Jenista Mhagama Aanguka

Jenista Mhagama Aanguka

Status
Not open for further replies.
Mimi nilikuwa haop, ni kweli dada yetu alianguka, sasa kama ilikuwa ni ngoma au ni kweli ulikuwa mweleka kama ile mieleka ya brother kma kawaida ya kampeni zetu kwa kweli sijui lakini kuanguka alianguka.

Mtumie Simiyu yetu
 
1476237_511288835636822_1453776274_n.jpg

AKICHEZA

Kama hii ni ngoma, basi nimeipenda sana style yake ya kulala mchangani
 
Huna cha kunipanikisha kwa umbea huu unaoweka ndiyo unipanikishe tangu lini tatizo lenu bavicha hata kama mkisema uongo mnataka kuachwa mueneze huo uongo kitu ambacho ni kupotosha jamii uongo fanyeni bavicha mkija huku mseme ukweli.

Simiyu Yetu,

Wewe ni gamba sugu lisilosikia hata shoka! Kwanini unaweweseka? Kama Jenista Kaanguka cha ajabu nini? Watanzania wanajua mizee ya CCM kuanzia Ikulu,Bungeni na Vijijini ni majanga matupu. Kama Jakaya kiwete ameshaanguka mara mbili cha ajabu nini kwa Jenista kuanguka?Mbona ni ugonjwa wa kawaida kwa Magamba na Majambazi wa CCM?

Unaweweseka na CDM bure mazee. Tuambie ni kiongozi gani wa CDM amewahi kuanguka jukwaani kwenye mkutano wa hadhara achilia mbali mjengoni. Utalijua jiji.

Ng'ombe majani waheed!
 
kama ni ngoma basi sio tu kulala, inaonekana unatakiwa ugalagae chini, hao mbona wamestahere kabisa, ungemuona mh jinsi alivyobilingita

huwa wanatakiwa kubiringita mara mbili tatu hivi halafu wananyanyuka.
mara nyingi ngoma hiyo huchezwa kwenye harusi za kingoni
 
Hapo Kwenye red: Au ni matumizi ya pumba mkuu? Si unajua tena zile pumba kwa kunenepesha ni balaa ndiyo maana wafugaji wa kuku wa kisasa wameamua kukuzia kuku wao.

Hatare kwa watu wanaopenda kula vitu vilivyojazia neema za Alah nyingine sio neema za Alah...... bali ni ufundi wa binadamu katika kuficha mambo..... kazi kwa wanaopenda za hivyo.....mh....tumekwisha
 
Mkuu kila mtu kaona siyo kuona tu pia nimesikia na nimeongea na mhagama kumpongeza kucheza ngoma ya jadi pamoja na watu wake na yeye ndiye aliyefungaa kucheza hiyo ngoma tatizo lenu bavicha mmezoea uongo kama mzee slaa.

Unapongeza mapepo? Walioshuhudia tukio wanasema kaangushwa na mashetani, wewe unampongeza. Una akili kweli?
 
Mkuu katika wambea wewe wa kwanza kwa nini mnapenda kuongopa kweli bavicha ni janga sugu la wazawa .

mhagama alikuwa anacheza ngoma ya jadi ya mkoa huo huku akishangiliwa na mezaa kuu wewe unasema kaanguka kweli wewe kituko tangu mnyika awafundishe kusema uongo kila kitu mnadanganya na kugeuza mambo.

kumbe mtu akianguka usemi bora Siku hizi ni Kuwa alikuiwa anacheza ngoma.
 
Simiyu Yetu,

Wewe ni gamba sugu lisilosikia hata shoka! Kwanini unaweweseka? Kama Jenista Kaanguka cha ajabu nini? Watanzania wanajua mizee ya CCM kuanzia Ikulu,Bungeni na Vijijini ni majanga matupu. Kama Jakaya kiwete ameshaanguka mara mbili cha ajabu nini kwa Jenista kuanguka?Mbona ni ugonjwa wa kawaida kwa Magamba na Majambazi wa CCM?

Unaweweseka na CDM bure mazee. Tuambie ni kiongozi gani wa CDM amewahi kuanguka jukwaani kwenye mkutano wa hadhara achilia mbali mjengoni. Utalijua jiji.

Ng'ombe majani waheed!

Hakuna; Babu tu ndio aliwahi kuanguka bafuni.
 
Wangoni huwa wanacheza ngoma halafu mizuka ikipanda wanagaagaa chini, so huenda alipandwa na mori
 
Hapo Kwenye red: Au ni matumizi ya pumba mkuu? Si unajua tena zile pumba kwa kunenepesha ni balaa ndiyo maana wafugaji wa kuku wa kisasa wameamua kukuzia kuku wao.

Sio pumba, ni mashudu...
 
Kama hii ni ngoma, basi nimeipenda sana style yake ya kulala mchangani
hiyo siyo ngoma, ni namna ya kutoa shukurani....
wangoni huwa wanaitumia sana hii kuonyesha shukrani zao. hata kwenye maharusi huwa wanafanya hivi. hata kama hapachezwi ngoma, baada ya kuongea jambo fulani lililowafurahisha huwa wanafanya hivyo
 
hiyo siyo ngoma, ni namna ya kutoa shukurani....
wangoni huwa wanaitumia sana hii kuonyesha shukrani zao. hata kwenye maharusi huwa wanafanya hivi. hata kama hapachezwi ngoma, baada ya kuongea jambo fulani lililowafurahisha huwa wanafanya hivyo
Na huyo sista mtawa nae ndio anataka kutumwagia radhi? Hicho kiremba kikianguka atasemaje? I'm sure Cardinal Pengo anatoka povu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom