Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,355
- 2,739
Mie sina..............neno.
G-MWALONGO , nashukuru kwa acknowledgement zako... Naona wewe ni mupya kabisa hapa Jf... Karibu sana. Hapa kuna kila kitu... Mapenzi, Siasa, Makuli, Michezo, Dini, na Wakenya... Yaani ushindwe wewe tu! Mie nipo sana pande hizi.. Mahusiano, mapenzi, urafikiUme tisha sister,kwani uko pande z
Sikonge nashukuru kwa kunifumbua macho... Niliipensa sana hii pic siku nimeona. Ila sikujua kuwa ni akina nani nje ya Jf, mie nilikua tu ni Katavi na Erickb baasi ikatosha... Lol.Hahahaa, hii habari ilinipita kushoto na sikubahatisha kuiona hadi leo hii.
Nilikuwa sijui Katavi na Erickb52 ni MTU na Baba yake, loohhhh.
Huyu Mzee kulia ndiyo anajiita Mzee wa "Sweet Sweetback's Baadasssss" sikujua kumbe ni Mtanzania. Heshima sana kwa mtu na mwanaye ingawa siku nyingi simuoni mwanae mitaani zaidi ya hapa JF.
Wee mdada nakukubali na kukupenda sana..Waleykum Salaam... Inshaallah kwa dua hio ya kusoma kabla ya kulala, nami naisoma sasa na hatimae kupumzika na kukuaga kwa kuacha picha yako pia.. Wabilah Tawfiq...
![]()