Naweza kusema kuwa ni WANAFIKI WAKUBWA (Pardon my CANDIDNESS and my lack for sense of humor) But these guys are either 100% FAKEROOOOOOOOOOOOOOO! Or they dont live up to their reputations. Ndo yale yale ya EASIER SAID THAN DONE!!!!!!!!!!!! Maneno mengi jamvini wakati kujitokeza live HUDHUBUTUUUUUUU!!!!!!!!!!
Kweli to me it is so DISAPPOINTING watu wamepewa RELEVANCE na wenzao, and wampewa status ya ku MATTER humu jamvini, watu wanakuja, wanakukubali hivo yani, then i dont know if they are TOO ASHAMED or WHATEVER ila mtu ukipewa NAFASI, UMUHIMU na UMAANA conduct yourself in that way!
Watu wamecommit mda, resources, and shit to make things happen, afu unashindwa kushow a little appreciation, little humor kwa kusupport by just kushiriki tu, kila kitu umeendaliwa, uje ule tu na kunywa bado unleta MASHAUZI! KWENDRAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!
Afu humu unajikosha kosha NAKUJA! NITALIPA! BLAH! BLAH! Na kujifanya unatujua sanaaaa wenzio wakati umetutosa kwenye party SI UNAFIKI HUO????????
Nisongee sanaaa ila IM ALLERGIC na watu wenye VI ATTITUDE vya ajabu ajabu! Watu wameandaa kitu, SHOW SUPPORT, SHOW SOME LOVE! Ndo watu TUISHIVO! Shughuli ni watu na MTU NI WEWE (Cha unafiki). Party huji kesho kaka matambuz, kaka mtambuzi wakati party yake uliipotezea! Puuuuuuuuu!
To be more FRANK watu wengine ni SHMUCKS/ PARTY PUPPERS/ ANTI SOCIAL so its westage of time kuwaconsider! Otherwise kama unajiconsider social and you are not planning to attend YOU SHOULD REALLY BE ASHAMED OF YOUR SELF!!!!!!