Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Kwakweli hapo mie sina cha kukujibu,
Coz hata mie mwanzon sikuelewa lkn nikawa navutiwa naujumbe ninaoupata,
Na kwa kweli nafarijika kwani huwa na copy na kupest kwa pc yangu na kufuta hizo pm,
Kiasi kwamba mpaka sasa nina inbox tano za mistari ya biblia za leo,
Namshukuru mungu kwa neema hii.
Coz hata mie mwanzon sikuelewa lkn nikawa navutiwa naujumbe ninaoupata,
Na kwa kweli nafarijika kwani huwa na copy na kupest kwa pc yangu na kufuta hizo pm,
Kiasi kwamba mpaka sasa nina inbox tano za mistari ya biblia za leo,
Namshukuru mungu kwa neema hii.