Jenista Mhagama Aanguka

Jenista Mhagama Aanguka

Status
Not open for further replies.
Punde nilikua naangalia taarifa ya habari TBC, anaoneshwa Mbunge wa Peramiho baada ya kuhutubia akiwa anagagaa chini huku nguo zimetapakaa vumbi na nyasi, japokuwa wameonesha picha tu bila maelezo yummkini Mh huyu ameanguka kwa jinsi alivyoonekana kuchafuka chapa chepe na baada tu ya kugundua picha zinamchukua akatimua mbio

My take

TUTAANZA KUSIKIA HABARI ZA NDUMBA HAPA

TBC Taifa Taarifa ya Habari saa 2.00 usiku (20/11/2013)
Masikini Jenista wa Watu, ni mapepo tu. Amntafute mchungaji Gwajima amsaidie. Ukimwangalia usoni unaona mapepo, sijui hawa manabii wa siku hizi vipi?
 
Punde nilikua naangalia taarifa ya habari TBC, anaoneshwa Mbunge wa Peramiho baada ya kuhutubia akiwa anagagaa chini huku nguo zimetapakaa vumbi na nyasi, japokuwa wameonesha picha tu bila maelezo yummkini Mh huyu ameanguka kwa jinsi alivyoonekana kuchafuka chapa chepe na baada tu ya kugundua picha zinamchukua akatimua mbio

My take

TUTAANZA KUSIKIA HABARI ZA NDUMBA HAPA

TBC Taifa Taarifa ya Habari saa 2.00 usiku (20/11/2013)

So what? Sioni hoja ya maana hapa.
 
Jamani msameheni bure Mama Jenista Mhagama, hana mme huenda atakuwa alipa HYSTERIA/MNEPO.

Kinana alitakiwa kujiongeza mwenyewe.
 
Kugalagala ni moja ya staili ya kucheza wangoni.
Nilishuhudia kwe harusi, hata kuna siku Nape alishuhudia wanawake wakigalagala kihasarahasara mbele yake.
 
1476237_511288835636822_1453776274_n.jpg

AKICHEZA

Mwenye kanzu nyeusi mganga wake au?
 
sasa nani tumwamini hapo alokuwepo tukioni na aloona kwa runinga....mctuweke mabwege tafadhali...MTOTO WA NYOKA NI NYOKA tuuuuuuuu...:smile-big:
 
kwanini hukumkimbiza? yaani mama anakushinda! ah
 
Haya ndiyo matatizo ya kuvutiabbangi chooni kila kitu kudanganya tu hata kama kipo wazi hakuna mbunge wa ccm hata mmoja mwenye kisukali kama wazee wenu wa cdm.

Kuna Wenye ukimwi tuu...wcha uongo wabunge wengi wana magonjwa tena yasiyotibika tutaweka ripoti hapa
 
Punde nilikua naangalia taarifa ya habari TBC, anaoneshwa Mbunge wa Peramiho baada ya kuhutubia akiwa anagagaa chini huku nguo zimetapakaa vumbi na nyasi, japokuwa wameonesha picha tu bila maelezo yummkini Mh huyu ameanguka kwa jinsi alivyoonekana kuchafuka chapa chepe na baada tu ya kugundua picha zinamchukua akatimua mbio

My take

TUTAANZA KUSIKIA HABARI ZA NDUMBA HAPA

TBC Taifa Taarifa ya Habari saa 2.00 usiku (20/11/2013)
attachment.php
 
yule mama si hana mume? labda alikuwa nantafuta wa kumuonea huruma kutoka kundi la wageni. si unajua mzee wa tembo alikuwapo
 


Mimi huwa napenda kuangalia mbali zaidi ya urefu wa pua yangu.

Hivi huyu sister wa kikatoliki angeanguka na kugalagala mbele ya Dr. Slaa, katika mkutano wa CDM. Leo magazeti ya UHURU, JAMBO LEO, HABARI LEO yangeandika nini?

Mimi sio Sheikh Yahaya, lakini naombe GTs tujiulize ili, kubaini propoganda zinazopigwa na CCM kuhusu UDINI WA CDM!
 
Mhe. Mimi ni Mngoni 100%, na nimesoma darasa la kwanza mpaka la Saba huko, Kidato cha Kwanza mpaka Nne nimesoma huko pia, naomba utuambie ni ngoma gani Mkoa wa Ruvuma ikipigwa watu wanabilingika chini na kujipaka mavumbi?

Kwa ufupi, ngoma zetu ni hizi:

1. Mganda wa style 2, yaani Kimanda (huchezwa na sehemu kubwa ya watu tunaoishi Ziwa Nyasa na baadhi ya wamatengo) na Chinkachi (huchezwa na watu wa Milimani (Matengo) na baadhi ya sehemu kubwa za ungonini)..tunavaa nguo nyeupe kabisa. Mganda hata kama umenogewa namna gani..huwezi kujidondosha wala kuruhusu uchafu wa vumbi likupate kwani kufanya hivyo ni kuharibu jezi ya mganda.

2. Kihoda/ Chomanga; hizi ni ngoma za akina mama (smart and special ngoma) huchezwa kwa wakati maalum na ktk mazingira ya usafi pure....like mganda..hata kama umenogewa kupitiliza, you cant allow kuchafuka save for persons who are overwhelmed by hiyo ngoma which is very rare to happen.

3. Lindeku....ngoma hii huchezwa wakati wa sherehe kama vile harusi, kipaimara, n.k, pia hakuna kudondoka kwa minajiri ya kujikonga nyoyo. Wachezaji hawatakiwi kujiburuza chini ya ardhi hata kidogo save for persons who are overwhelmed by mapigo na utamu wa hiyo ngoma.

4. Ligambusa.....new item tangu miaka ya 2000, ngoma hii watu hucheza kwa stepu like in mganda, kioda/chihoda, hakuna kujidondosha hovyo kamwe save for persons who are overwhelmed by utamu wa hiyo ngoma which is very rare to happen.

5. Ling'oma is similar to mganda....

6. Nkeng'endu huchezwa over night...period.

7. Sindimba is similar to kioda/chomanga.

Hebu tusaidie, huyo Mama Mhagama alikuwa anacheza ngoma gani ya jadi ya Mkoa wa Ruvuma out of what i've listed hereinabove.

Usijipotoshe.



Umezungumzia ngoma za wilaya ya Mbinga zaidi, na labda Tunduru ambako sijawahi kufika. Ngoma kuu ya Wangoni ni Kitoto/Lizombe na vile vile kuna nyingine nadhani inaitwa Ligwamba. Wandendeule nao wan ngoma zao, hasa kwa wanawake.

Mimi sipendi kuzungumzia ngoma aliyocheza Mh. Jenista Mhagama. Hata hivyo siku hizi wanasiasa wetu huingia kucheza ngoma yeyote kama wanavyoingia kwenye nyumba za ibada zilizo tofauti na imani yao.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom