JF PARTY 25th JAN Exlusive Interview with lara 1...

JF PARTY 25th JAN Exlusive Interview with lara 1...

Jamani maselebu wa MMU mukuje bana pande hizo za Kawe Beach...

Wengine tunatamani walau autografu zenu...show support and show some love!!

Okay...mmh now lemme get down to this one, maana sherehe kama hizi bila mabebs wa ukweeh zinachachaje?

5. Unaonaje ushiriki wa mababes(vigoli au warembo) mwaka huu?
 
Jamani maselebu wa MMU mukuje bana pande hizo za Kawe Beach...

Wengine tunatamani walau autografu zenu...show support and show some love!!

Okay...mmh now lemme get down to this one, maana sherehe kama hizi bila mabebs wa ukweeh zinachachaje?

5. Unaonaje ushiriki wa mababes(vigoli au warembo) mwaka huu?

Hahahaaaa! M babes banaaa, uitikio wao unaridhisha sijui niseme unaridhishwa maana kwa kulipiwa hawajambo hao! Hahaaaaaa! (Menyewe nimelipwa mie yakheeeeeee!) Yah! But kusema kweli wananishangaza jinsi walivoitoa kusupport hii kitu!

Kuna MBABE wa mwana she actually has bought a ticket already, kalipa kila tu! Kuna MBABE wa A -Town nae keshalipa na anadondoka! Sasa hadi MABABES wa mkoani wanadondoka THIS NO SMALL THING OOOOOOOOOOOOOH! HEEEEEEEEEEEY!!!!!!! Na BIG GIRLS TINS!!!!!!!!! (Watafikia oteli gani MNITUE KABISAAAA)

Yah kusema kweli muitikio unaridhisha sanaaa! TOTOS zina P.O.BOX!!!!!!!!!!!! Zina maka FLIPORA!!!!!! Chezeya kutketeza kitita kwa party ya JF! Wapi Mamaaaaaaa..........pande za Mwanza????????

Pia nawaencourage wanaume muwalipie MABABES wengi zaidi ili twende sawa ukumbini! Its not like ukimlipia ndo u own her au aje. But its time to show YOUR GENTLENESS!!!!!!!!! "BWANA KUBWA LA MADUI NIMEKULIPIA NO STRINGS ATTATCHED NATAKA TUBADILISHANE MAWAZO MAWILI AU MATATU TU KWA PARTY" Aaaaaaaaw!!!!!!!!! He is so damn sweet! He mightbe the kind of my man! (MLIO OA HILI HAIWAHUSU!)
 
nimependa majibu ya lara jaman wana jf tuwasapot hawa wadau waliopoteza muda wao na fedha zao kwa ajili ya hii event. lakin nadhan watu wengi hatujaelewa nini hasa kitakachojir hapo.kuna kutambulishana au mgeni rasmi atakuwepo? mc je.itakuwa ni party yenye mwelekeo upi hasa
 
Omamaaa!!! ngoja niachane na hilo la mabebs wa ukweeh maana hadi sharubu zangu zimecheza baada ya kuhakikishiwa watatua kutoka kona mbali mbali za Tanzania....sijui Dr Preta atakuwepo au binamu Zinduna...mmmh!!!

6. Hebu nitoe shaka katika hili, unaongeleaje maandalizi kwa ujumla?

Wadau wawe na matarajio gani?
 
Last edited by a moderator:
Omamaaa!!! ngoja niachane na hilo la mabebs wa ukweeh maana hadi sharubu zangu zimecheza baada ya kuhakikishiwa watatua kutoka kona mbali mbali za Tanzania....sijui Dr Preta atakuwepo au binamu Zinduna...mmmh!!!

6. Hebu nitoe shaka katika hili, unaongeleaje maandalizi kwa ujumla?

Wadau wawe na matarajio gani?

Mandalizi fresh! So far mambo yako POAAAAAAAAA! Ila tu tusipende kufanya crash program! Lipia mapema tufanye vituvya uhakika! Mtu unalipia mwishoo unategemea nini?
 
Nadhan watu wengi hatujaelewa nini hasa kitakachojir hapo.kuna kutambulishana au mgeni rasmi atakuwepo? mc je.itakuwa ni party yenye mwelekeo upi hasa

Shaka ondoa maana interview hii itajibu maswali mengi ya wadau likiwemo swali hili ulilolibainisha...

Kwa kuwa mimi pia nina uzoefu wa kushiriki last time (last year), party hizi huwa ni mjumuiko huru ambapo sehemu kubwa ni kubadilishana mawazo, kufahamiana na kwa wengine ni fursa kwa shughuli zao mbalimbali za kielimu, kibiashara n.k

Hakuna mjumuiko usio na kiranja hivyo MC huwa anakuwepo lakini pengine utamsikia mara tatu au nne tu pale inapobidi...

Ukitaka kujitambulisha sawana usipotaka pia sawa...
 
I wish wish wisssshhhh nngekuwa huko jamani!! Yani kiroho chawivu kinadundia puan hadi vijasho! Natamani hata binamu yangu aende aje anisimulie!

>Hivi mtu ambae siyo member humu anaweza kuhudhuria?@lara 1

Yah ANAHUDHURIA as long as ana CLUE ya nini kinaendelea! Maybe anaingiaga kwa GUEST! Hivo! Otherwise atapotea maboya!!!!!!!! Kuna ma BABES walitaka kuchakachua waje wakati hawajui hata JF ni nini NIMEWASTOPISHA!!!!!!!
 
Jamani hembelu hembelu wenye kutamani kushiriki fanye fastani kulipia mapema wekundu watatu tu ili shughuli hii ifane kama ilivyopagwa atiii....

7. lara 1 labda kwa mtazamo wako ningelipenda kujua, unadhani wale wasioshiriki watakosa nini au watapitwa na nini?
 
Last edited by a moderator:
Naweza kusema kuwa ni WANAFIKI WAKUBWA (Pardon my CANDIDNESS and my lack for sense of humor) But these guys are either 100% FAKEROOOOOOOOOOOOOOO! Or they dont live up to their reputations. Ndo yale yale ya EASIER SAID THAN DONE!!!!!!!!!!!! Maneno mengi jamvini wakati kujitokeza live HUDHUBUTUUUUUUU!!!!!!!!!!

Kweli to me it is so DISAPPOINTING watu wamepewa RELEVANCE na wenzao, and wampewa status ya ku MATTER humu jamvini, watu wanakuja, wanakukubali hivo yani, then i dont know if they are TOO ASHAMED or WHATEVER ila mtu ukipewa NAFASI, UMUHIMU na UMAANA conduct yourself in that way!

Watu wamecommit mda, resources, and shit to make things happen, afu unashindwa kushow a little appreciation, little humor kwa kusupport by just kushiriki tu, kila kitu umeendaliwa, uje ule tu na kunywa bado unleta MASHAUZI! KWENDRAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!

Afu humu unajikosha kosha NAKUJA! NITALIPA! BLAH! BLAH! Na kujifanya unatujua sanaaaa wenzio wakati umetutosa kwenye party SI UNAFIKI HUO????????

Nisongee sanaaa ila IM ALLERGIC na watu wenye VI ATTITUDE vya ajabu ajabu! Watu wameandaa kitu, SHOW SUPPORT, SHOW SOME LOVE! Ndo watu TUISHIVO! Shughuli ni watu na MTU NI WEWE (Cha unafiki). Party huji kesho kaka matambuz, kaka mtambuzi wakati party yake uliipotezea! Puuuuuuuuu!

To be more FRANK watu wengine ni SHMUCKS/ PARTY PUPPERS/ ANTI SOCIAL so its westage of time kuwaconsider! Otherwise kama unajiconsider social and you are not planning to attend YOU SHOULD REALLY BE ASHAMED OF YOUR SELF!!!!!!
wape wape eee vidonge vyao,wakimeza wakitema shauri yao x2. teh teh.
 
Jamani hembelu hembelu wenye kutamani kushiriki fanye fastani kulipia mapema wekundu watatu tu ili shughuli hii ifane kama ilivyopagwa atiii....

7. lara 1 labda kwa mtazamo wako ningelipenda kujua, unadhani wale wasioshiriki watakosa nini au watapitwa na nini?

Tukiondoa wale wenye PARTY PHOBIA/ SCHMUCKS/ PARTY PUPPERS ambao hata Party iweje na waambiwe nini hawawezi kwenda, na wakija watatuharibia na kutudodeshea mambo bureee, japo mtu hata kama una U SCHMUCK (Hata mimi ninao kidogo,) uzijiendekezeee! YOU ARE NOT GETTING ANY YOUNGER!!!!!

The rest ambao tunajconsider outgoing, charming, social, na watu watu you must not miss this gig! JF is going somewhere, in 2020 inaweza kuwa hata kama GOOGLE! Tayari ni no 1 in Tanzania,Zikaja kutokea opportunity ukatoswa, kumbe mwenyewe ulijiengua mapemaaaaaaaa!

More over kama kijana usiwe ZOBA ZOBA, jitengenezeee opportunity, improve your chances, jitengenezee mazingira ya kutoka kimaisha. Hili jmvi lina kila aina ya watu sikufichi, sasa penye wengi pana mengi. Ukikaa nyuma nyuma hayaaa!

Come for the FUN!!!!! Kesho watu wakismulia you were ACTUALLY THERE!!!!! This is only ONCE A YEAR! Ila out zingine unaweza tu kupostpone but this if it goes down mpaka mwakani hiyo!

Kuna watu huwezi kukutana nao kokote kwenye cycle yako ya maisha except kwenye HILI PARTY!

Jst imagine watu wanasema Heaven on Earth NI BONGE LA SHORIIIIII AFTER PARTY ITABIDI TU UKUBALI! SI HUJAMUONA? UTABISA NINI? Ila ungemuona UNGEKULA HATA WA MACHO TU KILA UKISOMA COMMENS ZAKE! lolest!
 
Last edited by a moderator:
Mmh!!! lara 1 haujui tu ni wapi unaponikuna kwa majibu yako..." . Hili jmvi lina kila aina ya watu sikufichi, sasa penye wengi pana mengi. Ukikaa nyuma nyuma hayaaa!"

Naamini baada ya hapa hakuna atayekubali kuwa nyuma tena...teh teh

Mmh kuna hili jambo la muhimu sana na nimekutana na maswali na concerns kadhaa watu wakiulizia hizi ID's zetu itakuwaaaje?

8. Hebu kwa ufupi tu wewe kama mmoja wa organizers suala la confidentiality(usiri)ya ID unaizungumziaje ?

Unawahakikishiaje watu u anonymous(hali zao za kutojulikana) wao?
 
Last edited by a moderator:
Najua ni machale ya kufuli, lol

Hahah!!!

Ningekuwa ni mwalimu wako ningekutilia bonge la kosa...

Kichwa yangu hii ipo observant sana, utanitricky once but not twice...

Hata miandiko ina jinsia na inatoa taswira ya jinsia zetu halisia...

Endelea kusoma intavyuu leo sitaki kucheza na wewe...
 
Mmh!!! lara 1 haujui tu ni wapi unaponikuna kwa majibu yako..." . Hili jmvi lina kila aina ya watu sikufichi, sasa penye wengi pana mengi. Ukikaa nyuma nyuma hayaaa!"

Naamini baada ya hapa hakuna atayekubali kuwa nyuma tena...teh teh

Mmh kuna hili jambo la muhimu sana na nimekutana na maswali na concerns kadhaa watu wakiulizia hizi ID's zetu itakuwaaaje?

8. Hebu kwa ufupi tu wewe kama mmoja wa organizers suala la confidentiality(usiri)ya ID unaizungumziaje ?

Unawahakikishiaje watu u anonymous(hali zao za kutojulikana) wao?

Hahahaaaaaa! Hilo easy sana! Kwani MPESA AU TIGO PESA YAKO imeandikwa WATU 8????????? Kama vipi tuma hata na namba ya wakala kabisaa! Sisi mtuakilipa unampa kadi, maadam akumbuke jina lake la kwenye kadi tu mlangoni baaaaaaaaas!Otherwise sioni problem!
 
Well, well, well...naona umetegua vyema kile kitendawili cha walio wengi kuogopa kujulikana...

Kabla sijamalizia swali la mwisho ningependa utoe mawili matatu kwa wadau wapya hapa jamvini:

9. Unawaambiaje New members juu ya ushiriki hii makitu!
 
Well, well, well...naona umetegua vyema kile kitendawili cha walio wengi kuogopa kujulikana...

Kabla sijamalizia swali la mwisho ningependa utoe mawili matatu kwa wadau wapya hapa jamvini:

9. Unawaambiaje New members juu ya ushiriki hii makitu!

Nawakaribisha tu wajitokeze kwa wingi, wata enjoy sanaaaa!
 
Hahahaaaaaa! Hilo easy sana! Kwani MPESA AU TIGO PESA YAKO imeandikwa WATU 8????????? Kama vipi tuma hata na namba ya wakala kabisaa! Sisi mtuakilipa unampa kadi, maadam akumbuke jina lake la kwenye kadi tu mlangoni baaaaaaaaas!Otherwise sioni problem!

suppose nataka kumlipia miss chagga ili anipe kampani tu kwenye party nitafanyaje?hapo si lazima ID na real names zikoconnect?
 
Back
Top Bottom