NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
WALIOMUUA LEMA HAWA HAPA!
wakazi watatu wa Jimbo la Arusha Mjini na wanachama wa CCM Kulia ni Mussa Mkanga,Agnes Mollel na Happy Kivuyo waliofungua kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi katika jimbo hilo kwa Mbunge wa Chadema Godbles Lema,wakiwa katika chumba cha Mkahakama Kuu Kanda ya Arusha leo wakati kesi hiyo ilipoanza kusikilizwa.
View attachment 51051
Wametumika vibaya.
Na walaaniwe kwa kutaka kuliingizia taifa matatizo