Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,838
- 37,523
- Thread starter
- #21
Madame B mzima weye.
Nidadafulie ni yepi yaliongelewa,
ile siku nilikaa nje hivyo sikuingia ukumbini,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
but next time Mungu akipenda i should attend,
I am sure nitakuwa niko poa wakati huo.
Mimi mzima kbs mpendwa.
Bwana Yesu Asifiwe.
Ni kwamba Maxence Melo alitupa wazo fulani hivi,sasa ndo tunataka tukutane ili tulijadili.
NitakuPM hilo wazo lenyewe.
Wasije Arusha-Wing wakatupokonya mawazo yetu.
CC: Shem Filipo, Switii Arushaone, Chama mwenzangu LiverpoolFC,
Mke mwenza Blaki Womani,
Wifi marejesho, Kaka Mungi,
Kaka-binamu Erickb52,
Shosti Preta na
Mke wa Mpendwa Lily Flower.
Last edited by a moderator: