NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,539
- 17,490
Inyambo!!??Mama tangu ni Mnyambo wa karagwe!!Sasa nitamuuliza kumbe wanyambo ni Mang'ombe !!?aiseh makabila haya!!!??
Kuanzia Brigadier General hadi General wote ni General officers na wanitwa General unless kuna haja kuweka distinction.
Mbinu za kivitaKwanini katika majina yote matatu ya kijana wa museveni huwezi kukutana na majina ya baba yake yaani yoweri kaguta museveni?
Muhoozi Kainerugaba
Hizo ng'ombe huenda zilifugwa na wanyambo na sio kuwa wao ndo mang'ombe. Kuna ng'ombe zinaitwa tarime kwahiyo unataka useme tarime hakuna watu Ni mang'ombe?Inyambo!!??Mama tangu ni Mnyambo wa karagwe!!Sasa nitamuuliza kumbe wanyambo ni Mang'ombe !!?aiseh makabila haya!!!??
Watashtakiwa kwa makosa ya uhaini 😂😂😂😂ivi kwa mfano Ng'ombe wakipandisha ukichaa wakavamia wapambe wa Rais na Rais mwenyewe inakuaje apo !!
Kama anatajwa kuwa ni kijana wa yoweri kuna mbinu gani hapoMbinu za kivita
Mkuu, unapewa zawadi ya ng'ombe aina ya inyambo, baadaye yeye anakuja kivingine kuchukua madini kwako ya gharama kubwa.Hii riwaya inatufundisha nini sisi "wanyonge" ambao mtetezi wetu alikufa tarehe 17/3?
NakaziaKuanzia Brigadier General hadi General wote ni General officers na wanitwa General unless kuna haja kuweka distinction.
ivi kwa mfano Ng'ombe wakipandisha ukichaa wakavamia wapambe wa Rais na Rais mwenyewe inakuaje apo !!
Kwanini katika majina yote matatu ya kijana wa museveni huwezi kukutana na majina ya baba yake yaani yoweri kaguta museveni?
Muhoozi Kainerugaba
Alikuwa mwizi mkuu,kumbukumbu ya kulazimisha na imepita bila wengine kujua,alikuwa shetani aliyenda kuona watu wakiteseka.Hii riwaya inatufundisha nini sisi "wanyonge" ambao mtetezi wetu alikufa tarehe 17/3?
Anaongoza malaika kama alivyoaguaAlikuwa mwizi mkuu,kumbukumbu ya kulazimisha na imepita bila wengine kujua,alikuwa shetani aliyenda kuona watu wakiteseka.
Yuko jeshini tayariHivi yule Ivan ataweza kweli?
Kwamba asiekuwa na chake hana maanaHii riwaya inatufundisha nini sisi "wanyonge" ambao mtetezi wetu alikufa tarehe 17/3?
Duuuh!Yuko jeshini tayari
View attachment 2152469
Ashapelekwa Westpoint
View attachment 2152471
Na ameanza kuteuliwa na nafasi mbalimbali
View attachment 2152462
Ni suala la muda tu
Mkufunzi wa niniKwa wale wasiofahamu Muhoozi alizaliwa Moshi wakati Baba yake akiwa mkufunzi ushirika
Huko sahihiWasukuma wanakaa wapi?