Jenista Mhagama Aanguka

Jenista Mhagama Aanguka

Status
Not open for further replies.
Thanks, hujui unazungumza na nani na wala usitake kujua kuhusu hilo. Ila kamwe usijaribu kupotosha watu kwa manufaa yako binafsi.....period.
Unataka nikujue ili iweje mamtu mazembe kama wewe ndiyo yanapenda kusema hujuwi mimi nani mambo ya kishamba nayakizamani kweli kwani ukiwa mchawi mkuu ndiyo utaniroga au ukisema wewe nani ndiyo unitishe acha ushamba mkuu hakuna mtu wa kutishwa kwa maisha haya,eti hujui unazungumza na nani so what,ha ha ha ha ha ha!
 
Kwani kuna nini cha ajabu hapa mhagama alikuwa anacheza ngoma mbele ya mgeni rasmi ilipokuwa mezaa kuu halafu mwehu mwenzenu anawadanganya eti kaanguka bavicha ni janga sugu la wazawa.

ndugu zangu kwahili naungana na simiyu ni kwamba kwa tamaduni zetu ss wangoni kwa upande wa wanawake tunautamaduni wa kubiringita chini tukimsnisha furaha na shukrani za dhati na heshima kwa mgeni ama mtu flani muhimu.
 
Ngoma gani ya kujigaragaza mavumbini ? Kwani asingefanya hivyo asingejulikana kama yupo au mambo ya unyago ameamua kuonyesha hadharani? Kutaka ubunge kutawafanya wa onje hadi kinyesi tusubiri tu 2015 tutaona mengi
 
yapi?kwako ya maana tuanze na umeme au elimu au dawa hospitalini au barabara au posho?
Hujitambui huu siyo mjadala ulipo mezani soma tena post lengwa uje tena kila siku nawashauri acheni viroba vinawaharibu ona sasa unachanganya madesa.
 
ndugu zangu kwahili naungana na simiyu ni kwamba kwa tamaduni zetu ss wangoni kwa upande wa wanawake tunautamaduni wa kubiringita chini tukimsnisha furaha na shukrani za dhati na heshima kwa mgeni ama mtu flani muhimu.
Mkuu endelea kutoa elimu watakuelewa tu hawa bavicha wamezoea kila kitu kudanganya wakati tukio lilikuwa wazi halafu wao wameligeuza eti kaanguza hawa madogo siasa za kilaghai zimewaharibu sana mkuu.
 
Kwi! Kwi! Kwi! Kwi! Pendekezo - hizo namba zifikiriwe kuongezwa posho , angalau wafike kwenye rank kama za akina zemarcopolo .
Nishawambia andani pembasi mkuu mtatikiswa sana wala hamtaamini kitakachowakuta.
 
Amavubi mbona hatukuelewi? Afadhali umefuta
 
Last edited by a moderator:
Simiyu utatokwa na povu sana kutaka kutuaminisha kuwa jiwe ni mkate.kuimbisha gani kwa kugaragara chini na kama hujui ngoma za asili za songea ni mganda.wanacheza kwa ustadi na kwa utaalamu wa hali ya juu huku wakiwa wamevaa nguo nyeupe na kitambaa mkononi.je mhagama naye alikuwa kwa namna hiyo?
 
Unataka nikujue ili iweje mamtu mazembe kama wewe ndiyo yanapenda kusema hujuwi mimi nani mambo ya kishamba nayakizamani kweli kwani ukiwa mchawi mkuu ndiyo utaniroga au ukisema wewe nani ndiyo unitishe acha ushamba mkuu hakuna mtu wa kutishwa kwa maisha haya,eti hujui unazungumza na nani so what,ha ha ha ha ha ha!

Mbona unatetemeka dogo punguza presha na jifunze kua mkweli sio kila kitu kukanusha.
 
Ngoma ya kufurahia ubwabwa shurti ujigaragaze kwenye mavumbi.

Ngoma gani ya kujigaragaza mavumbini ? Kwani asingefanya hivyo asingejulikana kama yupo au mambo ya unyago ameamua kuonyesha hadharani? Kutaka ubunge kutawafanya wa onje hadi kinyesi tusubiri tu 2015 tutaona mengi
 
Unataka tuwe tunatoa matamko kila siku kama chadema hata nyumba ya jilani wakigomabana wao wanatoa tamko,kadima bana.

Matamko ndio yaliofanya watanzan4a wakaweza kujitambua kwamba wananyonywa na wakoloni weusi ccm. Matamko ndio yaliofanya umma ukatambua jangili mkuu ni Kinana mzee wa Tembo
 
maandishi ya simiyu yetu ni kama harufu ya msalani tena choo cha shimo.
 
Simiyu utatokwa na povu sana kutaka kutuaminisha kuwa jiwe ni mkate.alafu kila kitu kilichokinyume na mtazamo wako ni bavicha inawezekana bavicha ni mwiba sana kwako maana hakuna post yako usiweze kuitaja bavicha/mnyika/mbowe/dr.slaa!. Kuimbisha gani kwa kugaragara chini na kama hujui ngoma za asili za songea ni mganda.wanacheza kwa ustadi na kwa utaalamu wa hali ya juu huku wakiwa wamevaa nguo nyeupe na kitambaa mkononi.je mhagama naye alikuwa kwa namna hiyo?au ndo umeamua kutetea kibarua?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom