Mkuu ninasema nilichpona kwa macho, ngoma alikua akiimbisha akiwa jukwaani, wakakatiza akaonekana yuko chini anagalagala na vumbi na hata body language inaonesha kwamba kwa tukio la pili haikua ngoma tena, nina wasiwasi kama wewe ndiye mbeya unatetea usichojua
Mkuu kila mtu kaona siyo kuona tu pia nimesikia na nimeongea na mhagama kumpongeza kucheza ngoma ya jadi pamoja na watu wake na yeye ndiye aliyefungaa kucheza hiyo ngoma tatizo lenu bavicha mmezoea uongo kama mzee slaa.Mkuu ninasema nilichpona kwa macho, ngoma alikua akiimbisha akiwa jukwaani, wakakatiza akaonekana yuko chini anagalagala na vumbi na hata body language inaonesha kwamba kwa tukio la pili haikua ngoma tena, nina wasiwasi kama wewe ndiye mbeya unatetea usichojua
hawatiii mguuu kwenye huu uzi
...inamaana mwenyekiti alikula cha mbavu pale mwanza na jangwani...CCM kwa kurogana ndo wenyewe,kapigwa kipapai
Haya ndiyo matatizo ya kuvutiabbangi chooni kila kitu kudanganya tu hata kama kipo wazi hakuna mbunge wa ccm hata mmoja mwenye kisukali kama wazee wenu wa cdm.kabla alionekana mwenye afya akiimbisha wana CCM wnezie na scene ya pili akaonekana yuko chini anagalagala
Mkuu katika wambea wewe wa kwanza kwa nini mnapenda kuongopa kweli bavicha ni janga sugu la wazawa .
mhagama alikuwa anacheza ngoma ya jadi ya mkoa huo huku akishangiliwa na mezaa kuu wewe unasema kaanguka kweli wewe kituko tangu mnyika awafundishe kusema uongo kila kitu mnadanganya na kugeuza mambo.
Mkuu kila mtu kaona siyo kuona tu pia nimesikia na nimeongea na mhagama kumpongeza kucheza ngoma ya jadi pamoja na watu wake na yeye ndiye aliyefungaa kucheza hiyo ngoma tatizo lenu bavicha mmezoea uongo kama mzee slaa.
Wewe kazi yako ukabila mijadala ya hoja huiwezi daima.Ungekua na neno CDM ungewaona kiongozi.
Inawezekana kweli hajaanguka,ni style tu ya kuomba kuraMkuu katika wambea wewe wa kwanza kwa nini mnapenda kuongopa kweli bavicha ni janga sugu la wazawa .
mhagama alikuwa anacheza ngoma ya jadi ya mkoa huo huku akishangiliwa na mezaa kuu wewe unasema kaanguka kweli wewe kituko tangu mnyika awafundishe kusema uongo kila kitu mnadanganya na kugeuza mambo.
Kwani kuna nini cha ajabu hapa mhagama alikuwa anacheza ngoma mbele ya mgeni rasmi ilipokuwa mezaa kuu halafu mwehu mwenzenu anawadanganya eti kaanguka bavicha ni janga sugu la wazawa.
Basi umeangalia kipande cha habari siyo habari huna lolote kwani nani kakwambia kuwa unachama unajibu maswali ambayo hujaulizwa ukiulizwa sijui utajibu nini.Mkuu sitaki kubishana na wewe kwa sababu unaeleweka humu, lakn mm sina chama chochote cha siasa. kwa leo nilikua mtazamaji wa habari tu na ndicho nilichoona, muhimu ni BODY LANGUAGE, unaeleza hadhira mbili tofauti, kama uliangalia, hadhira ya kwanza alioneshwa akicheza ngoma kisha akahutubia, wakati Mh Kinana anahutubia, ghafla ikatokea picha ya Mh akiwa chini, angalia utofauti, kwamba haiwezekani Kinana awe anahutubia halafu Mh anacheza ngoma, nadhani utaboshana hata kufa hata kama nasema ukweli, sitachangia tena hoja zako
Wanamuiga mwenyekiti wao kuanguka anguka
Huna cha kunipanikisha kwa umbea huu unaoweka ndiyo unipanikishe tangu lini tatizo lenu bavicha hata kama mkisema uongo mnataka kuachwa mueneze huo uongo kitu ambacho ni kupotosha jamii uongo fanyeni bavicha mkija huku mseme ukweli.hili ndilo tatizo la kukosa hoja, unaishia kupanic na kusema ovyo