Mkuu katika wambea wewe wa kwanza kwa nini mnapenda kuongopa kweli bavicha ni janga sugu la wazawa .
mhagama alikuwa anacheza ngoma ya jadi ya mkoa huo huku akishangiliwa na mezaa kuu wewe unasema kaanguka kweli wewe kituko tangu mnyika awafundishe kusema uongo kila kitu mnadanganya na kugeuza mambo.
Mhe. Mimi ni Mngoni 100%, na nimesoma darasa la kwanza mpaka la Saba huko, Kidato cha Kwanza mpaka Nne nimesoma huko pia, naomba utuambie ni ngoma gani Mkoa wa Ruvuma ikipigwa watu wanabilingika chini na kujipaka mavumbi?
Kwa ufupi, ngoma zetu ni hizi:
1. Mganda wa style 2, yaani Kimanda (huchezwa na sehemu kubwa ya watu tunaoishi Ziwa Nyasa na baadhi ya wamatengo) na Chinkachi (huchezwa na watu wa Milimani (Matengo) na baadhi ya sehemu kubwa za ungonini)..tunavaa nguo nyeupe kabisa. Mganda hata kama umenogewa namna gani..huwezi kujidondosha wala kuruhusu uchafu wa vumbi likupate kwani kufanya hivyo ni kuharibu jezi ya mganda.
2. Kihoda/ Chomanga; hizi ni ngoma za akina mama (smart and special ngoma) huchezwa kwa wakati maalum na ktk mazingira ya usafi pure....like mganda..hata kama umenogewa kupitiliza, you cant allow kuchafuka save for persons who are overwhelmed by hiyo ngoma which is very rare to happen.
3. Lindeku....ngoma hii huchezwa wakati wa sherehe kama vile harusi, kipaimara, n.k, pia hakuna kudondoka kwa minajiri ya kujikonga nyoyo. Wachezaji hawatakiwi kujiburuza chini ya ardhi hata kidogo save for persons who are overwhelmed by mapigo na utamu wa hiyo ngoma.
4. Ligambusa.....new item tangu miaka ya 2000, ngoma hii watu hucheza kwa stepu like in mganda, kioda/chihoda, hakuna kujidondosha hovyo kamwe save for persons who are overwhelmed by utamu wa hiyo ngoma which is very rare to happen.
5. Ling'oma is similar to mganda....
6. Nkeng'endu huchezwa over night...period.
7. Sindimba is similar to kioda/chomanga.
Hebu tusaidie, huyo Mama Mhagama alikuwa anacheza ngoma gani ya jadi ya Mkoa wa Ruvuma out of what i've listed hereinabove.
Usijipotoshe.