Kipaji Halisi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 2,280
- 1,364
dah! usiseme jamani shulen kwangu nina four na zero tu.
kiukweli ninahasira yenye uchungu sana moyoni mwangu.
hawa watoto wanapiga kelele sana sitaki usumbufu kwa sasa.
Mpendwa mke mwenza lile desa letu umepoteza kama hulioni uje nikupatie lingine katibu Mzee wa Rula anacopy kibao
Nini tena Blaki Womani ?
Hivi wupo humuhumu????
Afu yfu nimekaa nakuangalia tu ujue. . . . nikisimama. . .!
ila wazazi wamezoea sana matokeo hayo.... pakiwa na 1 au 2 watu huwa wanashangaa sana
unaniangalia nini.......kwani umekaa
jamani mtoto wa bamkubwa siku hizi sikuoni kabisa nini shida?? namuona huyu wa bamdogo yeye anakazi ya kunitania tu hapa
Hapa tunadiskasheni gani
Niko kwen maombolezo ya form four results
Hiyo summary mnayotaka mbona hapa watu watakimbiana??maana mhmmm:shut-mouth:Labda!!!Labda muhainishe summary inayotakiwa maana nilichokiona ni kujuana>> na kubadirshana>>nambaza simu>>na mwisho................kesho kwenye sled!!Nakubaliana na gfsonwin iwekwe summary ya yaliyojiri na yaliyokuwa yanahitaji utekelezaji
Ha ha haaaa KakaKiiza mkodobwe unakuhusu. wapi Zinduna ???.Hiyo summary mnayotaka mbona hapa watu watakimbiana??maana mhmmm:shut-mouth:Labda!!!Labda muhainishe summary inayotakiwa maana nilichokiona ni kujuana>> na kubadirshana>>nambaza simu>>na mwisho................kesho kwenye sled!!
CC: Madame B, Paloma, kipaji halisi, amu, Kaizer, Jiwe Linaloishi, Zion Daughter, bazazi Asprin, Superman, chamminglady, Mtambuzi, watu8, Ruttashobolwa, cacico,