Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,950
Basi wakubali kutii maagizo watakayopewa.Matangazo si ndio yanalipia gharama za uendeshaji wa jukwaa na kulipa mishahara ya wafanyakazi boss?
Wasifikiri wamefunguliwa kwamba wanapendwa..!!
Kuna kitu wanakitaka, wajiandae kuvamiwa tena na kuombwa Ids za member..