jf udaku:remix

BISHANGA ABASHAIJA ASUTWA NA MIJIMAMA - ABAKI MDOGO KAMA NUKTA!

Usikose nakala yako ya Udaku Remix hapo kesho.
 
breaking news;
bishanga amkimbia kongosho buibui g/house dakika chache zilizopita baada ya kukuta anaitiwa kumfariji kongosho baada ya kupoteza ajira......
habari kamili atawaletea
Michelle muda si mrefu ,saiv ndo anaelekea eneo la tukio.
 
Yarabi toba, Michelle, Lizzy, na asakuta same wabambwa na mwandishi wa jf udaku remix waki...

Habari kamili uk 7.
 
Yarabi toba, Michelle, Lizzy, na asakuta same wabambwa na mwandishi wa jf udaku remix waki...

Habari kamili uk 7.
Wakipanga mkakati wa kumng'oa mtu meno.

Kashfa ya ngono yazua balaa, rais wa wabeba box Nyani Ngabu atimuliwa ofisini mchana jua linawaka shati likiwa upande.
 
breaking news;
bishanga amkimbia kongosho buibui g/house dakika chache zilizopita baada ya kukuta anaitiwa kumfariji kongosho baada ya kupoteza ajira......
habari kamili atawaletea
Michelle muda si mrefu ,saiv ndo anaelekea eneo la tukio.

Kutoka Buibui Guest House: Kongosho azua Balaa

Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Kongosho ambaye imethibitika ni member wa mtandao wa JF amezua balaa la aina yake,pale alipomuita mwanamme ambaye ni mpenzi wake nyumba ya kulala wageni,mwanamme huyo aliyefahamika kwa jina moja tu la Bishanga akameza vidonge vya kuongeza nguvu za kiume aina ya VIAGRA. Kufika ndani akakuta Kongosho analia kufukuzwa ajira baada ya bosi wake kumshtukia kuwa anatoroka sana kazini kwenda kulala na Bishanga. Kongosho akakataa katu katu kumpa Bishanga hitaji lake....Hivi sasa Bishanga ambulance imefika kumchukua Bishanga kumpeleka Muhimbili kiungo chake cha uzazi kimegoma kabisaaaaaaaaaaaaaaa

Mwandishi wetu Asakute atawahabarisha zaidi kutoka Muhimbili......!
 
Back
Top Bottom