Jicho la tatu Arusha na Lema linavyoona

Jicho la tatu Arusha na Lema linavyoona

WALIOMUUA LEMA HAWA HAPA! wakazi watatu wa Jimbo la Arusha Mjini na wanachama wa CCM Kulia ni Mussa Mkanga,Agnes Mollel na Happy Kivuyo waliofungua kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi katika jimbo hilo kwa Mbunge wa Chadema Godbles Lema,wakiwa katika chumba cha Mkahakama Kuu Kanda ya Arusha leo wakati kesi hiyo ilipoanza kusikilizwa. View attachment 51051[/QU
 
Kweli yupo... Kudaadeki!

hata mama yako naye alikosea wakati unazaliwa ndio maana alikutoa tumboni mwake lakini akashangaa domo lako limefanana kiungo chake cha s!r!.
 
ukiri kwa makalio, eti wazee, et wamaaa! we subiri nyau wee
 
Kwa analysis yako kama wazee hawamtaki then vijana watamchagua Lema!
Kumbuka Vijana ni zaidi ya 50% ya wapiga kura na wazee hawataenda piga kura wakihofia fujo!

Analysis yake alifanyia wazee wa Monduli huyo, vijana wa A-Town tunasema mbunge wetu ni Lema hapo upo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Lakini wajue Ugumu wa maisha ni kwa wote kwani bei haichagui mwana ccm au CDM. Mabadiliko Lazima Jamani!!!!!
 
Holy Cra.p, ulijua hutaungwa mkono na ndo maana ukaanza kujistukia mapema
Mwana CHADEMA mwenye akili za Kimagamba
 
Nawaonea huruma Ccm kwani Ndo wanaenda kuzikwa Arusha baada ya arumeru
 
Pongezi ziwaendee kwa kutambua haki yao kikatiba; wanajiandaa kulipwa gharama ya kesi.
Leo wana kila sababu ya kufurahia, kwani HAKI imefikiwa na Lema atachunga ulimi wake. Natumaini wakazi wa Arusha Mjini hawatarudia tena kuchagua watu wasio na busara, uwezo, hekima, utashi wa ubunge
 
Na hii itakijengea chama umaarufu mkubwa maana kila kona ya kijiji watasikia.
 
nayakataa mawazo yako kwa 100%.
Mie kadi yangu ya chadema namba 0439675.
 
Hawa ni mashujaa na wanastahili hadhi ya kitaifa,
Lema ni mbaguzi/mdini na anachochea ukanda na ukabila, LEMA amesababisha watu waichukie Chadema Hafai wala hafai hata kidogo.
Hongera Majaji na mahakimu kwa kutenda haki.
Hongera mliomfungulia mashtaka, Mungu awalipe.
Ameeeeeeeeeeeen

Haiwezekani wewe ukawa mzima, nakwambia utakuwa unaumwa ugonjwa wa akili ambao bado haujajulikana, hivyo nakuomba ufanye hima ili huo ugonjwa ulionao uujue, itakusaidia sana!
 
NIMETOA MAONI YANGU KAMA MWANACHAMA WA CHADEMA MWENYE KADI NAMBA CDM 0487097 NA MPIGA KURA WA ARUSHA

Nimefuatilia kwenye mfumo wa kadi za chama sijaona namba hii. labda utaje jina lako tuendelee kufuatilia.
 
sahau ndugu yangu Lema, Godbless ni mbunge wetu jimbo la Arusha kama uko usingizini unaota ngoja nikushtue uamke. hapa ni arusha tumechoshwa na siasa mbovu hatuko tayari kuleta mafisadi watutawale hawajui machungu yetu. Lema ni Mbunge wetu. God Chosen one. Yuko mapumziko ya muda tu anarudi bungeni kututetea walalahoi.

Peopleeeeeeeeeeeeeeees Power

We love you Lema !!!!!!!Go Lema Go go go! hawajui ARS hao. Waliopiga kura kule A. Mashariki ndo watakaopiga kura ARS town. Na ikumbukwe ndugu wa wale wa A. Mashariki ndo hao hao walioko mjini na ndo wapiga kura. Pia hata wale ambao wametokea MS town ndugu zao ndo hao wa A town. Nikiwamo na mimi pia familia yangu yote na marafiki zangu wote zaidi ya watu mia tano. je na mwingine akiwa na watu wake 200 au mia tatu? CDM bado tu haijatwaa ubunge? Nijuavyo ile ARS majority hawataki kuisikia CCM kabisa labda kwa uwezo wa kuiba kura tuu.
 
fisadi walijua watashinda arumeru wakaandaa mazingira ya rushwa ili waje arusha mjini lakini wajue arusha mjini wataisikia kwenye redio.


Arumeru sio tanzania , CDM ukabila na udini uliojaa bado mnasafari ndefu !... ! About ushindi wa Arumeru
:nono: You should know Even a blind squirrel finds a nut once in a while....!! pole zake Lema finally haki imetendeka!
 
Back
Top Bottom