1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 603
Hivi ni kweli kwamba mahakama imeagizwa imfungie Lema asigombee mpaka ipite miaka mi5
Lema yuko huru kugombea chaguzi ijayo!hakuna kifungu cha sheria kinacho halalisha ilo
Hivi ni kweli kwamba mahakama imeagizwa imfungie Lema asigombee mpaka ipite miaka mi5
Nimeongea na mwana CCM mmoja hapa DAR ni mtu mwenye nafasi kubwa kidogo lakini kwasababu ni mtani wangu nimemuuliza je mnategemea kushinda Arusha akanijibu wao Wanaamini hawatashinda ila wanataka CHADEMA watumie mda mrefu kuhangaika na chaguzi ndogo na fedha kidogo walizo nazo zitumike kughalamia kesi na hizo chaguzi ili ifikapo 2015 wawe hoi kifedha waburuzwe tu kama Mizoga.
Niliwaambia ataanza kuondolewa Lema mkabisha, sasa atafuata Lissu halafu Mnyika. CHADEMA hamna chenu.
....ndiyohiyo
Biashara biashara imewadia katika mji wetu wana wa arusha! tukashone mashati ya magamba na suluwali nyeusi tumeze mihela halafu siku ya majumuisho tunakomaa kwenye Kombati.
This time ndiyo huwe mkakati! si unajua ****** aliondoa mikutano ya kimataifa hapa baada ya kuchagua cdm pesa ikapotea town sasa this time tukae kibiashara zaidi tujiunge na sisiemu kwa wingi tubonse mihela halafu mwisho teh teh teh! Pipoooooooooooooooooooooooooooooooo!
WALIOMUUA LEMA HAWA HAPA!
wakazi watatu wa Jimbo la Arusha Mjini na wanachama wa CCM Kulia ni Mussa Mkanga,Agnes Mollel na Happy Kivuyo waliofungua kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi katika jimbo hilo kwa Mbunge wa Chadema Godbles Lema,wakiwa katika chumba cha Mkahakama Kuu Kanda ya Arusha leo wakati kesi hiyo ilipoanza kusikilizwa.
View attachment 51051
Walitumia haki yao ya kikatiba na wala wao hawana makosa; kama kuna kosa basi ni la wale walinzi wa Katiba. Kesi hiyo ilikuwa ni ya kupuuzi sana hata mwanafunzi wa LAW 101 asingeshindwa kuona upuuzi wa kesi hiyo ila eti JUDGE wa High Court ya Tanzania hakuweza kuuona.
Napenda kuwaeleza kwamba, haya yote yanayomkuta Lema ni kutokana na nyie kutumiwa na mafisadi kuweza kukandamiza haki ya mnyonge.
Tazameni sasa damu yetu wana Arusha inaenda kumwagika wakati wote wa kampeni mpaka uchaguzi ujao hapo Arusha.
Mmekubali kutumika ili kuweza kumkomoa lema lakini kumbukeni kwamba nguvu ya umma kamwe haiwezi kuzimwa na nyie. Kitu gani kiliwawasha mpaka mkafanya hivyo?
Anyway MUNGU yupo one day atakuja kudhihirisha ukweli juu ya jambo hili.
We tunakufahamu ni walewale wa kunywa kahawa pale maeneo ya msikitini huna lolote!!!!!!!!!!!!!!!
Kwa kweli hapo umenena. Acha mafisadi kama kawaida yao yachemke na mihela yao. Hapendwi mtu wa CCM hapa, ni CDM tu.
huu ni upumbavu wa hali ya juu, lazima ifike wakati tuwe accountable na maneno yetu au matendo yetu. ushahidi wa kesi ya lema ulikuwa very heavy...sasa swala ni kweli au ni uwongo?/ tusipende kulea ujinga!