Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,368
Last edited by a moderator:
jamani mbona wanionea mwenzio? jana ilikuwa zamu yangu nilikuwa najinafasi si wajua ukipanga nyumba ya mganga lazima unuke uvumba??
jamani mbona wanionea mwenzio? jana ilikuwa zamu yangu nilikuwa najinafasi si wajua ukipanga nyumba ya mganga lazima unuke uvumba??
Hizo chuchu za Keren :becky:
nimeupenda huu uzi......hizi picha zimeendana na jinsi ninavyodhani baadhi ya members walivyo....ha ha ha.....nzuri sana......
Hizo chuchu za Keren :becky:
Hi Dears...
Nikiwa in one of those days usingizi umeenda kwao na my fellow members siwaoni jukwaani nimeona nifanye upekenyuzi. hahaha Kumbe kila member ambaye ni JF ana picha hapa jukwaani ya ukweli na halisi kabisa... Nimeenda kufukunyua picha zote na kuzileta hapa! lol,
Anaetufungulia ni Mwali...
AshaDii unantafutia kesi sasa.
Hahaha! Poleee Kiranga kumbe ilikuwa siri? are you cheating? :dance:
Hebu wacheki hawa pozi yao... Kama vile hawajawahi piga picha au camera itawameza.... lol
Toka kushoto, Tbag Hatari, kiluwiluwi, Ndinani, Yegomasika, Philipo na KakaKiiza (eti hupigi picha mtandaoni.. Hii umeisahau? Pole weee! hahaha)
Najua ulipoipata hii picha, umeikwapua kule kwenye blog yangu........LOL
Hapo, nilikuwa nashangaa Rejao kanipunja mahari ya mwanangu Cantalisia