hahaha! Naelewa kaka, hio picha ya kitambo... Enzi mnakua kua...Sister....hii picha ya zamani siku hizi nimerefuka na mke wangu sweetlady amezidi kuwa mrembo zaidi ya hapo...lol
AshaDii - Kuna watu walizaliwa kuwafanya wenzao kujisikia "raha" - nadhani wewe ni mmojawapo...!
Umejuaje kama nina dreads; aisee sikuwezi, ungekuwa Kongosho ningesema wewe ni gagula. LOL
mashaallah.....mimi yangu huipati ng'o!!!
hahaha! Naelewa kaka, hio picha ya kitambo... Enzi mnakua kua...
I am humbled Baba_Enock... Regards kwa Mama_Enock... Hii picha niliifuma kwa mwaJ (wapili toka kushoto), wakiwa kwenye sherehe ya birthday ya niece wangu Elizabeth Dominic (hapo kati), hapo wakiwa na BelindaJacob (dada mweupe kuliko wote) pamoja na Viper (kaka wa kwanza kushoto), Blaine (kati kati) na aliye baki ni Zogwale... (Zogwale everbody exists at JF, their visibility reliant on their preference.. lol)
![]()
AshaDii hiyo picha itakuwa fake mbona imekataa kufunguka? Na utakuwa umeipataje? Maana albums zote mie nilizificha ili msiniibie picha.hahaha! Naelewa kaka, hio picha ya kitambo... Enzi mnakua kua...
I am humbled Baba_Enock... Regards kwa Mama_Enock... Hii picha niliifuma kwa mwaJ (wapili toka kushoto), wakiwa kwenye sherehe ya birthday ya niece wangu Elizabeth Dominic (hapo kati), hapo wakiwa na BelindaJacob (dada mweupe kuliko wote) pamoja na Viper (kaka wa kwanza kushoto), Blaine (kati kati) na aliye baki ni Zogwale... (Zogwale everbody exists at JF, their visibility reliant on their preference.. lol)
![]()
Cute....lol.............Hi Dears...
Nikiwa in one of those days usingizi umeenda kwao na my fellow members siwaoni jukwaani nimeona nifanye upekenyuzi. hahaha Kumbe kila member ambaye ni JF ana picha hapa jukwaani ya ukweli na halisi kabisa... Nimeenda kufukunyua picha zote na kuzileta hapa! lol
Anaetufungulia ni Mwali...
![]()
Update:
AshaDii: In my own courtesy (Roulette) alter utajibeba nimeweka picha yako na wewe!
![]()
AshaDii nimependa picha ya mwali! vipi kaolewa! :redface:
AshaDii sikuwezi, Khaaa!
hahahahahaahahaha! dah! sijacheka siku nyingi sana aisee! mbali na kucheka sana nimejikuta tu nina furaha nyingi leo, haya bana AshaDii naona umefanikiwa kututoa kwenye msiba wa Mwangosi.
Mkuu AshaDii,
Mimi nilipoona umeshika kamera nikakimbia maana naona umezipiga picha nyingi kwa ustadi wa hali ya juu .
Pig up mkuu.
Lol
Yaani huyu mrembo ingekuwa ni consumable product watengenezaji wangeandika hivi, "100% NATURALLY SWEET, NO SUGAR ADDED but not adviced to people with income less than $4,000 a month! ENJOY RESPONSIBLY
Perfect Work, INNOVATIVE
huyu dada AshaDii nahisi mchawi, au mtu wa TISS nini, iweje utoe picha zinazofanana na wahusika aisee? kwangu hujakosea kabisa.
hahaha ashadii we kweli kiboko hahaha.hii thread imesimama
Didi... Naona leo umeamua
Yaani AshaDii hakuna hata member mwenye mpododo nichumbie?
hahaha! Naelewa kaka, hio picha ya kitambo... Enzi mnakua kua...
I am humbled Baba_Enock... Regards kwa Mama_Enock... Hii picha niliifuma kwa mwaJ (wapili toka kushoto), wakiwa kwenye sherehe ya birthday ya niece wangu Elizabeth Dominic (hapo kati), hapo wakiwa na BelindaJacob (dada mweupe kuliko wote) pamoja na Viper (kaka wa kwanza kushoto), Blaine (kati kati) na aliye baki ni Zogwale... (Zogwale everbody exists at JF, their visibility reliant on their preference.. lol)
![]()
Niliruhusu mwenye BW, Basi tu inatokea once in a while upweke unatinga na usingizi kupaa.... hahaha!
Ukiwaona hawa kaka zangu waambie natuma salamu za upendo, na kuwa hii picha nilipewa na Mrembo by Nature (dada aneonekana kwa uficho sana akiwa na natura hair hapo kulia). Toka kulia Mwita Maranya, Speaker, Geza Ulole, Safari_ni_Safari, Mtumishi Wetu, engmtolera na Genecius Kaiza
![]()
Chezeiya kufanya internship ya intelligence chini ya WomanOfSubstance hapo chini? hahaha!
![]()
Dah hiyo mechi ya kombe ya mbuzi halafu tukafungwa
Si ndio maana Viper alitaka kumdundakicheko!Hyo mechi Kipa wetu makoyo si aliuza mechi?
mwaJ natoa hio picha, ngoja niwaletee ingine, lazima muone jinsi mlivotokelezea... lol
Njiwa Mwali hajaolewa na mimi ndie shangazi yake... lol (ila bado anasoma)
Hizo chuchu za Keren :becky:
hahaha! Naelewa kaka, hio picha ya kitambo... Enzi mnakua kua...
I am humbled Baba_Enock... Regards kwa Mama_Enock... Hii picha niliifuma kwa mwaJ (wapili toka kushoto), wakiwa kwenye sherehe ya birthday ya niece wangu Elizabeth Dominic (hapo kati), hapo wakiwa na BelindaJacob (dada mweupe kuliko wote) pamoja na Viper (kaka wa kwanza kushoto), Blaine (kati kati) na aliye baki ni Zogwale... (Zogwale everbody exists at JF, their visibility reliant on their preference.. lol)
![]()
Niliruhusu mwenye BW, Basi tu inatokea once in a while upweke unatinga na usingizi kupaa.... hahaha!
Ukiwaona hawa kaka zangu waambie natuma salamu za upendo, na kuwa hii picha nilipewa na Mrembo by Nature (dada aneonekana kwa uficho sana akiwa na natura hair hapo kulia). Toka kulia Mwita Maranya, Speaker, Geza Ulole, Safari_ni_Safari, Mtumishi Wetu, engmtolera na Genecius Kaiza
![]()
Chezeiya kufanya internship ya intelligence chini ya WomanOfSubstance hapo chini? hahaha!
![]()