Jicho la tatu Arusha na Lema linavyoona

Jicho la tatu Arusha na Lema linavyoona

"Mungu hajawahi kumuacha mwenye haki"muda wa kula nchi hii umekaribia kwisha wajiandae kurudisha mali za Watanzania.CHADEMA WATANZANIA TUPO NYUMA YENU MPAKA KIELEWEKE.
 
kwa hiyo Lusinde naye afutiwe ubunge wake,!? Jibu hapana hilo haliwezekani.
Nina imani thabiti kwamba hawa watu wachache wametumika kuidhurumu haki ya huyu mtu mnyonge tema chaguo la wengi.
Inakuwaje aliyetukanwa ama kukashfiwa hajaenda mahakamani lakini hawa wakaweza kufanya hivyo.!!
siasa bwana...!?

Mkuu, Lusinde afutiwe ubingwa kwani kamtukana mpinzani wake huku Mtera? Uchaguzi una sheria zake hukumu ya Lema ni sahihi.
 
Kwanza naomba kutoa pole kwa viongozi wa CDM wa ngazi zote, wanachama, na wapenzi wa CDM popote pale mlipo hapa nchini na nje ya nchi kwa hukumu iliyotolewa leo tarehe 05/04/2012 asubuhu na mahakama kuu kanda ya kaskazini-Arusha dhidi ya aliyekuwa mbunge wetu Godbless Lema. Na pili nitoe pole kwa Mbunge wetu(nasema mbunge wetu maana najua atarudi tu nwa kwa hilo sina wasiwasi) maana najua kama binadamu wa kawaida hukumu hii itakuwa imemchanya kidogo japo alishajua nini kitatokea kutokana na mazingira yalivyokuwa yanajionesha."NAMTIA MOYO MBUNGE WANGU KWA KUSEMA POLE NA HONGERA SANA MAANA HILI LINAKUONGEZEA UJASIRI ZAIDI" maana wengi tunaufahamu ujasiri wako.

Pili ndugu napenda kuwaambia kuwa pamoja na kuwa uchaguzi utarudiwa CCM wanajua fika kuwa hawawezi kushinda Arusha Mjini ila mkakati walio nao ni kuhakikisha kuwa CHADEMA inapoteza fedha nyingi katika chaguzi ndogo na kutumia gharama katika kesi za kupinga matokeo ili chama kiishiwe fedha.Hivyo ndugu zangu wanaCDM na wapenzi wote wa CDM nawaomba tena nawasihi tujitotea kuchangia kwa michango gharama zote za uchaguzi mdogo utakaporudiwa bila chama kutumia fedha za chama ambazo zinetumika kukijenga chama mara baada ya uchaguzi wa Arumeru Mashariki.Tuwashauri viongozi wetu watupe utaratibu unaoweza kutumika ili kurahisisha zoezi hili endapo litaungwa mkono na wanachama ili kila mmoja achangie kwa kadri ya uwezo wake,mwenye sh.50/=,100/=, 200/=, 500/=, 1000/= na kuendelea tuchangie ili kumrejesha kamanda wetu LEMA Bungeni.

Natumaini hoja yangu imeeleweka na nakaribisha michango yenu ya hoja.

Naomba kuwasilisha.

" KUMBUKA SIKU ZOTE UKIMPIGA CHURA TEKE UNAMWONGEZEA HATUA YA KUSONGA MBELE "
 
Niliwaambia ataanza kuondolewa Lema mkabisha, sasa atafuata Lissu halafu Mnyika. CHADEMA hamna chenu.

....ndiyohiyo
 
Niliwaambia ataanza kuondolewa Lema mkabisha, sasa atafuata Lissu halafu Mnyika. CHADEMA hamna chenu.

....ndiyohiyo


Pesa inayotumika katika mauchaguzi madogo yote ni yako ndugu wewe na mimi! ebu kake chooni halafu zoom hiyo kidogo! dume zima unashikwa makalio unacheka cheka kama zuzu! kumbuka wakati mabilioni haya yakichomwa kwa sababu za chuki tu ya baba Riz kudadadeki toto la shangazi yako linasoma limekaa chini! umeme huna unatumia msumaa na pesa yote itokanayo na kodi zetu huyo unayemshabikia anajilipa kwa makampuni yake ya umeme! pusi wewe fikiria.
 
Niliwaambia ataanza kuondolewa Lema mkabisha, sasa atafuata Lissu halafu Mnyika. CHADEMA hamna chenu.

....ndiyohiyo

hapo kwa mnyika nakuunga mkono.
Mnyika siku 100 zimeshapita maji hakuna ubungo ameshindwa kutimitiza ahadi yake amekuwa km ccm kila siku ahadi utekelezaji hakuna.
 
Nimeongea na mwana CCM mmoja hapa DAR ni mtu mwenye nafasi kubwa kidogo lakini kwasababu ni mtani wangu nimemuuliza je mnategemea kushinda Arusha akanijibu wao Wanaamini hawatashinda ila wanataka CHADEMA watumie mda mrefu kuhangaika na chaguzi ndogo na fedha kidogo walizo nazo zitumike kughalamia kesi na hizo chaguzi ili ifikapo 2015 wawe hoi kifedha waburuzwe tu kama Mizoga.

Pesa za kampeni zitachangwa na wananchi wenye mapenzi mema na chadema. wataendelea kuota sana nyambafu zao hao wa.enge
 
Hivi ni mtanzania
gani mwenye akili
timamu anaeweza
kuchagua ccm!
Labda uwe mwehu.
 
Kuna uwezekano mkubwa majimbo matatu ya Chadema na CCM moja kurudiwa uchaguzi.
 
watu wengine cjui bange zinawawasha! We kijana shika adabu yako.

Lema bado anafaa sana, na hii ni njia nyingine ya kuuonesha umma kuwa ccm is no more..... TULIANZA NA MUNGU NA TUTAMALIZA NA MUNGU 2015.......
 
Niliwaambia ataanza kuondolewa Lema mkabisha, sasa atafuata Lissu halafu Mnyika. CHADEMA hamna chenu.

....ndiyohiyo

...halafu atafuata JK...tena kwa bakora maana hii sasa itakuwa ni utani kutoka state yenyewe!
 
Inaelekea mnawaogopa balaaa. Lema hatakuwa Mbunge for 3 months tu. By July atakuwa Mbunge tena.
 
Wana jf, ukweli ni kwamba Lema sio saaaaana. Tumtose Lema, kamanda wetu aingie bungeni....

Hapo vipi?!
Mliposema Slaa kugombea Arumeru mlijibiwa, unadhani majibu yale hayaapply na Arusha???hebu mtafute mambo ya kuwasilisha humu jamani. Mbona issues zipo nyingi za kuleta kwenye hili jikwaa. kama hatuna points ni bora tubaki wasomaji. Huu nimtazamo wangu tu.
 
Ccm walitumia polisi kuwazima vyama vya upinzani tokea 1995 na walifanikiwa kuwadumaza nccr na cuf. Wamejaribu hilo kwa chadema ikaonekana kushindwa na sasa wameamua kutumia mahakama ambayo wanadhani watu watayaheshimu maamuzi ya mahakama. Hii ni hatari kwa usalama wa taifa letu.
 
Kwanza naomba kutoa pole kwa viongozi wa CDM wa ngazi zote, wanachama, na wapenzi wa CDM popote pale mlipo hapa nchini na nje ya nchi kwa hukumu iliyotolewa leo tarehe 05/04/2012 asubuhu na mahakama kuu kanda ya kaskazini-Arusha dhidi ya aliyekuwa mbunge wetu Godbless Lema. Na pili nitoe pole kwa Mbunge wetu(nasema mbunge wetu maana najua atarudi tu nwa kwa hilo sina wasiwasi) maana najua kama binadamu wa kawaida hukumu hii itakuwa imemchanya kidogo japo alishajua nini kitatokea kutokana na mazingira yalivyokuwa yanajionesha."NAMTIA MOYO MBUNGE WANGU KWA KUSEMA POLE NA HONGERA SANA MAANA HILI LINAKUONGEZEA UJASIRI ZAIDI" maana wengi tunaufahamu ujasiri wako.

Pili ndugu napenda kuwaambia kuwa pamoja na kuwa uchaguzi utarudiwa CCM wanajua fika kuwa hawawezi kushinda Arusha Mjini ila mkakati walio nao ni kuhakikisha kuwa CHADEMA inapoteza fedha nyingi katika chaguzi ndogo na kutumia gharama katika kesi za kupinga matokeo ili chama kiishiwe fedha.Hivyo ndugu zangu wanaCDM na wapenzi wote wa CDM nawaomba tena nawasihi tujitotea kuchangia kwa michango gharama zote za uchaguzi mdogo utakaporudiwa bila chama kutumia fedha za chama ambazo zinetumika kukijenga chama mara baada ya uchaguzi wa Arumeru Mashariki.Tuwashauri viongozi wetu watupe utaratibu unaoweza kutumika ili kurahisisha zoezi hili endapo litaungwa mkono na wanachama ili kila mmoja achangie kwa kadri ya uwezo wake,mwenye sh.50/=,100/=, 200/=, 500/=, 1000/= na kuendelea tuchangie ili kumrejesha kamanda wetu LEMA Bungeni.

Natumaini hoja yangu imeeleweka na nakaribisha michango yenu ya hoja.

Naomba kuwasilisha.

" KUMBUKA SIKU ZOTE UKIMPIGA CHURA TEKE UNAMWONGEZEA HATUA YA KUSONGA MBELE "

Ilo ni wazo zuri sana mkuu,kweli kufikia ukombozi wa kweli inabidi kugharamika na kujitesa kweli,sio tukae pembeni na kua washadadiaji wakati wengine wanaumia na kugharamika kwa ajili yetu!mimi binafsi si mwana Arusha lakini hii kitu imenigusa sana,maana ni ubabe na uonevu wa dhairi waliofanya c.c.m kupitia mahakama yao!no wonder jaji mkuu mstaafu A.Ramadhani aliposema baada ya kustaafu kua kuna baadhi ya maamuzi alikua anatoa kwa maelekezo huku akijua kabisa anapindisha sheria!mimi nachosubiri ni tamko la chama tujue tunachaniaje!c.c.m kufikia hapo ilichaniwa sana na wananchi kipindi kile ikiwa ina aminika chini ya jabari J.K.Nyerere(r.i.p) lakini leo kimekua chama cha wafanyabiashara wachache na genge la matapeli,na kuwapa kisogo wananchi waliokifikisha hapo!pia nakishauri chama kua active na vitu vidogo vidogo kama vile mauzo ya kadi za unachama,sare za chama,skafu na hata wabuni tshirts za chama ziuzwe kwenye ofisi za chama mikoani!kama mimi niko Moro hata ofisi za chama sijui zilipo,na nahitaji kadi ya uanachama ikiwezekana hata na sare/shirt ya chama!hv vitu vidogo vidogo vinasaidia kukitambulisha chama zaidi na chama kujiongezea kipato
 
Back
Top Bottom