Jicho la tatu Arusha na Lema linavyoona

Jicho la tatu Arusha na Lema linavyoona

Wale magamba wanaojua kuuza wenzao si nawao wakajiuze basi ar tuwaone . Napendekeza mvivu wa kufikiri a.k.a mkapa akagombee pale kwani bado anaona hakuiba vya kutosha.
 
Nzi,
Unataka ushahidi gani zaidi ya hukumu ya Mahakama Kuu kanda ya Arusha chini ya Jaji msomi Gabriel Rwakibarila.
Lema haja hukumiwa na mahakama bali amehukumiwa na Ikulu...
 
WALIOMUUA LEMA HAWA HAPA!



wakazi watatu wa Jimbo la Arusha Mjini na wanachama wa CCM Kulia ni Mussa Mkanga,Agnes Mollel na Happy Kivuyo waliofungua kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi katika jimbo hilo kwa Mbunge wa Chadema Godbles Lema,wakiwa katika chumba cha Mkahakama Kuu Kanda ya Arusha leo wakati kesi hiyo ilipoanza kusikilizwa.




View attachment 51051
Mkuu Pakajimmy,
Inaruhusiwa kutoa maoni yako lakini pia tuwe na mipaka ya ku-report. Unapo-publish kitu kama hiki"waliomuua Lema" na kutoa picha zao,unataka kushawishi nini nje ya hukumu hii iliyotolewa na mahakama? Si lazima kuridhika na hukumu zinazotolewa kwenye mahakama zetu hizi,ila hii haitoshi kuchochea crimes kwa sababu tu mtu katoa ushahidi dhidi ya mtu tunayempenda au tusiyempenda. Hawa wametumia haki yao ya kimsingi, kuieleza mahakama kile walichosikia au kuona. Judgement imefanywa na mahakama,hawa watu hawakuhukumu! Huu ndio mtazamo wangu!
 
labda hiyo ya mauno ya ngeleja.

CCM ilishasambaratika yenyewe ndani baada tu ya kichapo pale Arumeru Mashariki, na sasa Arusha mjini itakuwa ndiyo mwisho wao. Arumeru walienda na sera ya matusi, sijui Arusha watakuja na kipi tena; maana udini walijaribu Igunga ukafeli, matusi Arumeru yamefeli!!!!!! Arusha ........!! yetu masikio.
 
Hajahukumiwa Lema bali tumehukumiwa Wanarusha wote tuliomchagua Lema, kwa kuwa Sijahama na kadi yangu ya kupigia kura ninayo, nitaamua vilevile kama nilivyofanya 2010.
 
Jicho la tatu: Hakuna mwanasheria humu?
Wakati akisoma hukumu Jaji yule **** alisema amemkuta na hatia katika makosa 8 kati ya 10 mwisho akahimiza kama Lema anaweza kukata rufaa!!! Lakini pia katika hukumu haikueleza kama Lema ruksa kugombea au lah! Vipi akigombea halafu ccm waweke pingamizi na likubaliwe na NEC c mpango wao wa kupata jimbo bure utakuwa umekamilika!!
 
Lema haja hukumiwa na mahakama bali amehukumiwa na Ikulu...

Mkuu CW mimi ninaamini hivi wote tuliomchagua Lema ndiyo tumehukumiwa na mafisadi. Na tutajibu hukumu hii!!!!!!! :nono:
 
CCM wamechemsha kesi sawa Lema ameenguliwa ..najaribu kutafakari mfumo wa siasa na teuzi za kada mbalimbali wakiwamo majaji na ni jinsi gani walivyo mashabiki wa CCM ..majaji wote huteuliwa na raisi na raisi ni mwenyekiti wa CCM ambayo wanachama wake wamefungua kesi kupinga matokeo ya ubunge ya jimbo la Arusha mjini ..
technically Arusha kunaongozwa na siasa za kijinamizi kama enzi za nyerere ,kila mtu anajiita mtu wa system na wanajipendekeza kwa mwenyekiti ili waonekane wanatetea maslahi ya chama ,,mmojawapo ni Jaji rwebangila shame on you ..umejidhalilisha ...lugha za matusi zimetumika kmatika majimbo yote ila sababu ya manufaa ya kisiasa nawe umekua rubber stamp ya kina zoka ..
ya laiti Jk angejua haya kua anapiganiwa tangu mwanzo ,mama asingekua balozi angesubiri matokeo aanze upya kampeni ...leo ndani ya miezi mitatu CCM inahitaji ipate mtu wa kupambana na Lema ...CCM ikijua kua inatakiwa ipate mpiga penati kama mesi ambaye hayupo...........kwa sasa !
Batilda likua karibu na meza kuu ya nchi hii kwa namna ambayo hatuwezi jua ndio maana nina uhakika kua leo hii anasikitika ubalozi aliopewa ..na nafasi ya ubunge iliyotokea ..
kwa wanaojua mambo ..ubalozi ni kijiweni tu wala sio sehemu ya maana kama kuwa waziri ..kazi ya balozi ni kama ya house girl kukaribisha wageni na umbeya wa kisovieti ambao sasa umepitwa na wakati .. sasa kuna umbea wa kiuchumi ambapo hatujajaaliwa bado ..mabalozi wetu hawana kzi huko waendako zaidi ya kusubiri ziara na ununuzi wa majengo wapige dili kama za mahalu .
Felix Mrema sio mtu maarufu ndani ya mfumo wa JK ,wengine wote hawana umaarufu wa kushinda jimbo la Arusha ...ngoja wamdanganye mzee aliyeko kijiweni kinana ..ataaibika na watawahi kummua kwa pressure ..
CDM nafasi ya kumpiga jamaa Knockout ni kubwa sana na itakua aibu sana kwao maana CCM really wanahitaji kushinda tu na wala sio vinginevyo la sivyo ndio mwanzo wa kuanguka kwa chama ...
Mojawapo ya dalili za kushindwa au chama kuchokwa ni kushindwa katika chaguzi ndogo ,maana ndizo zinajenga confidence kwa wapiga kura wengi katika chaguzi kubwa ...
CCM imekula kwenu...pppppppppppppp poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer
 
Dr. Slaa itatumika kama silaha ya mwisho iwaapo wataleta za kumpinga Lema. Na hatahivyo si lazima wananchi wako tayari kwa mgombea yoyote.
 
Nzi,
Unataka ushahidi gani zaidi ya hukumu ya Mahakama Kuu kanda ya Arusha chini ya Jaji msomi Gabriel Rwakibarila.

msomi wa wap?umeona wap msomi akakubali kutumiwa kama Condom ya kiume?
 
Lema hana kasoro yoyote, cdm inamhitaji, na wanachadema wa Arusha wanamhitaji zaidi.
 
Bwana Kayoka nina wasiwasi na elimu yako ........................sijui kama unajua kuchambua mambo
 
msomi wa wap?umeona wap msomi akakubali kutumiwa kama Condom ya kiume?

Buto,
Tanzania inaongozwa na sheria wewe unataka Jaji hawafurahishe Chadema badala ya kufuata sheria za nchi.
 
Ni kwamba hujamuelewa au unaleta umagamba, kasema umuwekee clip ya video au audio kama ile ya lusinde inayomuonyesha LEMA akimwaga matusi....wewe unaaza kuzunguka zunguka!!!

Ushahidi wa walalamikaji unajitosheleza mahakama haina utaratibu wa kutumia Video Clip au Audio kwenye kesi za uchaguzi...
 
Wana jf tupo wangapi mpaka nipate 22 mkuu?
Kwanza sina shida ya kwenda UNGA LTD,namaliza kampeni zangu hapa hapa jf.

Nani akuchague wacha kutupotezea muda ? bado tunamachungu halafu unataka kutuzingua tena.
 
Back
Top Bottom