye mikutano ya injili ya kakobe na mzee mzee wa upako, sasa sijui kwenye siasa yanaingia vipi!
 
Arusha tumezoea mabomu hawatutishi ati na pia ugomvi ni jadi yetu kwa hiyo hakuna noma. Kama wewe ni mzaliwa ARS alafu huna Ngeu wewe ni k tuu maN
 
Habari wana jf. Ndg zangu kutokana na hali halisi iliyotokea pale Arusha leo juu ya kumvua ubunge mh Lema hiyo inamaanisha kwamba jimbo liko wazi,sasa nami nimeamua kuingia kwenye kinyan'ganyiro hicho kupitia chama changu.Maana maisha ya udaktari yamenishinda,kila kukicha migomo tuuuuuuuuuuu!!! Sasa jee nikipata nafasi ya kugombea akina mama hapo mbele mtanipa?na akina baba hapo nyuma mtanipa?
acha sera za kizaman ww
 
Habari wana jf.
Ndg zangu kutokana na hali halisi iliyotokea pale Arusha leo juu ya kumvua ubunge mh Lema hiyo inamaanisha kwamba jimbo liko wazi,sasa nami nimeamua kuingia kwenye kinyan'ganyiro hicho kupitia chama changu.Maana maisha ya udaktari yamenishinda,kila kukicha migomo tuuuuuuuuuuu!!!
Sasa jee nikipata nafasi ya kugombea akina mama hapo mbele mtanipa?na akina baba hapo nyuma mtanipa?
0:A S angel:
 
nime umia sana! lakini najua haki yetu haiwezi kupotea!
 
Acha watu waongee ushabiki wa kwenye mtandao wakipoteza jimbo ndio watajua nilikuwa namaanisha nini na nimejibainisha kama mwanachama wa CDM maksudi kwani nilijua wengi watafikiri nimetumwa au ni mwana magamba.
Tuangalie hali halisi jamani najua wakuu wa chama watalifanyia kazi hili.
kwa upande wangu siwezi kuwapigia magamba kura maisha kama chadema wakisimamisha jiwe nitalipigia kura,
nimeongea haya ili kupanua wigo wa kufikiri ushindi wa kishindo kwa Chadema kwenye uchaguzi wa marudio.

Tuangalie changamoto zinazotukabili kwa na CCM wana mbinu na nyingi ni chafu

Naunga mkono ushauri huu. Upokelewe na ufanyiwe kazi. Nami ninaimani ni vigumu kwa jimbo la Arusha kurudi CCM lakini tusipuuze mawazo maana ni kati ya changamoto zinazotegemewa kuwapo.
 
attachment.php

Wametumika vibaya.
Na walaaniwe kwa kutaka kuliingizia taifa matatizo

.
Na watu wote waseme AMINA!

.
 
shame on them kuanzia washitaki, jaji na mafisadi wamemuhukumu Godbless Lema siku ambazo Kristu anaianza safari ya Golgota na siku ya tatu akafufuka na hiyo ni ishara ya ushindi
 
Hawa ni mashujaa na wanastahili hadhi ya kitaifa,
Lema ni mbaguzi/mdini na anachochea ukanda na ukabila, LEMA amesababisha watu waichukie Chadema Hafai wala hafai hata kidogo.
Hongera Majaji na mahakimu kwa kutenda haki.
Hongera mliomfungulia mashtaka, Mungu awalipe.
Ameeeeeeeeeeeen
SAWA NIMESIKIA SALA ZAKO NITAWALIPA SAWA:rockon:
 
Napenda kuwaeleza kwamba, haya yote yanayomkuta Lema ni kutokana na nyie kutumiwa na mafisadi kuweza kukandamiza haki ya mnyonge.
Tazameni sasa damu yetu wana Arusha inaenda kumwagika wakati wote wa kampeni mpaka uchaguzi ujao hapo Arusha.
Mmekubali kutumika ili kuweza kumkomoa lema lakini kumbukeni kwamba nguvu ya umma kamwe haiwezi kuzimwa na nyie. Kitu gani kiliwawasha mpaka mkafanya hivyo?
Anyway MUNGU yupo one day atakuja kudhihirisha ukweli juu ya jambo hili.

Kayoka,
Hutuwezi kuchukizwa na matusi ya Lusinde halafu tufurahie matusi ya Lema...sidhani kama Lema kaonewa, maneno yake ndio yamemfikisha hapo kajifunza uchaguzi ujao anafanya kampeni za kiungwana.
 
Hawa ni mashujaa na wanastahili hadhi ya kitaifa,
Lema ni mbaguzi/mdini na anachochea ukanda na ukabila, LEMA amesababisha watu waichukie Chadema Hafai wala hafai hata kidogo.
Hongera Majaji na mahakimu kwa kutenda haki.
Hongera mliomfungulia mashtaka, Mungu awalipe.
Ameeeeeeeeeeeen
*****..
 
Nimeongea na mwana CCM mmoja hapa DAR ni mtu mwenye nafasi kubwa kidogo lakini kwasababu ni mtani wangu nimemuuliza je mnategemea kushinda Arusha akanijibu wao Wanaamini hawatashinda ila wanataka CHADEMA watumie mda mrefu kuhangaika na chaguzi ndogo na fedha kidogo walizo nazo zitumike kughalamia kesi na hizo chaguzi ili ifikapo 2015 wawe hoi kifedha waburuzwe tu kama Mizoga.
kweli CCM wote mapunguani, kwani M4C inaishia leo? halafu wamesahau kuwa CDM hawana fedha wana watu.
 
Kayoka,
Hutuwezi kuchukizwa na matusi ya Lusinde halafu tufurahie matusi ya Lema...sidhani kama Lema kaonewa, maneno yake ndio yamemfikisha hapo kajifunza uchaguzi ujao anafanya kampeni za kiungwana.

Toa ushahidi (audio/visual) wa matusi ya Lema!!

Ushahidi wa matusi ya Lusinde hupo, nenda Youtube utajionea na kusikia!!
 
Tuache Ushabiki Jamani.Nimekuwa Arusha mara kwa mara .Katika utafiti wangu nimejua LEMA anapendwa sana.Yeye hawagawii watu hela wala nini lakini ANASHUKA CHINI na yuko na watu.Hata katika matatizo yao,anawapa moyo wa kushinda.LEMA anapendwa mno.Tena hili la kumnyang'anya mtu aliyeshinda kwa kura ya Zaidi ya Elf 20 kwa kutumia mahakama ndipo kutamwongezea credit.

Hii kutokukata rufaa ndo kunaongeza credit zaid,anapata sympathy ya wananchi.Alafu kitendo cha kumpokonya ubunge kinatia wananchi wake hasira.

Arusha mtu akipita na nguo ya CCM anazomewa.

Ukitaka kuona jinsi lema anavyopendwa angalia sakata la madiwani.Wananchi wamemsikiliza LEMA zaidi.Nilienda Amri Abeid stadium kipindi kile madiwani wamefukuzwa,ilikua mechi ya SIMBA.Akaingia Bayo (Diwani mmojawapo aliyefukuzwa),Kilichotokea ni JUKWAA zima kuanza kumzomeaaa,wanasema CCM ,Fisadi huyoooo,Msalitiiiiiiiiiii.Jamaa ikabidi achague mtu mmoja akapigana,Polisi wakamtoa.Guys,LEMA kwa arusha ni next level.
 
Nimeongea na mwana CCM mmoja hapa DAR ni mtu mwenye nafasi kubwa kidogo lakini kwasababu ni mtani wangu nimemuuliza je mnategemea kushinda Arusha akanijibu wao Wanaamini hawatashinda ila wanataka CHADEMA watumie mda mrefu kuhangaika na chaguzi ndogo na fedha kidogo walizo nazo zitumike kughalamia kesi na hizo chaguzi ili ifikapo 2015 wawe hoi kifedha waburuzwe tu kama Mizoga.

Muulize uyo mtani wako, vipi kuhusu M4C???
 
Ntabiri kura za CCM katika uchaguzi mdogo wa jimbo la arusha mjini: Watapata si zaidi ya kura 2000!!!

Eeeeh,Mungu endelea kuiumbua CCM ili ifikapo 2015 itoweke kabisa.
 
Nilikua niko mbali kidogo kwenye haya mambo,lakini kidgo kidogo naanza kuvutiwa na mambo ya siasa............!
 
Back
Top Bottom