Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,731
View attachment 65998me myself and i hahahah id ya ukwee na picha ya ukwee kikinuka rahisi kunikamata hahahaha
hahaha! Naelewa kaka, hio picha ya kitambo... Enzi mnakua kua...
I am humbled Baba_Enock... Regards kwa Mama_Enock... Hii picha niliifuma kwa mwaJ (wapili toka kushoto), wakiwa kwenye sherehe ya birthday ya niece wangu Elizabeth Dominic (hapo kati), hapo wakiwa na BelindaJacob (dada mweupe kuliko wote) pamoja na Viper (kaka wa kwanza kushoto), Blaine (kati kati) na aliye baki ni Zogwale... (Zogwale everbody exists at JF, their visibility reliant on their preference.. lol)
![]()
Niliruhusu mwenye BW, Basi tu inatokea once in a while upweke unatinga na usingizi kupaa.... hahaha!
Ukiwaona hawa kaka zangu waambie natuma salamu za upendo, na kuwa hii picha nilipewa na Mrembo by Nature (dada aneonekana kwa uficho sana akiwa na natura hair hapo kulia). Toka kulia Mwita Maranya, Speaker, Geza Ulole, Safari_ni_Safari, Mtumishi Wetu, engmtolera na Genecius Kaiza
![]()
Chezeiya kufanya internship ya intelligence chini ya WomanOfSubstance hapo chini? hahaha!
![]()
Mkuu flora msoffe Mtoto mzuri nimeipenda picha yako umeniruhusu niichukuwe?:A S-rose:View attachment 65998me myself and i hahahah id ya ukwee na picha ya ukwee kikinuka rahisi kunikamata hahahaha
View attachment 65998me myself and i hahahah id ya ukwee na picha ya ukwee kikinuka rahisi kunikamata hahahaha
mie Mzima......tatizo huku Loliondo mtandao tabu sana...!!Kaka Bigirita nimeruka post zote bado kuzijibu ili tu nikusalimu 'with love' kabla hujaishiwa bundle hahaha! maana ni kitambo sijagongana na wewe! Mzima wewe?
mie Mzima......tatizo huku Loliondo mtandao tabu sana...!!
kuishi bila kupambana na Rejao na Zomba hainogi kabisa.!!
Nikipata nauli, nitarudi mjini.
Sema taratibu nanihii asisikie......huwa anapita pita humu atiii!!!hahaha! Hilo hata mimi naona kabisa... Team ya ukweli ya upambanaji... Na amini nakuambia hata wao wamekumiss... Naona binti Msoffe kakurusha roho... lol
Kaka Bigirita nimeruka post zote bado kuzijibu ili tu nikusalimu 'with love' kabla hujaishiwa bundle hahaha! maana ni kitambo sijagongana na wewe! Mzima wewe?
mie Mzima......tatizo huku Loliondo mtandao tabu sana...!!
kuishi bila kupambana na Rejao na Zomba hainogi kabisa.!!
Nikipata nauli, nitarudi mjini.
Sisi waunguja tunajuana kwa madevu yetu bana...........!!!naona mmegeuza hiki kijiwe cha salamu haya endelea kutuma salamu za ugua pole kwa wote