Jenerali Muhoozi Kainerugaba atembelea Shamba la Rais Paul Kagame na kupewa Zawadi ya Ng'ombe aina ya Inyambo

Kwanini katika majina yote matatu ya kijana wa museveni huwezi kukutana na majina ya baba yake yaani yoweri kaguta museveni?

Muhoozi Kainerugaba​

 
Hivi yule Ivan ataweza kweli?
Yuko jeshini tayari

1647406157151.png


Ashapelekwa Westpoint

1647406267805.png


Na ameanza kuteuliwa na nafasi mbalimbali

1647405848528.png


Ni suala la muda tu
 
Back
Top Bottom