Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,803
- 59,283
LolLizzy avimba kama puto la harusi!
Kwa uhondo zaidi, soma uk. wa 3.
Nyie ndio hua mnapigwa nyie. . .ngoja uingie kwenye anga zangu.
LolLizzy avimba kama puto la harusi!
Kwa uhondo zaidi, soma uk. wa 3.
of course Bishanga,tajiri la kihaya!
Hahahaha. . . Kongosho ni mtihani usio na jibu dearest.Analiwazwa na Kongosho according to source...sijui Kongosho yukoje yule??
alini pm ,kongosho kapoteza ajira ndo ameenda kuonana naye.Sijui ndio maana siwezi kumuongelea.
Kama utajiri mbona hata mimi ninao. Jaribu tena. . .
Hahahaha. . . Kongosho ni mtihani usio na jibu dearest.
hamna lolote saiz atakuwa anammendea kongosho yule! anamsubiria njia pandaaaa.
BISHANGA ABASHAIJA ASUTWA NA MIJIMAMA - ABAKI MDOGO KAMA NUKTA!
Usikose nakala yako ya Udaku Remix hapo kesho.
hamna lolote saiz atakuwa anammendea kongosho yule! anamsubiria njia pandaaaa.
vp umeshaonana na Michelle ,nimemtuma kwako aje akusanye taarifa kamili.Mi nalijua zizi langu
huku kwingine, natizama mapishi yao tu.
yadhamiria kumpa kichapo kwa ushirikiano pindi akirudi tena anga zao.Inasemekana hiyo mijimama alikuwa anatembea nayo bila wao kujijiua
we kongosho nitakutumia hawa nyuki wa babu wakuangamize.... wewe endelea tu na huo udaku wako!Yarabi toba, Michelle, Lizzy, na asakuta same wabambwa na mwandishi wa jf udaku remix waki...
Habari kamili uk 7.
Yarabi toba, Michelle, Lizzy, na asakuta same wabambwa na mwandishi wa jf udaku remix waki...
Habari kamili uk 7.
Wakipanga mkakati wa kumng'oa mtu meno.Yarabi toba, Michelle, Lizzy, na asakuta same wabambwa na mwandishi wa jf udaku remix waki...
Habari kamili uk 7.
Chezea Michelle sasa,nitampatia jibu....ukimuona niambie.....!!
Kongosho hii habari mbona sikuiona uk.7 iko sehemu au kama vipi malizia hapo
breaking news;
bishanga amkimbia kongosho buibui g/house dakika chache zilizopita baada ya kukuta anaitiwa kumfariji kongosho baada ya kupoteza ajira......
habari kamili atawaletea Michelle muda si mrefu ,saiv ndo anaelekea eneo la tukio.