JF imefunguliwa(?) Naipata bila VPN

JF imefunguliwa(?) Naipata bila VPN

BWANA YESU ASIFIWE WATU WA MUNGU..... 🙏KUAMSHWA SAA 9 USIKU KUOMBA🙏

Kwa wanaohitaji kuamshwa kuomba 🧡

Kwa wenye Udhuru (hutopigiwa simu kabisa)🤎

Kwa watakaopata neema ya kuamka mwenyewe kuomba💜

Mpendwa wangu utasema wewe upo kundi lipi? nimefanya hivi ili kuokoa muda kwenye upigaji simu naweza kumwacha mwenye uhitaji ok Google sana wa kuamshwa kuomba nikampigia asiye na uhitaji kwa siku husika.

HAKIKISHA NAMBA UNAYOWEKA HAPA INAPATIKANA HEWANI✅

KUTOKANA NA WATU KUWA WENGI BASI ATAKAYE SEMA AAMSHWE NDIYE ATAKAYEPIGIWA SIMU, KWA WALIOKAA KIMYA TUOMBE NEEMA YA MUNGU IPITE KWAKO ✅

HAKIKISHA UKIAMSHWA UNAAMKA KUOMBA, ONYESHA UTII NA UAMINIFU MBELE ZA MUNGU✅
All
 
MAMBO 5 YA KUZINGATIA UKIWA KATIKA IBADA

𝙔𝙊𝙃𝘼𝙉𝘼 4:24

ili isiwe tukio la kawaida Ibada bali iwe ni kukutana halisi na Mungu.

1️⃣ ANDAA MOYO WAKO

Usiingie ibadani kama umeingia sokoni.
Jiandae kwa:

✓Toba

✓Msamaha

✓Kutuliza mawazo

Katika Kitabu cha Mhubiri 5:1 Biblia inasema Linda mguu wako uingiapo nyumbani mwa Mungu.

✓Maana yake ingia kwa heshima na umakini.

2️⃣ KUWA NA UMOJA WA MOYO (FOCUS)

Epuka

✓Simu kukuvuruga

✓Mazungumzo yasiyo ya lazima

✓Mawazo yanayokutawanya

Katika Zaburi 46:10
Nyamazeni, mjue ya kuwa Mimi ni Mungu.

✓Utulivu huleta ufunuo.

3️⃣ SHIRIKI KWA ROHO NA KWELI

✓Usiwe mtazamaji

✓Imba kwa moyo

✓Sikiliza Neno kwa makini

✓Jibu Amina kwa ufahamu na Kwa Upole

Kama ilivyoandikwa katika Injili ya Yohana 4:24 Wamwabuduo imempasa kumwabudu katika roho na kweli.

Ibada si burudani, ni ushirika na Mungu.

4️⃣ HESHIMU UWEPO WA MUNGU

Kumbuka uko mbele za Mfalme wa wafalme.
Epuka

✓Kicheko cha mzaha

✓Kutoka nje bila sababu

✓Kukosa adabu

✓Uwepo wa Mungu hauonekani kwa macho lakini unahisiwa rohoni.

5️⃣ POKEA NA WEKA KATIKA MATENDO

✓Usiishie kusikia tu

✓Andika mambo muhimu

✓Tafakari baada ya ibada

✓Tekeleza ulichofundishwa

Katika Waraka wa Yakobo 1:22
Kuweni watendaji wa neno wala si wasikiaji tu.

Ibada ya kweli huonekana kwenye maisha baada ya ibada.

𝗡𝗶𝗸𝘂𝘁𝗮𝗸𝗶𝗲 𝗜𝗯𝗮𝗱𝗮 𝗻𝗷𝗲𝗺𝗮 𝗠𝘁𝗲𝘂𝗹𝗲 𝘄𝗮 𝗕𝘄𝗮𝗻𝗮
 
JF haikufungiwa sababu ya matusi , bali kuanika ufisadi katika mgodi wa makaa ya mawe , tuweke rekodi sawa.

Matusi yapo kila mahali, huwezi zuia matusi mahali penye mikusanyiko maana tunakutana watu wa aina tofauti, kuanzia makuzi hata exposure.
Hata Samia mwenyewe ni mtukanaji mzuri tu na pia ni mbwatukaji mbobevu.
 
MAMBO 5 YA KUZINGATIA UKIWA KATIKA IBADA

𝙔𝙊𝙃𝘼𝙉𝘼 4:24

ili isiwe tukio la kawaida Ibada bali iwe ni kukutana halisi na Mungu.

1️⃣ ANDAA MOYO WAKO

Usiingie ibadani kama umeingia sokoni.
Jiandae kwa:

✓Toba

✓Msamaha

✓Kutuliza mawazo

Katika Kitabu cha Mhubiri 5:1 Biblia inasema Linda mguu wako uingiapo nyumbani mwa Mungu.

✓Maana yake ingia kwa heshima na umakini.

2️⃣ KUWA NA UMOJA WA MOYO (FOCUS)

Epuka

✓Simu kukuvuruga

✓Mazungumzo yasiyo ya lazima

✓Mawazo yanayokutawanya

Katika Zaburi 46:10
Nyamazeni, mjue ya kuwa Mimi ni Mungu.

✓Utulivu huleta ufunuo.

3️⃣ SHIRIKI KWA ROHO NA KWELI

✓Usiwe mtazamaji

✓Imba kwa moyo

✓Sikiliza Neno kwa makini

✓Jibu Amina kwa ufahamu na Kwa Upole

Kama ilivyoandikwa katika Injili ya Yohana 4:24 Wamwabuduo imempasa kumwabudu katika roho na kweli.

Ibada si burudani, ni ushirika na Mungu.

4️⃣ HESHIMU UWEPO WA MUNGU

Kumbuka uko mbele za Mfalme wa wafalme.
Epuka

✓Kicheko cha mzaha

✓Kutoka nje bila sababu

✓Kukosa adabu

✓Uwepo wa Mungu hauonekani kwa macho lakini unahisiwa rohoni.

5️⃣ POKEA NA WEKA KATIKA MATENDO

✓Usiishie kusikia tu

✓Andika mambo muhimu

✓Tafakari baada ya ibada

✓Tekeleza ulichofundishwa

Katika Waraka wa Yakobo 1:22
Kuweni watendaji wa neno wala si wasikiaji tu.

Ibada ya kweli huonekana kwenye maisha baada ya ibada.

𝗡𝗶𝗸𝘂𝘁𝗮𝗸𝗶𝗲 𝗜𝗯𝗮𝗱𝗮 𝗻𝗷𝗲𝗺𝗮 𝗠𝘁𝗲𝘂𝗹𝗲 𝘄𝗮 𝗕𝘄𝗮𝗻𝗮
Hivi ni kweli ulimpaka futa Diamond 🔹 au uzushi tu?
 
Mtoa mada taarifa za kufunguliwa jf umezitoa wapi? Maana huwa wenye platform wanatoa taarifa in case kuna habari mpya. Sasa umetoa wapi hii taarifa wakati wengi bado tunaingia jf kwa kutumia virtual network?
 
Mtoa mada taarifa za kufunguliwa jf umezitoa wapi? Maana huwa wenye platform wanatoa taarifa in case kuna habari mpya. Sasa umetoa wapi hii taarifa wakati wengi bado tunaingia jf kwa kutumia virtual network?
Huyu ni mzushi kama wazushi wengine tu apuuzwe
 
Bado wameishikilia... Bila kusafiri JF huwezi ipata.
 
Haijafunguliwa, nadhani wamejisahau tu. Baada ya muda mfupi lazima utumie VPN tena kuingia.

Matusi humu ni machache, kisichotakiwa na serekali ni ukweli.

Jukwaa hili halikufungwa kwa sababu ya matusi, bali ni kwa kuongea ukweli usioipendeza Serikali.
Kweli nimeona iko FREE tena bila VPN.
 
Haijafunguliwa.

Saazingine huwa app inamissbihave inaachia na baadaye kujifunga tena.

Emb rudi nyuma uone kama utaweza kuingia bila Vpn mkuu.
Operamin ashukhuliwe sana ameshindikana hata wafanyaje Operamin hataki kufungwa
 
Mtoa mada taarifa za kufunguliwa jf umezitoa wapi? Maana huwa wenye platform wanatoa taarifa in case kuna habari mpya. Sasa umetoa wapi hii taarifa wakati wengi bado tunaingia jf kwa kutumia virtual network?
Huyu mtoa mada anapenda sana kujipa ego anasahau kuwa ego is the enemy anadai eti tulikuwa tunatukana wakati majamaa yakikosolewa ndio yanazima jf yetu huyu jamaa miyeyusho sana aisee
 
mmeanza unoko sasa ili serikali wastuke wairudishe kifungoni,mambo kimya kimya vijana hamuwezi kukaa na vitu kifuani
 
Back
Top Bottom