Jf members wanao penda ku-flirt PM

RR:
Hujawahi kupata simulizi kuhusu PM zinazohitaji wenyeji? Na maana ya WaTZ waishio nje ya nchi kupm watu wa nyumbani kwenda kuwapokea uwanja wa ndege...
 
utatuhakikishiaje mkuu mimi mwenyewe nina wasiwasi kwenye PM hakuna siri kabisa

Mi mwenyewe nina wasiwasi, tena kama kipindi kile walipoweka kale ka 'from Array' hahahaa nilijua PM zangu zinaeditiwa!!! Dah........long time no see you getegete, umezamia mitaa ipi mkuu?
 
Duh! Naona mada inakwenda mbali zaidi...

Kibs, haipiti hata wiki mbili zilizopita kulikuwa na thread iliyoanzishwa ambapo mtu aaliulizia usalama wa PM zake. Watu wengi walionekana kuwa na wasi wasi sana na PM zao na hilo suala la iwapo moderators wanaweza kuona halikujibiwa na uongozi.

Kwa hiyo hiii ya leo "itachukuliwa" kama ushahidi ulioletwa kuwa moderators wanasoma PM za watu.
 
Iwe Paranoia isiwe, hivyo ndo itakavyochukuliwa na wengi hususan ukizingatia kuwa mara nyingi watu walishauliza usalama wa PM zao iwapo Moderators wanaweza kuzisoma na halikujibiwa na uongozi wa JF na badala yake members wakasema kuwa ndio wanaweza kuzisoma 'wakitaka'
Funika kombe.....
 
RR:
Hujawahi kupata simulizi kuhusu PM zinazohitaji wenyeji? Na maana ya WaTZ waishio nje ya nchi kupm watu wa nyumbani kwenda kuwapokea uwanja wa ndege...
Hizo sikuziskia... ila nadhani lazima kutakua na uhusiano umesha jengwa kati ya members, au? maana huwezi kuanza ghafla na ukaingia kama hivo... sijui lakini...
 
Iwe Paranoia isiwe, hivyo ndo itakavyochukuliwa na wengi hususan ukizingatia kuwa mara nyingi watu walishauliza usalama wa PM zao iwapo Moderators wanaweza kuzisoma na halikujibiwa na uongozi wa JF na badala yake members wakasema kuwa ndio wanaweza kuzisoma 'wakitaka'

Kibs, haipiti hata wiki mbili zilizopita kulikuwa na thread iliyoanzishwa ambapo mtu aaliulizia usalama wa PM zake. Watu wengi walionekana kuwa na wasi wasi sana na PM zao na hilo suala la iwapo moderators wanaweza kuona halikujibiwa na uongozi.

Kwa hiyo hiii ya leo "itachukuliwa" kama ushahidi ulioletwa kuwa moderators wanasoma PM za watu.
Gaijin kama kuna watu walikua na wasiwasi na wakatunga thread bila kujibiwa basi watanisoma hapa (katika hii post) nikiwahakikishia kua as a MOD sina uwezo wa kusoma PM za mtu zaidi ya PM zangu mwenyewe au reported PM ambazo zinaripotiwa na mtu anae zipokea. vingine ni kati ya wanao tumiana PM.
Kumbe it was good we highlight this issue so everybody knows...
 
Gaijin kama kuna watu walikua na wasiwasi na wakatunga thread bila kujibiwa basi watanisoma hapa (katika hii post) nikiwahakikishia kua as a MOD sina uwezo wa kusoma PM za mtu zaidi ya PM zangu mwenyewe au reported PM ambazo zinaripotiwa na mtu anae zipokea. vingine ni kati ya wanao tumiana PM.
Kumbe it was good we highlight this issue so everybody knows...

Ni suala la wao kukuamini au la baada ya kusoma maelezo ya post ya mwanzo kwenye thread hii
 
Kibs, haipiti hata wiki mbili zilizopita kulikuwa na thread iliyoanzishwa ambapo mtu aaliulizia usalama wa PM zake. Watu wengi walionekana kuwa na wasi wasi sana na PM zao na hilo suala la iwapo moderators wanaweza kuona halikujibiwa na uongozi.

Kwa hiyo hiii ya leo "itachukuliwa" kama ushahidi ulioletwa kuwa moderators wanasoma PM za watu.

Mwalimu, Salam.

Hata mimi kuna mdau aliwahi kuning'ata sikio kwamba nisiziamini sana PM, kwani usalama wake ni mdogo!!

Sasa hii ya RR nadhani inaweza kutia chumvi kwenye kidonda badala ya kukiponya. Lakini kwakuwa yeye ndo kalianzisha, bila shaka atauhakikishia umma kwamba PM zinalindwa ili kukidhi haja ya ''privacy''.
 
Back
Top Bottom