Roulette
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 5,579
- 5,375
- Thread starter
- #81
Mimi siwajui. Na kama unawajua ole wako ukiwataja. that is 'name calling'+'kuleta mambo ya PM jamvini'!Hivi tunaweza kuelimishana kwa kuwataja mabingwa wa kuflirt???
Mie nilikuwa na nafanya hiyo kitu miaka ya 1957.......Kwa hiyo wanaofanya sasa nao wajipime wenyewe ama waamue kujitaja au tuwataje!!