Ifikie wakati tuache kuona kila anachofanya Raisi ni msaada kwetu na si majukumu yake.
Hizi sifa za uongo zimekuwa nyingi mpaka kuondosha mantiki ya uhalisia wa utendaji wake.
Alichosema Jenerali Ulimwengu
"Mimi inanichosha kusikia sifa za rais kila dakika. Rais ni mtu mwema nadhani. Lakini sio lazima tukae tunamsifu! Tunamsifu!. Maana yake Mwisho kama hauna critical thinking juu ya mkuu wako na kila siku ni kumsifu. Naanza kuwa na shaka kwamba hata akikosea utamsifu tu. Na waswahili wanasema kufanya hivyo ni kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa au wanavyosema waswahili unamcheza shere"
Hizi sifa za uongo zimekuwa nyingi mpaka kuondosha mantiki ya uhalisia wa utendaji wake.
Alichosema Jenerali Ulimwengu
"Mimi inanichosha kusikia sifa za rais kila dakika. Rais ni mtu mwema nadhani. Lakini sio lazima tukae tunamsifu! Tunamsifu!. Maana yake Mwisho kama hauna critical thinking juu ya mkuu wako na kila siku ni kumsifu. Naanza kuwa na shaka kwamba hata akikosea utamsifu tu. Na waswahili wanasema kufanya hivyo ni kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa au wanavyosema waswahili unamcheza shere"