Hi Dears...
Nikiwa in one of those days usingizi umeenda kwao na my fellow members siwaoni jukwaani nimeona nifanye upekenyuzi. hahaha Kumbe kila member ambaye ni JF ana picha hapa jukwaani ya ukweli na halisi kabisa... Nimeenda kufukunyua picha zote na kuzileta hapa! lol,
Anaetufungulia ni Mwali...
Update:
AshaDii: In my own courtesy (Roulette) alter utajibeba nimeweka picha yako na wewe!
Mi nilidhani utaanza na picha yako mwenyewe AshaDiiHi Dears...
Nikiwa in one of those days usingizi umeenda kwao na my fellow members siwaoni jukwaani nimeona nifanye upekenyuzi. hahaha Kumbe kila member ambaye ni JF ana picha hapa jukwaani ya ukweli na halisi kabisa... Nimeenda kufukunyua picha zote na kuzileta hapa! lol,
Anaetufungulia ni Mwali...
Masikini Roulette, nilikuonya kuwa kazi ya ushauri nasaha ni pasua kichwa, vijana wa siku hizi badala ya kusikiliza wanashauriwa nini wao humtongoza mtoa ushauri nasaha... Kazi unayo, mie simo.......LOL
Roulette Dearest... You have made my day... Nimecheka vibaya mno.. Dah! Did not expect this... hahaha!
[
hahahaha! halafu mtani wee mchokozi sana aisee, hahahahaha............Umeona eeh?Huyo Roulette!mmmh!
Hizo chuchu za Keren :becky:
Ooh me Oooh my! AshaDii I love this!I laughed my lungs out! Una visa bibi weye.
nimeupenda huu uzi......hizi picha zimeendana na jinsi ninavyodhani baadhi ya members walivyo....ha ha ha.....nzuri sana......
I am humbled... Ukiwaona akina Boflo, Elia, Escobar, Smiling Saint, njiwa, ndyoko, jouneGwalu, Nzi, Bishop Hiluka, The Priest (toka kulia) na Pdidy (huyo dogo hapo chini) waambie natuma salamu za dhati na kuwa picha yao nimetunza vizuri... lol
Hahahahah yaani nimetupia T-shirt nyekundu..AshaDii umeitoa wapi hii tulipida 80'sDah! ndio mana kanuna? nimechanganya na ile ambayo haipo konfidesho... lol.. Hizo nyonyo ziache hivo hivo, akikusikia klorokwini mnaweza kosana kabisa... hahaha.. As usual nimefurahi kukuona shemeji yangu, hopefully karibu utatutembelea na familia yako... lol
Hawa watu umewaona wapi?
Mwanajamione, Nyamayao, Maty, DaMie, Smiles, carmel, daughter na Mayasa... kama una habari nae yeyote hapo tafadhali waambie ninawatafuta naoza binti nahitaji msaada wao... lol Hapo tayari nisha onana nao kama Remmy, Yummy, charminglady, feis buku na Gaga (aliegeukie kule kavaa koti lekundu)
Nimefurahi umefurahi kaka DC... Na hilo la plus one wangu inabidi nitafute suluhisho... lol
Mzee wangu mbona unanitafutia case? Tena kaka Paw ana hasira za karibu kweli kweli! lol, yeye mwanaume bana hebu kacheki ile picha vizuri.... hahaha! Nimekuwekea na hii hapa alipiga na kakangu mwingine Steve Dii
Hapana Fidel nilikuwa kwa bed tu... mzima wewe? Unamfahamu zumbemkuu na Daudi mchambuzi? (hapo wakiwa na Consigliere ambae ni mzungu)
I am humbled... Ukiwaona akina Boflo, Elia, Escobar, Smiling Saint, njiwa, ndyoko, jouneGwalu, Nzi, Bishop Hiluka, The Priest (toka kulia) na Pdidy (huyo dogo hapo chini) waambie natuma salamu za dhati na kuwa picha yao nimetunza vizuri... lol