Muhoozi Kainerugaba (born 24 April 1974) is a Ugandan lieutenant general who serves as the commander of the land forces of the Uganda People's Defence Force (UPDF) and who was previously the commander of the Special Forces Command (SFC). Both the UPDF and the SFC are accused of using excessive force and abductions; Muhoozi and other senior officials are mentioned in an International Court of Justice complaint. In 2017 Muhoozi, the son of president Museveni, was appointed Presidential Adviser, fueling speculations he is being prepared for the presidency. He was reappointed as the Commander of the elite Special Forces Command (SFC) in December 2020. Lt. Gen. Muhoozi served in the same position from 2008 to 2017.
Uganda’s Chief of Defence Forces (CDF) and Chairman of the Patriotic League of Uganda (PLU), Gen Muhoozi Kainerugaba, has backed Deputy Speaker Thomas Tayebwa once again, in a dramatic twist within the ongoing battle for the leadership of the 12th Parliament, he has made this remark on his X...
Heshima sana wanajamvi,
General Muhoozi Kainerugaba CDF wa Uganda Army Forces na ndiye Rais wa mtarajiwa wa Uganda baada ya Baba yake kuitawala Uganda kwa zaidi ya miaka 40.
General Muhoozi amekuwa akitoa kauli za hovyo hovyo dhidi ya mataifa mengine ikiwemo Kenya na Uturiki.
Kauli zake kama...
The Chief of Defence Forces, Gen Muhoozi Kainerugaba, has appointed Col Deo Akiiki as Uganda’s new military attaché and defence advisor in Washington, D.C, replacing Col Peter Sonko Buwungo.
Col Akiiki brings a solid mix of operational and administrative experience to the role. Since February...
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda, Muhoozi Kainerugaba, amesema nchi hiyo ipo tayari kujiingiza katika mgogoro wa Mashariki ya Kati ikiwa kutakuwa na jaribio lolote la kuiangamiza Israel.
Kupitia mtandao wa Machi 25, 2026, Muhoozi alieleza wazi msimamo huo:
"Mazungumzo yoyote ya kuangamiza...
A Ugandan TikToker, Ibrahim Musana, has been charged with hate speech and unlawful access to personal data belonging to the first son and chief of defense forces (CDF), General Muhoozi Kainerugaba, following a video he posted on TikTok.
Musana, who operates online under the alias Pressure 24/7...
Mkuu usije ukadhani upo peke yako ambaye haufurahishwi na tabia za hao watu wanaojiona dunia ni ya kwao peke yao tu.
Angalau sasa tuna mtu ndani ya Afrika anayethubutu kuwapa 'shit' moja kwa moja. Kuna jasiri mmoja alijilipua juzijuzi hapa akawaambia 'who are you?, lakini wewe unakandamiza...
Gen. Muhoozi Kainerugaba CDF and son to President Yoweri Museveni threatens ICT and National guidance minister Chris Baryomunsi that he will never be minister again.
This tension resulted from a comment made by Chris Baryomunsi on a radio station claiming that Gen. Muhoozi’s tweets on X were...
Mkuu wa Majeshi wa Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, amemjibu tena Seneta wa Marekani Jim Risch kupitia mtandao wa X siku ya Jumanne, Februari 3, 2026, baada ya kuomba radhi hapo awali.
Mzozo huu wa maneno umeibuka kati ya Uganda na Marekani baada ya Muhoozi kuchapisha na baadaye kufuta...
Gen. Muhoozi Kainerugaba Ugandans army chief and son of President Museveni apologized to the United States after accusing them of plotting to smuggle opposition leader Bobi wine out of the country.
“I want to apologize to our great friends the United States for my earlier tweets that I have...
Mkuu wa Jeshi la Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba ameeleza kutoridhishwa kwake na namna Ujerumani ambayo inajulikana kuwa na watu warefu na kutuma Balozi mfupi nchini Uganda.
Balozi wa Ujerumani nchini Uganda, Mathias Schauer, amekuwa akitofautiana na mamlaka ya nchi hiyo kwa muda sasa kwa...
Jeshi la Uganda limetangaza kusimamisha ushirikiano wa kijeshi na Ujerumani, likimshutumu Balozi wa Ujerumani nchini humo, Matthias Schauer, kwa madai ya kuhusika katika vitendo vya uchochezi. Hatua hiyo imechukuliwa huku UPDF ikidai kuwa baadhi ya balozi kutoka Ulaya wamekuwa wakiunga mkono...
Angalia tamko lake la jana kuhusu sintofahamu ya M23 na DRC
Huyu ni mtoto wa Yower Museveni na ndiye CDF wa Uganda People Defence Force na Rais ajaye wa Uganda
Jenerali Muhoozi Kainerugaba, Mshauri Mkuu wa Rais wa Uganda kuhusu Operesheni Maalum, hivi karibuni alitangaza kuwa ofisi yake itaanza kufanya ukaguzi wa vyombo vyote vya habari nchini, kwa mujibu wa maelekezo ya Amiri Jeshi Mkuu, Rais Yoweri Museveni.
Muhoozi alisema kuwa wakurugenzi wakuu wa...
Mkuu wa Majeshi nchini Uganda (CDF), Jenerali Muhoozi Kainerugaba ambaye pia ni Mtoto wa Rais wa nchi hiyo Yoweri Museveni, amesema mtu pekee anayemzuia kumshughulikia Mwanasiasa mashuhuri wa Uganda ambaye pia ni Rais wa NUP, Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) ni Baba yake Rais Museveni ambapo...
Kwa sasa ndie Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda, mtoto wa kiume wa Jenerali Museveni. Mipango ikikamilika basi CDF Kainerugaba ataungana na Marais wenzake kuendelea Kula keki hapo Afrika Mashariki
General Muhoozi amejitoa kwenye kinyang'anyiro cha uRais wa Uganda na atamuunga mkono baba yake mzee Museveni
Muhoozi atajikita zaidi kwenye kujenga Jeshi la kisasa
Sabato Njema 🌹
==========...
Mtoto wa kiume wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni Muhoozi Kainerugaba alitangaza siku ya Alhamisi kwamba nchi yake itatuma wanajeshi kuilinda Moscow ikiwa itakabiliwa na vitisho.
"Niite 'Putinist' ukipenda, lakini sisi, Uganda tutatuma wanajeshi kuilinda Moscow ikiwa itawahi kutishiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.