jf udaku:remix

jf udaku:remix

Baada ya skendo ya asakuta same na wadada wawili kuanikwa hadharani.
Aanza kutoa vitisho kwa mwandishi

habari katika picha uk wa sita na nusu

we kongosho nitakutumia hawa nyuki wa babu wakuangamize.... wewe endelea tu na huo udaku wako!
 
Yarabi toba, Michelle, Lizzy, na asakuta same wabambwa na mwandishi wa jf udaku remix waki...

Habari kamili uk 7.

panga mpango wa kukomesha wafanyakazi wanaotoroka makazini kwenda buibui guest house
 
Kutoka Buibui Guest House: Kongosho azua Balaa

Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Kongosho ambaye imethibitika ni member wa mtandao wa JF amezua balaa la aina yake,pale alipomuita mwanamme ambaye ni mpenzi wake nyumba ya kulala wageni,mwanamme huyo aliyefahamika kwa jina moja tu la Bishanga akameza vidonge vya kuongeza nguvu za kiume aina ya VIAGRA. Kufika ndani akakuta Kongosho analia kufukuzwa ajira baada ya bosi wake kumshtukia kuwa anatoroka sana kazini kwenda kulala na Bishanga. Kongosho akakataa katu katu kumpa Bishanga hitaji lake....Hivi sasa Bishanga ambulance imefika kumchukua Bishanga kumpeleka Muhimbili kiungo chake cha uzazi kimegoma kabisaaaaaaaaaaaaaaa

Mwandishi wetu Asakute atawahabarisha zaidi kutoka Muhimbili......!

Mwandishi wetu Asakute naona bado yuko kwenye chumba cha dokta anafanya mahojiano lakini habari zilizotufikia mda huu inasemakana nesi mmoja ambaye jina lake halijajulikana bado amejitolea kumuondelea maumivu Bishanga maana kwa sasa naskia makelele
 
Mwandishi wetu Asakute naona bado yuko kwenye chumba cha dokta anafanya mahojiano lakini habari zilizotufikia mda huu inasemakana nesi mmoja ambaye jina lake halijajulikana bado amejitolea kumuondelea maumivu Bishanga maana kwa sasa naskia makelele

Makelele ya raha au kilio mkuu?? Tofautisha utupe habari inayoeleweka....
 
Kutoka Buibui Guest House: Kongosho azua Balaa

Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Kongosho ambaye imethibitika ni member wa mtandao wa JF amezua balaa la aina yake,pale alipomuita mwanamme ambaye ni mpenzi wake nyumba ya kulala wageni,mwanamme huyo aliyefahamika kwa jina moja tu la Bishanga akameza vidonge vya kuongeza nguvu za kiume aina ya VIAGRA. Kufika ndani akakuta Kongosho analia kufukuzwa ajira baada ya bosi wake kumshtukia kuwa anatoroka sana kazini kwenda kulala na Bishanga. Kongosho akakataa katu katu kumpa Bishanga hitaji lake....Hivi sasa Bishanga ambulance imefika kumchukua Bishanga kumpeleka Muhimbili kiungo chake cha uzazi kimegoma kabisaaaaaaaaaaaaaaa

Mwandishi wetu Asakute atawahabarisha zaidi kutoka Muhimbili......!
kutoka muhimbili:
baada ya kudhitika kuwa bishanga alitumia viagra na mwandani wake kumyima utamu kisa alikuwa na stress ,kama ilivyoripotiwa na mwandishi wetu Michelle.Bishanga baada ya kufikishwa muhimbili alipatiwa huduma ya kwanza na kuchomwa sindano kumtuliza mzuka wake lakini akakataa katakata kulazwa kwa uangalizi zaidi bila kutoa sababu kwa madokta wa zamu.
ila habari za kuaminika kutoka kwa mshirika wa karibu wa Bishanga (jina linahifadhiwa kwasababu za kiinteligensia) zinasema Bishanga alishapata taarifa kuwa kwenye jukwaa la Chit Chat kumechafuka ,hivyo alikuwa anawahi kwenda kusafisha hali ya hewa.
Habari zaidi kutoka Chit chat atatuletea mwandishi wetu mzoefu Michelle..........!
 
Kutoka Buibui Guest House: Kongosho azua Balaa

Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Kongosho ambaye imethibitika ni member wa mtandao wa JF amezua balaa la aina yake,pale alipomuita mwanamme ambaye ni mpenzi wake nyumba ya kulala wageni,mwanamme huyo aliyefahamika kwa jina moja tu la Bishanga akameza vidonge vya kuongeza nguvu za kiume aina ya VIAGRA. Kufika ndani akakuta Kongosho analia kufukuzwa ajira baada ya bosi wake kumshtukia kuwa anatoroka sana kazini kwenda kulala na Bishanga. Kongosho akakataa katu katu kumpa Bishanga hitaji lake....Hivi sasa Bishanga ambulance imefika kumchukua Bishanga kumpeleka Muhimbili kiungo chake cha uzazi kimegoma kabisaaaaaaaaaaaaaaa

Mwandishi wetu Asakute atawahabarisha zaidi kutoka Muhimbili......!

Najutaaa kusoma hapa, nimecheka mpaka usingizi wangu wa jioni umepotea! Dah.....nyie watu nyie ni noumer lol!!!
 
Makelele ya raha au kilio mkuu?? Tofautisha utupe habari inayoeleweka....

Imebidi nijisogeze karibu na dirisha naskia nesi anamlalamikia Bishanga mbona hata hamalizi, Bishanga anapiga mikelele tu eti misuli inamuuma mpaka sasa hivi naanza kusikia maneno ya kihaya ...mayo..omukama anjune..
 
Mwandishi wetu Asakute naona bado yuko kwenye chumba cha dokta anafanya mahojiano lakini habari zilizotufikia mda huu inasemakana nesi mmoja ambaye jina lake halijajulikana bado amejitolea kumuondelea maumivu Bishanga maana kwa sasa naskia makelele
kutoka muhimbili;
baada ya kutonywa hizi habari na mwandishi mwandamizi Michelle ,nilizifuatilia na kukuta hakuna udhibitisho wowote kama hili jambo lilitokea kwasababu nesi aliyekuwa zamu shift yake ilikuwa imekwisha na ameshatoka.
ila katika dodosa dodosa zangu nilifanikiwa kupata habari za kuaminika kutoka kwa mlinzi mmoja kuwa Bishanga alionekana akiwa ameongozana na mwanamama mmoja wakati anatoka na Bajaji hapa muhimbili......
tutaendelea kuzifuatilia hizi habari kuwapasha zaidi.
 
Michelle aamua kumchafua kongosho.
Ni baada ya kongosho kumwangusha vikali katika kinyanganyiro cha ....

Najutaaa kusoma hapa, nimecheka mpaka usingizi wangu wa jioni umepotea! Dah.....nyie watu nyie ni noumer lol!!!
 
kutoka muhimbili:
baada ya kudhitika kuwa bishanga alitumia viagra na mwandani wake kumyima utamu kisa alikuwa na stress ,kama ilivyoripotiwa na mwandishi wetu Michelle.Bishanga baada ya kufikishwa muhimbili alipatiwa huduma ya kwanza na kuchomwa sindano kumtuliza mzuka wake lakini akakataa katakata kulazwa kwa uangalizi zaidi bila kutoa sababu kwa madokta wa zamu.
ila habari za kuaminika kutoka kwa mshirika wa karibu wa Bishanga (jina linahifadhiwa kwasababu za kiinteligensia) zinasema Bishanga alishapata taarifa kuwa kwenye jukwaa la Chit Chat kumechafuka ,hivyo alikuwa anawahi kwenda kusafisha hali ya hewa.
Habari zaidi kutoka Chit chat atatuletea mwandishi wetu mzoefu Michelle..........!

Kutoka Chit Chat...na Michelle HashyCool

Amini usiamini, Bishanga ndo amefika hapa...machozi yanamtoka anabembelezwa na kaka zake na shemeji zake...nimeomba kuzungumza nikaruhusiwa kwa dakika moja. nimempa pole na kumuuliza kulikoni?? Akasema yeye hamjui huyo Kongosho ni nani na wala hajui kama Kongosho ni mwanamme au mwanamke....Kama mwandishi niliyebobea,hili lina maana mhusika analengo la kupotosha umma na hataki kuwa mkweli kwa yale yaliyotokea. Ina maana yeye alimfuata mtu aisyejua jinsia yake? Je aliingizwa mjini? na je ni nani huyo aliyefanikiwa kumwingiza mjini??

Niko barabarani naelekea kwa Kongosho,mtuhumiwa wa dhambi hii ambayo ingeweza kuleta madhara makubwa sana. Sijui kwanini wanaume wasimuepuka huyu mwanamama.....!
 
Imebidi nijisogeze karibu na dirisha naskia nesi anamlalamikia Bishanga mbona hata hamalizi, Bishanga anapiga mikelele tu eti misuli inamuuma mpaka sasa hivi naanza kusikia maneno ya kihaya ...mayo..omukama anjune..

Bishanga afanikiwa kutoka hospitali:

Baada ya sindano kushindikana,msamaria mwema ambaye chanzo chetu kimethibitisha ni nesi hapo hospitalini ameokoa jahazi na kutumia njia ya kawaida kumaliza tatizo lililokuwa linamsumbua. Chanzo chetu kinatuhabarisha pia Bishanga,tajiri la Kihaya ameondoka na huyo nesi na sasa wako nyumbani kwa Bishanga.
 
Michelle aamua kumchafua kongosho.
Ni baada ya kongosho kumwangusha vikali katika kinyanganyiro cha ....

Michelle amjibu Kongosho " Nina Wangu"

Kongosho mie nimetosheka na kujikubali na hali yangu na niliye naye, katu siwezi kushindana nawe kwa ajili ya mwanaume, nikukumbushe tu kwenye sikuwa na sababu ya kushindana nawe kwa kuwa huyo unayemtesa alishaweka wazi kuwa ananikubali, kwa hiyo ningemtaka ni kiasi tu cha kumwambia iwe hivyo. Usijitangazie ushindi kwa mwanamke ambaye mumeo bado hamfahamu undani...utaja lia....hayo ni maneno ya mwanamke aliyetuhumiwa kutaka kumchukua mume wa mwenzie na kuzua ugomvi mkubwa mitaa ya Love Connect juzi.


 
@michelle, nimecheka sana tuhuma zako
na nna hasira za kufa mtu.

Anyway, acha niendelee kuripoti habari.

michelle amfanyia kongosho shambulio la aibu, amtukama ma.tu.si ya ngozini.
Habari kamili UK wa 3
 
Back
Top Bottom