kongosho umesikia umbea huo? Unaonaje tumtafute Hashy tumpatie nyeti za Michelle?Kutoka Buibui Guest House: Kongosho azua Balaa
Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Kongosho ambaye imethibitika ni member wa mtandao wa JF amezua balaa la aina yake,pale alipomuita mwanamme ambaye ni mpenzi wake nyumba ya kulala wageni,mwanamme huyo aliyefahamika kwa jina moja tu la Bishanga akameza vidonge vya kuongeza nguvu za kiume aina ya VIAGRA. Kufika ndani akakuta Kongosho analia kufukuzwa ajira baada ya bosi wake kumshtukia kuwa anatoroka sana kazini kwenda kulala na Bishanga. Kongosho akakataa katu katu kumpa Bishanga hitaji lake....Hivi sasa Bishanga ambulance imefika kumchukua Bishanga kumpeleka Muhimbili kiungo chake cha uzazi kimegoma kabisaaaaaaaaaaaaaaa
Mwandishi wetu Asakute atawahabarisha zaidi kutoka Muhimbili......!
du! Haya mambo ya kuchokoza mzinga wa nyuki...mmmmhhhImebidi nijisogeze karibu na dirisha naskia nesi anamlalamikia Bishanga mbona hata hamalizi, Bishanga anapiga mikelele tu eti misuli inamuuma mpaka sasa hivi naanza kusikia maneno ya kihaya ...mayo..omukama anjune..
nshakuagizia merc 600 SL ujue,ohooooooo!!!!!
Nimetoka kumpa mtu zawadi wiki iliyopita.
Dearest na Kongosho mkianza kuraruana niitwe jamani.
Bishanga adondosha chozi nakuzimia baada ya kumfumania mkewe wake akiliwa uroda na jamaa mmoja jina limehifadhiwa
kongosho wewe nahisi una mimba ya Mwanakijiji.
Bishanga afanikiwa kutoka hospitali:
Baada ya sindano kushindikana,msamaria mwema ambaye chanzo chetu kimethibitisha ni nesi hapo hospitalini ameokoa jahazi na kutumia njia ya kawaida kumaliza tatizo lililokuwa linamsumbua. Chanzo chetu kinatuhabarisha pia Bishanga,tajiri la Kihaya ameondoka na huyo nesi na sasa wako nyumbani kwa Bishanga.
mbona intelegensia niliyonayo inasema ni mimba ya Rejao?kongosho wewe nahisi una mimba ya Mwanakijiji.
ngoja nimpe koti langu la kigentleman kumsitiri ,Huoni nimeshamchania blauzi Michelle?
Ataipata leyo.
mbona intelegensia niliyonayo inasema ni mimba ya Rejao?
mbona intelegensia niliyonayo inasema ni mimba ya Rejao?
ngoja nimpe koti langu la kigentleman kumsitiri ,Huoni nimeshamchania blauzi Michelle?
Ataipata leyo.