jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,362
Mkuu endelea kutoa elimu watakuelewa tu hawa bavicha wamezoea kila kitu kudanganya wakati tukio lilikuwa wazi halafu wao wameligeuza eti kaanguza hawa madogo siasa za kilaghai zimewaharibu sana mkuu.
wewe mama huku uvccm wametukatia umeme, kwa hasira walizonisababishia kwa kukata umeme sitampa kura mgombea yeyote wa ccm kwa ngazi yoyote.