Tindo
Platinum Member
- Sep 28, 2011
- 69,571
- 123,044
Anayezushiwa aende mahakamani. Check na Mafwele mwambie mahakama iko wazi siku za kazi, akafile tatizo lake huko.Ni tatizo kumzushia mtu Jambo la uongo.
Anayezushiwa aende mahakamani. Check na Mafwele mwambie mahakama iko wazi siku za kazi, akafile tatizo lake huko.Ni tatizo kumzushia mtu Jambo la uongo.
Opera haitumii Vpn siku zote.
Tatizo la VPN ni jf kukosa mapato kupitia matangazo.Tushazoea kutumia VPN waifungie tu..!!
Kabisaa 📍📍🔨Haijafunguliwa, nadhani wamejisahau tu. Baada ya muda mfupi lazima utumie VPN tena kuingia. Matusi humu ni machache, kisichotakiwa na serekali ni ukweli. Jukwaa hili halikufingwa kwa sababu ya matusi, bali ni kwa kuongea ukweli usioipendeza serekali.
Anayezushiwa aende mahakamani. Check na Mafwele mwambie mahakama iko wazi siku za kazi, akafile tatizo lake huko.
Ndio kazushiwa kuwa kaliwa jicho mkuu wangu.Hahaha! Sasa mafwele ameingiaje tena🤓🤓
Kumzushia MTU Jambo hata bila kwenda mahakamani sio Jambo la kiungwana.
Najua unajua ila unataka kuleta ukorofi
Nimeandika na kufuta mara nyingi itoshe kusema Jf ya VPN ilikuwa inanoga zaidi.
Ndio kazushiwa kuwa kaliwa jicho mkuu wangu.
🤣🤣🤣🤣🤣
Walijua tutawasujudia?Acha ujeuri mrembo. Ngoja nimuite Evelyn Salt
Walijua tutawasujudia?
Waifunge bhana weeeh..!!
Kazi kutisha na kuteka watu, yakiambiwa ukweli yanakimbilia kufungia platform za wananchi wanaowakosoa..!!
sijaelewa swali lako! Tumia kiswahili english sielewi.Kivipi? Toa hoja yako. Au ulikuwa unapenda kuwa restricted alafu ukatumia manuva au njia za panya
Matangazo bora kuliko uhai wao?Tatizo la VPN ni jf kukosa mapato kupitia matangazo
sijaelewa swali lako! Tumia kiswahili english sielewi.
Matangazo bora kuliko uhai wao?
Si walimtisha Melo kumuua hao?!
Sio kama..Inaumiza Sana. Kuna wakati wakina kiranga unaweza kuona wapo sahihi
Matangazo si ndio yanalipia gharama za uendeshaji wa jukwaa na kulipa mishahara ya wafanyakazi boss?Matangazo bora kuliko uhai wao?
Si walimtisha Melo kumuua hao?!
Opera ina buit in VpnUnamaana gani?
Mimi nimekutajia njia ninayoutumia kuingia humu ndio nikataja hizo web browser mbili.
Chrome na Opera zina built in Vpn ndiyo maana unaingia bila 'hodi'.Unamaana gani?
Mimi nimekutajia njia ninayoutumia kuingia humu ndio nikataja hizo web browser mbili.