Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
I'm still thinking.. I'm trying to pinpoint this "one thing"..
Swali la kutafakari wakati tukimsubiri Mwanakijiji aki-condense hicho kitu. Je uongozi ni wa kuzaliwa au kutengenezwa?
Nadhani muunganiko wa vyote viwili ndio huleta kiongozi bora. kwa kuzaliwa lazima awe na kipawa fulani na mvuto wa kuwa kiongozi, lakini pia inabidi kutengenezwa kwa kujibidisha kutafuta maarifa ili aweze kukabiliana na hali halisi ya mabadiliko ya mazingira na majukumu, na kuboresha hicho kipaji chake ili afanye vyema.
Swali la kutafakari wakati tukimsubiri Mwanakijiji aki-condense hicho kitu. Je uongozi ni sifa anayozaliwa nayo mtu au ni sifa inayotokana na uzoefu wa maisha?
Nadhani muunganiko wa vyote viwili ndio huleta kiongozi bora. kwa kuzaliwa lazima awe na kipawa fulani na mvuto wa kuwa kiongozi, lakini pia inabidi kutengenezwa kwa kujibidisha kutafuta maarifa ili aweze kukabiliana na hali halisi ya mabadiliko ya mazingira na majukumu, na kuboresha hicho kipaji chake ili afanye vyema.
Je ni vitu hivyo viwili tu au kuna zaidi? Kwa mfano, can someone choose to become a leader? Can leadership skills be learned?
Swali la kutafakari wakati tukimsubiri Mwanakijiji aki-condense hicho kitu. Je uongozi ni sifa anayozaliwa nayo mtu au ni sifa inayotokana na uzoefu wa maisha?
Kwa bahati mbaya, kiswahili kina upungufu kiasi kwa maneno ya utawala. Hivi, uongozi ni lipi kati ya haya - Leaders, Administrators, Managers, Commanders, Directors.
Je, nchi inahitaji yupi kwenye huo uongozi bora.
Je ni vitu hivyo viwili tu au kuna zaidi? Kwa mfano, can someone choose to become a leader? Can leadership skills be learned?
Jenerali Ulimwengu ameweka vyama vyote kwenye kapu ikiwemo vya upinzani kuwa havina falsafa wala itakadi:
http://www.raiamwema.co.tz/08/04/23/4.php
Hebu mlio karibu na Raia Mwema mumwambia asome hapa:
http://www.chadema.net/maoni/kijue.php
ili wiki ijayo aendelee kujadili kama CHADEMA nao hawana falsafa wala itikadi?
Asha
Nakubaliana na Ulimwengu juu ya hili kwamba vyama vyetu vyote haina itikadi
ambayo viko tayari kuitangaza na kuitekeleza.
Walichoandika na wanachoongelea ni vitu tofauti kabisa.
Inasikitisha kuona kwamba pamoja na CCM kuwa chini mno na kufilisika kiitikadi lakini vyama vingine vinashindwa kutumia nafasi hii kujijienga na kutangaza itikadi zao.