si bora ya mnazi?
Loh, Bishanga wewe....kunipeperushia ndege wangu mtarajiwa jamani??? Na humpati tena Lizzy,utabaki kufumaniwa tu uswahilini
najua bishanga hapo hawezi hata jf nzima ikimsaidia.....Dearest aisee dearest, . . . . !! Haya bana.
Hili gazeti lingekuwepo kipindi fulani lingeuza sana maana nilikuwa na 'kashfa' ile mbaya...
najua bishanga hapo hawezi hata jf nzima ikimsaidia.....
si mwenyewe kakiri hawezi kuuvunja huo ukuta wa berlin au hamna lolote hapo?Hhhmmm. . . unajuaje?
si unajua machozi ya samaki huchukuliwa na maji wala hayaonekanagi?kuna haja ya Bishanga kulia kweli ?
si mwenyewe kakiri hawezi kuuvunja huo ukuta wa berlin au hamna lolote hapo?
ha ha ha ha ha ha! hapo sasa unaleta uchokozi my dia....Ohhh. . . kumbe ni matokeo ya alichosema yeye. Nilidhani unajua kitu asichojua.
Michelle hapa unamaana gani Bishanga kakupeperushia ndege wako, are u SHE or HE
ha ha ha ha ha ha! hapo sasa unaleta uchokozi my dia....
ngoja nikupm kukuuliza kulikoni kwanza.
msalie mtume Michelle,i need your help katika hili!
Are you serious? Lizzy kwangu hakohoi...zungumza nami vizuri....lolest!!
He he he he, mi ni mwanamke....ndege wangu ni HE, Bishanga anamjua,sijui hataki kuniona nae basi kila siku visa....lol
Dearest aisee dearest, . . . . !! Haya bana.