Jicho la tatu Arusha na Lema linavyoona

WALIOMUUA LEMA HAWA HAPA!

wakazi watatu wa Jimbo la Arusha Mjini na wanachama wa CCM Kulia ni Mussa Mkanga,Agnes Mollel na Happy Kivuyo waliofungua kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi katika jimbo hilo kwa Mbunge wa Chadema Godbles Lema,wakiwa katika chumba cha Mkahakama Kuu Kanda ya Arusha leo wakati kesi hiyo ilipoanza kusikilizwa.




View attachment 51051



Wametumika vibaya.
Na walaaniwe kwa kutaka kuliingizia taifa matatizo
 
Hata Arumeru Mashariki walijinadi hivyo!! tumeshawazoea na tambo zenu!!
 
Tuache siasa za mtandaoni tufanye utafiti wa kina,
na ninafikiri kwa hili ccm wamekwishalijua ndio matokeo ya hukumu.
wala msishangae na kuanza kushambulia (tafakarini kisha chukueni hatua na kushauri nini kifanyike kwa wapenda mageuzi)

SABABU NI HIZI HAPA:
Kwanza matukio ya baada ya uchaguzi mkuu ulioipa CDM ushindi yaliwachukiza watu wengi haswa vurugu.
Vitendo vya Lema kuongoza mapambano watu wengi walimtafsiri kama kijana na mpenda vurugu
hivyo wazee wengi walionyesha ingawa wanakipenda chama na walimchagua lema kwaajili tu ya chama na si lema kama lema.
leo hii uchaguzi ukirudi watu wengi haswa wazee na wakinamama wananafansi kubwa ya kukipigia Ccm kwao ikiwa na maana kuwa wanataka utulivu wakifikiri kuwa baada ya uchaguzi hakutakuwa na utuvuli na hakuta kuwa na mabomuu ya machozi, kitu amabacho walikichoka mara baada ya uchaguzi uliopita
Lema alijikiti zaidi kwenye operesheni ya kikijenga chama kitaifa kitu ambacho ni kizuri pia alikuwa muda mwingi akishughulika na kesi yake, na watu watapima kazi yake kwa kipindi alichokuwa madarakani hadi kutenguliwa kuwa kawafanyia nini watu wa Arusha. Na hapa ikumbukwe ndipo CCM watakapopashikilia kwelikweli kuwa walishindwa kufanya mambo ya maendeleo, ikumbukwe kuwa hata wakati fulani Meya ya rusha aliwahikusema kuwa Lema anapinga kila kitu hata mambo ya maendeleo wakati akiongelea kuhusu ujenzi wa eneo la kaloleni.

Kunahitajika jitihada za dhadhi na kuhakikisha kuwa CDM hawapotezi kura za wazee na akinamama hao

Sio tu kufikiria ushidni na ushabiki kutika kwa makundi ya vijana wa jiji la Arusha lakini CDM inapaswa kutizama kwa kina changamoto kama hizi ili kulizibiti jimbo

Ikizingatiwa pia kuwa wanasema Lema ni kijana mdogo kiasi serekali imekuwa ikimtharau kwa kutomsikiliza.

lakini pia ikumbukwe kuwa jiji la Arusha ni miongoni mwa miji mikubwa Tanzania nafikiri kibiashara na kimtazamo ni baada ya Dar es salaam. Ambapo shughuli nyingi kama za utalii, makao makuu ya EAC na mahakama ya kimataifa ya mauaju ya Rwanda wanaendesha shughuli zao.

Ikumbukwe Baada ya uchaguzi hata baadhi ya mikutano ilihamishiwa dar au kwa chuki au kwa nia ya kuja kujenga hoja sasa kuwa ilibidi kufanya hivyo kwakuwa jiji hili halikuwa salama tena kwani liko chini ya Upinzani.

Ikumbukwe kuwa iliwahi kusemwa hapa na pengine kuwa hata Kiongozi mkuu wa nchi alikuwa anajishauri juu ya kuja Arusha.

Mambo mengi yalifwanywa ili kujenga mazingira mazuri ya ushindi kwa ccm sasa

KAMA CHADEMA WANALITA HILI JIMBO TENA WAFANYAJE:
tunajua kama cha bado wanakubalika Arusha
Wajiulize swali Je mgombea wao bado anakubalika kwa kiasi gani (maana ccm walikwishamchafua vya kutosha)
Wasiangalie ushabiki wa kisiasa tu bali wafanye utafiti wa kina ni jinsi gani watu haswa wazee na akinamama wanamkubali mgombea atakayesimamiswa kunywe marudii ya uchaguzi,
hii ikizingatiwa wanaweza kubadili mgombea na kwakuwa chama kama cham kinakubali basi wanaweza kwa kuwashawishi wapigakura wazee na wakinamama wanaweza kumsimamisha mtu mwenye makamo kidogo ili walau kubalance mambo na kujizolea makura kutoka kada zote.
wawe makini sana wakati wa kampeni haswa kwenye kauli na sera.



LEMA AWE TAYARIU KWA LOLOTE KATIKA KUKIJENGA CHAMA
Mh. Lema anapaswa akubaliane na uamuzi wa chama hii ikiwa ni katika kuhakikisha kunakuwa na umoja na mshikamano kutokana na maamuzi ya chama yatakayokuwa yameongozwa na utafiti wenye utashi. maana mgawanyiko maanake ni maanguko na aibu.
Chama kisikurupuke katika kufanya maamuzi ya kumteua mgombea wa ubunge kwa kuangalia ushabiki na ufuasi wa Lema,

HAYA NI WAZAZO YANGU TU NMAWEZA KUCHUA LILILO JEMA NA KAAMA NIMEONGEA UPUU KWANZA MNISAMEHE NA KULIACHA LILILO LA KIPUUZI.


NIMETOA MAONI YANGU KAMA MWANACHAMA WA CHADEMA MWENYE KADI NAMBA CDM 0487097 NA MPIGA KURA WA ARUSHA
Njoo wew,mama yako, watoto wako,naapa ccm hamtakaa mchukue arusha mjini.....tupo hapa na tutakuwepo hapa.
 
sahau ndugu yangu Lema, Godbless ni mbunge wetu jimbo la Arusha kama uko usingizini unaota ngoja nikushtue uamke. hapa ni arusha tumechoshwa na siasa mbovu hatuko tayari kuleta mafisadi watutawale hawajui machungu yetu. Lema ni Mbunge wetu. God Chosen one. Yuko mapumziko ya muda tu anarudi bungeni kututetea walalahoi.

Peopleeeeeeeeeeeeeeees Power
 
Good analysis,:smile-big: sio kitu cha kudharauliwa.
Ni vema kufikiria the other side of the coin.

CDM wafanyie kazi.
 
wafungue hiyo kesi ya fidia wananch wapenda mageuzi Tanzania nzima tutachanga hela na kuilipa ndani ya siku 3.
 
Tuache siasa za mtandaoni tufanye utafiti wa kina,
na ninafikiri kwa hili ccm wamekwishalijua ndio matokeo ya hukumu.
wala msishangae na kuanza kushambulia (tafakarini kisha chukueni hatua na kushauri nini kifanyike kwa wapenda mageuzi)

SABABU NI HIZI HAPA:
Kwanza matukio ya baada ya uchaguzi mkuu ulioipa CDM ushindi yaliwachukiza watu wengi haswa vurugu.
Vitendo vya Lema kuongoza mapambano watu wengi walimtafsiri kama kijana na mpenda vurugu
hivyo wazee wengi walionyesha ingawa wanakipenda chama na walimchagua lema kwaajili tu ya chama na si lema kama lema.
leo hii uchaguzi ukirudi watu wengi haswa wazee na wakinamama wananafansi kubwa ya kukipigia Ccm kwao ikiwa na maana kuwa wanataka utulivu wakifikiri kuwa baada ya uchaguzi hakutakuwa na utuvuli na hakuta kuwa na mabomuu ya machozi, kitu amabacho walikichoka mara baada ya uchaguzi uliopita
Lema alijikiti zaidi kwenye operesheni ya kikijenga chama kitaifa kitu ambacho ni kizuri pia alikuwa muda mwingi akishughulika na kesi yake, na watu watapima kazi yake kwa kipindi alichokuwa madarakani hadi kutenguliwa kuwa kawafanyia nini watu wa Arusha. Na hapa ikumbukwe ndipo CCM watakapopashikilia kwelikweli kuwa walishindwa kufanya mambo ya maendeleo, ikumbukwe kuwa hata wakati fulani Meya ya rusha aliwahikusema kuwa Lema anapinga kila kitu hata mambo ya maendeleo wakati akiongelea kuhusu ujenzi wa eneo la kaloleni.

Kunahitajika jitihada za dhadhi na kuhakikisha kuwa CDM hawapotezi kura za wazee na akinamama hao

Sio tu kufikiria ushidni na ushabiki kutika kwa makundi ya vijana wa jiji la Arusha lakini CDM inapaswa kutizama kwa kina changamoto kama hizi ili kulizibiti jimbo

Ikizingatiwa pia kuwa wanasema Lema ni kijana mdogo kiasi serekali imekuwa ikimtharau kwa kutomsikiliza.

lakini pia ikumbukwe kuwa jiji la Arusha ni miongoni mwa miji mikubwa Tanzania nafikiri kibiashara na kimtazamo ni baada ya Dar es salaam. Ambapo shughuli nyingi kama za utalii, makao makuu ya EAC na mahakama ya kimataifa ya mauaju ya Rwanda wanaendesha shughuli zao.

Ikumbukwe Baada ya uchaguzi hata baadhi ya mikutano ilihamishiwa dar au kwa chuki au kwa nia ya kuja kujenga hoja sasa kuwa ilibidi kufanya hivyo kwakuwa jiji hili halikuwa salama tena kwani liko chini ya Upinzani.

Ikumbukwe kuwa iliwahi kusemwa hapa na pengine kuwa hata Kiongozi mkuu wa nchi alikuwa anajishauri juu ya kuja Arusha.

Mambo mengi yalifwanywa ili kujenga mazingira mazuri ya ushindi kwa ccm sasa

KAMA CHADEMA WANALITA HILI JIMBO TENA WAFANYAJE:
tunajua kama cha bado wanakubalika Arusha
Wajiulize swali Je mgombea wao bado anakubalika kwa kiasi gani (maana ccm walikwishamchafua vya kutosha)
Wasiangalie ushabiki wa kisiasa tu bali wafanye utafiti wa kina ni jinsi gani watu haswa wazee na akinamama wanamkubali mgombea atakayesimamiswa kunywe marudii ya uchaguzi,
hii ikizingatiwa wanaweza kubadili mgombea na kwakuwa chama kama cham kinakubali basi wanaweza kwa kuwashawishi wapigakura wazee na wakinamama wanaweza kumsimamisha mtu mwenye makamo kidogo ili walau kubalance mambo na kujizolea makura kutoka kada zote.
wawe makini sana wakati wa kampeni haswa kwenye kauli na sera.



LEMA AWE TAYARIU KWA LOLOTE KATIKA KUKIJENGA CHAMA
Mh. Lema anapaswa akubaliane na uamuzi wa chama hii ikiwa ni katika kuhakikisha kunakuwa na umoja na mshikamano kutokana na maamuzi ya chama yatakayokuwa yameongozwa na utafiti wenye utashi. maana mgawanyiko maanake ni maanguko na aibu.
Chama kisikurupuke katika kufanya maamuzi ya kumteua mgombea wa ubunge kwa kuangalia ushabiki na ufuasi wa Lema,

HAYA NI WAZAZO YANGU TU NMAWEZA KUCHUA LILILO JEMA NA KAAMA NIMEONGEA UPUU KWANZA MNISAMEHE NA KULIACHA LILILO LA KIPUUZI.


NIMETOA MAONI YANGU KAMA MWANACHAMA WA CHADEMA MWENYE KADI NAMBA CDM 0487097 NA MPIGA KURA WA ARUSHA


Kwa kuongezea hoja yako: Hata ule mgogoro wake na baadhi ya madiwani unaweza kuchangia mkuu.
 
jimbo la lema hilo
morani hawatakuelewa na lema hawezi kununulika,
nenda tu kwa lusinde.
 
Naona ccm wanataka kuleta ushabiki wa kisiasa CHADEMA Arusha, Naomba huo ushabiki uupeleke kwenu CCM
 
ndugu zangu hapa ni sehemu ambayo CCM inaingia tena majaribuni na hata Chadema wakiweka jiwe litashinda watu wa Arusha ninavyowafahamu hawawezi kukubali kuanguswa.ok angalia ni kiasi gani serikali itapoteza katika kusimamia uchaguzi, kusimamia usalama na ndo ujue hali itakuwaje siku ya uchaguzi
 
Kwa analysis yako kama wazee hawamtaki then vijana watamchagua Lema!
Kumbuka Vijana ni zaidi ya 50% ya wapiga kura na wazee hawataenda piga kura wakihofia fujo!
 
Hongereni sana....mmeishinda nguvu yao ya umma, mmemshinda mungu wao wanayesema yupo juu!!!

jitekenyeni alafu chekeni wenyewe, ila CCM hapa arusha mtapasahau milele.
Kwa taarifa za jikoni Lema hakati rufaa na ndiyo mgombea wa CDM tena.
Tunamuaibisha shetani kwenye ballot kwa mara ya pili.
 
Back
Top Bottom