Jeshi la Polisi: Hakuna ushahidi kuwa Freeman Mbowe alishambuliwa. Alikuwa ametoka kwa Joyce Mukya. Alikuwa amelewa chakari

Umeshaambiwa, leo lilikua kumkomoa ili asifanye kampeni.


Mpaka ushikiwe fimbo ndo uelewe?
Ni rahisi sana kuwabana hawa mataga kwasababu ni washamba sana na pia wana ujinga mwingi kishenzi kutokana na mambo wanayofanya ya kujenga ufalme wa chattle. Ni aibu na ujinga kwa watanzania wengine kuungana na washamba wa chattle bila kujua mnafanya nini.
 
kama kigezo ni kutokuguswa sura Lissu naye hakushambuliwa sio??
maana sura yake haikuguswa pia... ZERO BRAIN
 
Umeshaambiwa, leo lilikua kumkomoa ili asifanye kampeni.


Mpaka ushikiwe fimbo ndo uelewe?
Tatizo hata huo mguu ripoti ya daktari inaonesha hajavunjika wala kuteguka ni maumivu ya kawaida sababu ya hali alokuwa nayo kwa bahati mbaya akaukanyagia vibaya, kwa nini watuigizie na kutuchafua sisi kama Taifa!?
 
Mbowe amechanganyikiwa kisiasa, Mbowe anahaha, kinachotokea hakukitegemea

Kwa ukubwa wa Chadema hakuwa wa kutafuta kiki dhaifu hizi

Kisiasa Mbowe ni kama mstaafu ambaye hakujiandaa kimaisha, na pensheni ikaisha sasa anapuyanga tu
 
Wajinga ni wale wanao pumbazwa kipumbavu, eti kashambuliwa kisiasa! Ha ha ha ha endeleeni kuwa vibaraka wa Ulaya, siye wazalendo tutapambana.
 
Wajinga ni wale wanao pumbazwa kipumbavu, eti kashambuliwa kisiasa! Ha ha ha ha endeleeni kuwa vibaraka wa Ulaya, siye wazalendo tutapambana.
Uzalendo wa kuua wanasiasa na kuficha takwimu za magonjwa na matumizi ya fedha za umma kwenye miradi binafsi.
 
Ha ha ha ha!!! Niliambiwa na nani, Mbowe bila shahidi? Kweli wakudanganywa wapo.
Mbowe na viongozi wake, pamoja na wa upinzani, wanavyopenda kukuza mambo, hata dogo, kwa kuita waandishi wa habari ili dunia yote ijue, ashambuliwe na akae kimya, haiwezekani

Ingekuwa ameshambuliwa kweli asingekwenda kwa matibabu kisiri hata mwanae na majirani wasijue.

Fumbo mfumbie mjinga.
 
Mshamaliza taarifa ya nini sasa? Ila Kuna siku tutakayotaman kurudia nyakati hizi za utii wa wananchi itakua too late.
Hapo unajidanganya sana hakuna mwananchi ataunga mkono upuuzi km huo. Kwanza kwanini hamkumpa ulinzi wa masaa 24?Au mnamuaacha uzembe maksudi mnasubiria ili likitokea la kutokea muanze kuikashifu SERIKALI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jeshi la polisi ni chaka la wanyanga'anyi,wauaji,wachawi nk. sisiemu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…